Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Maiti 230 zagunduliwa katika makaburi ya umati Libya

    Maiti 230 zagunduliwa katika makaburi ya umati Libya

    Nov 10, 2022 07:45

    Mamlaka za Libya zimetangaza habari ya kugunduliwa miili 230 ya watu wasiojulikana katika makaburi ya umati katika mji wa Tarhuna, ulioko kusini mwa mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.

  • Haftar atishia kuanzisha vita vya kuikomboa Libya

    Haftar atishia kuanzisha vita vya kuikomboa Libya

    Nov 01, 2022 23:16

    Kamanda wa linalojiita jeshi la taifa la Libya ametishia kuwa, iwapo juhudi za sasa za kupata suluhisho la amani la mgogoro wa Libya zitafeli, ataanzisha vita vikubwa vya kuikomboa nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa wasisitiza dhamira yake ya kusitisha vita nchini Libya

    Umoja wa Mataifa wasisitiza dhamira yake ya kusitisha vita nchini Libya

    Oct 27, 2022 23:23

    Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya kwa mara nyingine amesisitiza dhamira ya taasisi hiyo ya kimataifa ya kusitisha vita nchini humo.

  • Uturuki na Libya zasaini mikataba miwili ya ushirikiano wa kijeshi

    Uturuki na Libya zasaini mikataba miwili ya ushirikiano wa kijeshi

    Oct 26, 2022 09:27

    Maafisa wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya na wa Uturuki wametia saini mikataba miwili ya ushirikiano wa kijeshi mjini Istanbul.

  • NATO yashambuliwa mitandaoni baada ya kuripotiwa kuua raia laki 5 Libya 2011

    NATO yashambuliwa mitandaoni baada ya kuripotiwa kuua raia laki 5 Libya 2011

    Oct 18, 2022 06:59

    Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) limevunja kimya na kutoa taarifa ya kujitenga na ripoti iliyochapishwa na vyombo mbalimbali vya habari na kusambaa katika mitandao ya kijamii kuwa vikosi vya taasisi hiyo viliua malaki ya raia nchini Libya mwaka 2011.

  • Makumi ya maiti zagunduliwa katika kaburi la umati Sirte, Libya

    Makumi ya maiti zagunduliwa katika kaburi la umati Sirte, Libya

    Oct 03, 2022 04:13

    Mamlaka ya Libya imetangaza kupatikana kwa miili 42 ambayo haikutambuliwa katika kaburi la pamoja huko Sirte, makao makuu ya zamani ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).

  • Kikao cha kimataifa cha Berlin kuhusu Libya na suala zima la uchaguzi mkuu

    Kikao cha kimataifa cha Berlin kuhusu Libya na suala zima la uchaguzi mkuu

    Sep 11, 2022 04:52

    Nchi zilizoshiriki katika katika kikao cha kimataifa cha Berlin kuhusu Libya zimesisitiza kuwa, uchaguzi ndiyo njia pekee ya utatuzi wa mgogoro wa nchi hiyo. Kikao hicho cha siku mbili kimehudhuriwa pia na wawakilishi kutoka Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya, Ufaransa, Uingereza, Marekani, Uturuki, Italia, Ujerumani na Misri.

  • Umoja wa Mataifa: Hakuna suluhisho la kijeshi la mzozo wa Libya

    Umoja wa Mataifa: Hakuna suluhisho la kijeshi la mzozo wa Libya

    Sep 07, 2022 22:20

    Msaidizi wa Katibu Mkuu na Mratibu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya amesisitiza kuwa, hakuna suluhisho la kijeshi kwa mzozo wa nchi hiyo, na kwa mara nyingine ametoa wito wa kufanyika uchaguzi nchini Libya haraka iwezekanavyo.

  • UN yawahamishia Rwanda watafuta hifadhi 100 kutoka Libya

    UN yawahamishia Rwanda watafuta hifadhi 100 kutoka Libya

    Sep 02, 2022 07:36

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limetangaza kuwa limewahamishia nchini Rwanda makumi ya watu wanaotafuta hifadhi waliokuwa nchini Libya.

  • Hofu ya UN juu ya mgogoro wa kisiasa nchini Libya

    Hofu ya UN juu ya mgogoro wa kisiasa nchini Libya

    Aug 31, 2022 02:42

    Mkuu wa Siasa wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa, kutotatuliwa mgogoro wa kisiasa wa Libya na kutofanyika uchaguzi uliocheleweshwa ni tishio kwa hali ya mambo katika nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS