-
Muda wa kampeni za uchaguzi wamalizika leo, mbio za kuwania viti vya Bunge la Iran kutimka kesho Ijumaa
Feb 20, 2020 06:31Muhula wa kufanya kampeni za uchaguzi wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umemalizika mapema leo asubuhi saa mbili kwa majira ya Iran.
-
Bunge la Iran: Hatua ya nchi za Ulaya kuhusu JCPOA ni alama ya udhalili na kudunishwa na Marekani
Jan 19, 2020 12:43Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran wamesema kuwa hatua ya nchi za Ujerumani, Uingereza na Ufaransa ya kuanzisha mchakato wa kutatua hitilafu ndani ya JCPOA unaofahamika kwa jina la 'Trigger Mechanism' kwa kisingizio kuwa Iran haitekelezi majukumu yake kwenye mapatano hayo ni ishara ya kudhalilishwa nchi hiyo mbele ya Marekani.
-
Kamisheni ya Bunge: Marekani itarajie kisasi kikali kwa hatua yake ya kumuua Qassim Soleimani
Jan 04, 2020 13:14Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni katika Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuwa, Marekani mtenda jinai isubirie kisasi kikali dhidi yake kutokana na hatua yake ya kumuua shahidi Luteni Jenerali Qassim Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (SEPAH).
-
Kuanza uandikishaji wa wagombea uchaguzi wa Bunge la 11 la Iran
Dec 02, 2019 11:32Uandikishaji watu wanaotaka kugombea ubunge katika uchaguzi wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, yaani Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ulianza rasmi jana Jumapili na utaendelea hadi tarehe 7 ya mwezi huu wa Desemba.
-
Bunge la Iran larindima nara na kaulimbiu za "Mauti kwa Marekani" na "Mauti kwa Israel"
Nov 04, 2019 08:04Sambamba na maadhimisho ya Siku ya Taifa ya Kupambana na Uistikbari Duniani yanayofanyika kote nchini hii leo, wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran wametoa nara za "Mauti kwa Marekani" na "Mauti kwa Israel" katika ufunguzi wa kikao cha leo cha bunge.
-
Bunge la Iran lalaani mashambulizi ya Uturuki dhidi ya Syria
Oct 14, 2019 12:08Wawakilishi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wametoa taarifa wakilaani mashambulizi ya jeshi la Uturuki dhidi ya Syria na kusisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kutetea watu wanaodhulumiwa kote duniani.
-
Rais Rouhani: Iran haina ajenda ya kufanya mazungumzo na Marekani
Sep 03, 2019 07:55Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran haijawahi kuwa na ajenda ya kufanya mazungumzo ya pande mbili na Marekani.
-
Zarif: Marekani inahofia kushindwa katika uga wa diplomasia
Aug 11, 2019 04:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Marekani ina wasiwasi na kuhofia kushindwa katika uga wa diplomasia.
-
Bunge la Iran launga mkono hatua ya Sepah ya kutungua drone ya Marekani
Jun 23, 2019 13:28Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) wamelipongeza Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sepah) kwa kutungua ndege isyo na rubani ya Marekani iliyokuwa imeingia kinyume cha sheria katika anga ya Iran.
-
Ripoti ya Bunge la Iran kuhusu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu Marekani
Jun 10, 2019 11:22Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, imechapisha ripoti ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Marekani.