-
Bunge la Iran lajadili vikwazo vipya vya Marekani
Dec 03, 2016 23:45Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, leo Jumapili linajadili njia za kutoa jibu kali kwa hatua ya Baraza la Seneti la Marekani ya kupitisha muswada wa kurefusha kwa muda wa miaka 10 mingine Sheria ya Vikwazo Dhidi ya Iran (ISA).
-
Bunge la Iran laandaa hoja ya dharura ya kuanzisha tena shughuli za nyuklia
Dec 03, 2016 04:24Mjumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wabunge wanaandaa hoja ya dharura wa kujadiliwa haraka na nje ya utaratibu wa kawaida wa kuanzisha tena shughuli za nyuklia kwa lengo la kukabiliana na hatua dhidi ya Iran iliyochukuliwa na Kongresi ya Marekani.
-
Ali Larijani: Maadui wanafanya njama za kuzusha mifarakano
Jul 22, 2016 23:47Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katika mazingira ya hivi sasa katika Mashariki ya Kati kuna baadhi ya nchi ambazo mbali na kufanya uadui zinafanya kila ziwezalo kuzusha mifarakano katika eneo hili.
-
Al Zawawi asisitiza kuendelezwa Intifadha ya wananchi wa Palestina
Jun 16, 2016 02:53Balozi wa Palestina nchini Iran amesema kuwa Intifadha ya wananchi wa Palestina itaendelea hadi kukombolewa Quds Tukufu.
-
Ali Larijani awa Spika wa Majlisi ya Kumi ya Ushauri ya Kiislamu
May 31, 2016 03:24Dakta Ali Larijani amechaguliwa kuwa Spika wa bunge la kumi la Iran yaani Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu kwa kupigiwa kura na wabunge leo Jumanne.
-
Bunge la 10 la Iran lazinduliwa rasmi
May 28, 2016 11:31Awamu ya 10 ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, imezidnuliwa rasmi leo mjini Tehran kwa Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na kuhudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu serikalini.
-
Vipaumbele vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi
May 28, 2016 08:54Duru ya kumi ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran imeanza rasmi leo Jumamosi katika sherehe iliyoambatana na ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Wabunge Iran wataka Marekani ilipe fidia
May 17, 2016 23:06Wabunge nchini Iran wamepitisha muswada wa sheria ya kuishurutisha serikali ya Iran kuitaka Marekani iilipe fidia Jamhuri ya Kiislamu kutokana na jinai za Washignton dhidi ya nchi hii na raia wake.
-
Kampeni za duru ya pili ya uchaguzi wa bunge Iran zaanza
Apr 21, 2016 10:53Kampeni za duru ya pili ya uchaguzi wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran itakayofanyika Aprili 29, zimeanza rasmi hii leo Alkhamisi.
-
Chaguzi za Bunge na Baraza la Wataalamu kufanyika leo Iran
Feb 25, 2016 22:19Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Iran amesema kuwa maandalizi na taratibu zote za uchaguzi wa kumi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) na wa tano Baraza la Wataalamu zimekamilika.