Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Makumi ya maiti zagunduliwa katika kaburi la umati Sirte, Libya

    Makumi ya maiti zagunduliwa katika kaburi la umati Sirte, Libya

    Oct 03, 2022 07:43

    Mamlaka ya Libya imetangaza kupatikana kwa miili 42 ambayo haikutambuliwa katika kaburi la pamoja huko Sirte, makao makuu ya zamani ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).

  • Kikao cha kimataifa cha Berlin kuhusu Libya na suala zima la uchaguzi mkuu

    Kikao cha kimataifa cha Berlin kuhusu Libya na suala zima la uchaguzi mkuu

    Sep 11, 2022 09:22

    Nchi zilizoshiriki katika katika kikao cha kimataifa cha Berlin kuhusu Libya zimesisitiza kuwa, uchaguzi ndiyo njia pekee ya utatuzi wa mgogoro wa nchi hiyo. Kikao hicho cha siku mbili kimehudhuriwa pia na wawakilishi kutoka Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya, Ufaransa, Uingereza, Marekani, Uturuki, Italia, Ujerumani na Misri.

  • Umoja wa Mataifa: Hakuna suluhisho la kijeshi la mzozo wa Libya

    Umoja wa Mataifa: Hakuna suluhisho la kijeshi la mzozo wa Libya

    Sep 08, 2022 02:50

    Msaidizi wa Katibu Mkuu na Mratibu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya amesisitiza kuwa, hakuna suluhisho la kijeshi kwa mzozo wa nchi hiyo, na kwa mara nyingine ametoa wito wa kufanyika uchaguzi nchini Libya haraka iwezekanavyo.

  • UN yawahamishia Rwanda watafuta hifadhi 100 kutoka Libya

    UN yawahamishia Rwanda watafuta hifadhi 100 kutoka Libya

    Sep 02, 2022 12:06

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limetangaza kuwa limewahamishia nchini Rwanda makumi ya watu wanaotafuta hifadhi waliokuwa nchini Libya.

  • Hofu ya UN juu ya mgogoro wa kisiasa nchini Libya

    Hofu ya UN juu ya mgogoro wa kisiasa nchini Libya

    Aug 31, 2022 07:12

    Mkuu wa Siasa wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa, kutotatuliwa mgogoro wa kisiasa wa Libya na kutofanyika uchaguzi uliocheleweshwa ni tishio kwa hali ya mambo katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Kushadidi mgogoro nchini Libya kwa kuanza tena vita na mapigano makali

    Kushadidi mgogoro nchini Libya kwa kuanza tena vita na mapigano makali

    Aug 29, 2022 13:11

    Kufuatia kushadidi mzozo wa kisiasa nchini Libya kati ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoongozwa na Abdul Hamid al-Dbeibeh na serikali mpya iliyopewa mamlaka na Bunge inayoongozwa na Fathi Bashagha, mapigano yameanza upya kati ya vikosi vya pande hizo mbili katika mji mkuu Tripoli.

  • Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yasikitishwa na machafuko mapya ya Libya

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yasikitishwa na machafuko mapya ya Libya

    Aug 28, 2022 10:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran ameelezea kusikitishwa sana na machafuko mapya ya nchini Libya na ametaka kukomeshwa mara moja mapigano hayo. Amesema, Tehran inazitaka pande hasimu kuzingatia maslahi ya taifa, usalama wa wananchi na kutatua mambo yao kwa njia ya mazungumzo.

  • Watu 23 wauawa na kadhaa wajeruhiwa baada ya mapigano kuzuka upya katika mji mkuu wa Libya

    Watu 23 wauawa na kadhaa wajeruhiwa baada ya mapigano kuzuka upya katika mji mkuu wa Libya

    Aug 28, 2022 03:55

    Duru za tiba nchini Libya zimeripoti kuwa watu wasiopungua 23 wameuawa na kwa uchache 87 wamejeruhiwa katika mapigano makali yaliyozuka upya Jumamosi asubuhi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Maiti 20 za wahajiri zapatikana katika mpaka wa Libya na Sudan

    Maiti 20 za wahajiri zapatikana katika mpaka wa Libya na Sudan

    Aug 13, 2022 11:24

    Maiti 20 za wahajiri haramu zimepatikana katika jangwa lililoko baina ya Libya na Sudan.

  • Watu kadhaa wauawa katika mapigano kati ya vikosi vya usalama vya Libya mjini Tripoli

    Watu kadhaa wauawa katika mapigano kati ya vikosi vya usalama vya Libya mjini Tripoli

    Jul 22, 2022 11:57

    Mapigano makali yaliyozuka kati ya makundi yanayohasimiana katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, yamesababisha vifo vya watu kadhaa huku kukiwa na wasiwasi kwamba huenda mzozo wa kisiasa ukazusha upya nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS