Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Libya yawahukumu kifo wanachama 17 wa ISIS

    Libya yawahukumu kifo wanachama 17 wa ISIS

    Dec 20, 2022 07:12

    Mahakama moja nchini Libya imewahukumu kifo wanachama 17 wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh).

  • Waziri Mkuu wa Libya akiri kuhusika katika kuhamishwa mshukiwa wa Lockerbie

    Waziri Mkuu wa Libya akiri kuhusika katika kuhamishwa mshukiwa wa Lockerbie

    Dec 17, 2022 03:14

    Waziri Mkuu wa Libya, Abdulhamid al-Dbaiba amekiri kuwa serikali yake imehusika katika kumhamishia wiki iliyopita nchini Marekani Abu Agila Mohammad Masud Kheir al-Marimi mshukiwa katika kesi ya mlipuko wa Lockerbie.

  • Libya: Hatutaruhusu kufunguliwa tena kwa kesi ya Lockerbie

    Libya: Hatutaruhusu kufunguliwa tena kwa kesi ya Lockerbie

    Dec 16, 2022 08:04

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya ametangaza kuwa nchi hiyo haitaruhusu kesi ya Lockerbie kufunguliwa tena.

  • Don DeBar: Marekani ingali inadhibiti matukio ya Libya

    Don DeBar: Marekani ingali inadhibiti matukio ya Libya

    Dec 12, 2022 10:42

    Mwandishi wa habari na mchambuzi mmoja wa masuala ya kisiasa wa Marekani amesema kufufuliwa kwa faili la shambulio la bomu la Lockerbie la mwaka 1986 kunaonesha wazi kuwa Washington ingali inadhibiti na kuingilia masuala ya ndani ya Libya.

  • Baraza Kuu la Libya lakosoa hatua za Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo

    Baraza Kuu la Libya lakosoa hatua za Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo

    Nov 15, 2022 11:28

    Mkuu wa Baraza Kuu la Serikali ya Libya amesema kuwa, Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya nchi hiyo anakwamisha mchakato wa kufanyika vikao vya baraza hilo.

  • Maiti 230 zagunduliwa katika makaburi ya umati Libya

    Maiti 230 zagunduliwa katika makaburi ya umati Libya

    Nov 10, 2022 11:15

    Mamlaka za Libya zimetangaza habari ya kugunduliwa miili 230 ya watu wasiojulikana katika makaburi ya umati katika mji wa Tarhuna, ulioko kusini mwa mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.

  • Haftar atishia kuanzisha vita vya kuikomboa Libya

    Haftar atishia kuanzisha vita vya kuikomboa Libya

    Nov 02, 2022 02:46

    Kamanda wa linalojiita jeshi la taifa la Libya ametishia kuwa, iwapo juhudi za sasa za kupata suluhisho la amani la mgogoro wa Libya zitafeli, ataanzisha vita vikubwa vya kuikomboa nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa wasisitiza dhamira yake ya kusitisha vita nchini Libya

    Umoja wa Mataifa wasisitiza dhamira yake ya kusitisha vita nchini Libya

    Oct 28, 2022 02:53

    Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya kwa mara nyingine amesisitiza dhamira ya taasisi hiyo ya kimataifa ya kusitisha vita nchini humo.

  • Uturuki na Libya zasaini mikataba miwili ya ushirikiano wa kijeshi

    Uturuki na Libya zasaini mikataba miwili ya ushirikiano wa kijeshi

    Oct 26, 2022 12:57

    Maafisa wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya na wa Uturuki wametia saini mikataba miwili ya ushirikiano wa kijeshi mjini Istanbul.

  • NATO yashambuliwa mitandaoni baada ya kuripotiwa kuua raia laki 5 Libya 2011

    NATO yashambuliwa mitandaoni baada ya kuripotiwa kuua raia laki 5 Libya 2011

    Oct 18, 2022 10:29

    Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) limevunja kimya na kutoa taarifa ya kujitenga na ripoti iliyochapishwa na vyombo mbalimbali vya habari na kusambaa katika mitandao ya kijamii kuwa vikosi vya taasisi hiyo viliua malaki ya raia nchini Libya mwaka 2011.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS