-
Alkhamisi tarehe 15 Machi, 2018
Mar 15, 2018 03:24Leo ni Alkhamisi tarehe 26 Jamadithani 1439 Hijria sawa na tarehe 15 Machi 2018.
-
Bunge la Iran lapitisha: Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina
Dec 24, 2017 16:42Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran leo wamepitisha mpango wa dharura wa kuunga mkono Mapinduzi ya Kiislamu ya watu wa Palestina na kusisitiza kwamba Baitul Muqaddas utakuwa mji mkuu wa kudumu wa nchi ya Palestina.
-
Mabunge ya nchi za Kiislamu yatakiwa kuingilia kadhia ya Palestina
Dec 21, 2017 02:42Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ameyataka mabunge ya nchi za Kiislamu kuingia kadhia ya Quds na Palestina ili kukabiliana na njama za Marekani za kutaka kuwapora Waislamu Kibla chao cha Kwanza.
-
Mwakilishi wa Mayahudi katika bunge la Iran: Hatua ya Trump ya kuitambua Quds mji mkuu wa Israel ni ubaguzi wa kimbari
Dec 14, 2017 15:59Mwakilishi wa jamii ya wachache ya Mayahudi katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya rais wa Marekani ya kuitangaza Baitul Muqaddas mji mkuu wa utawala wa Kizayuni ni ubaguzi wa kimbari.
-
Bunge la Iran: Quds ni kibla cha kwanza cha Waislamu na ni ya Umma wote wa Kiislamu
Dec 12, 2017 16:26Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, wamesema uamuzi wa Rais wa Marekani kutambua Quds Tukufu (Jerusalem) kama mji mkuu wa utawala bandia wa Israel ni dalili ya wazi kabisa ya kutokuwa na utambulisho utawala huo wa Kizayuni.
-
Larijani: Vitendo vya chuki vya Wamarekani ni dukuduku la mabunge yote
Oct 19, 2017 16:17Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amezungumzia mazungumzo yake ya hivi karibuni na maspika wa mabunge ya nchi zilizoshiriki katika mkutano wa Umoja wa Mabunge Duniani mjini Saint Petersburg, Russia na kusema kuwa, maspika wa mabunge yote yaliyoshiriki kwenye mkutano huo wana wasiwasi na dukuduku na vitendo vya kiuadui vya Wamarekani.
-
Bunge laidhinisha uteuzi wa mawaziri 16 waliopendekezwa na Rais Rouhani
Aug 20, 2017 16:47Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran wamewapigia kura ya kuwa na imani nao mawaziri 16 kati ya 17 waliopendekezwa na Rais Hassan Rouhani kuunda baraza la mawaziri la serikali yake mpya, baada ya vikao vya siku nane vya kuchunguza sifa za mawaziri hao.
-
Bunge lapitisha hoja ya mpango wa kukabiliana na harakati za kigaidi za US Mashariki ya Kati
Aug 13, 2017 08:11Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) wameunga mkono na kupitisha hoja ya mpango wa kukabiliana na harakati za chokochoko na za kigaidi za Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Kamisheni ya Bunge la Iran yapasisha mambo jumla ya kukabiliana na chokochoko za Marekani
Jul 29, 2017 13:29Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni katika Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepasisha katika kikao chache cha dharura hii leo, mambo jumla ya kukabiliana na hatua za kiuhasama na kiuadui za Marekani dhidi ya taifa hili.
-
Jumapili Mei 28, 2017.
May 29, 2017 13:20Leo ni Jumapili tarehe Pili Ramadhan 1438 Hijria, mwafaka na tarehe 28 Mei 2017 Miladia.