Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu

  • Bunge la Iran lajadili vikwazo vipya vya Marekani

    Bunge la Iran lajadili vikwazo vipya vya Marekani

    Dec 03, 2016 23:45

    Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, leo Jumapili linajadili njia za kutoa jibu kali kwa hatua ya Baraza la Seneti la Marekani ya kupitisha muswada wa kurefusha kwa muda wa miaka 10 mingine Sheria ya Vikwazo Dhidi ya Iran (ISA).

  • Bunge la Iran laandaa hoja ya dharura ya kuanzisha tena shughuli za nyuklia

    Bunge la Iran laandaa hoja ya dharura ya kuanzisha tena shughuli za nyuklia

    Dec 03, 2016 04:24

    Mjumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wabunge wanaandaa hoja ya dharura wa kujadiliwa haraka na nje ya utaratibu wa kawaida wa kuanzisha tena shughuli za nyuklia kwa lengo la kukabiliana na hatua dhidi ya Iran iliyochukuliwa na Kongresi ya Marekani.

  • Ali Larijani: Maadui wanafanya njama za kuzusha mifarakano

    Ali Larijani: Maadui wanafanya njama za kuzusha mifarakano

    Jul 22, 2016 23:47

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katika mazingira ya hivi sasa katika Mashariki ya Kati kuna baadhi ya nchi ambazo mbali na kufanya uadui zinafanya kila ziwezalo kuzusha mifarakano katika eneo hili.

  • Al Zawawi asisitiza kuendelezwa Intifadha ya wananchi wa Palestina

    Al Zawawi asisitiza kuendelezwa Intifadha ya wananchi wa Palestina

    Jun 16, 2016 02:53

    Balozi wa Palestina nchini Iran amesema kuwa Intifadha ya wananchi wa Palestina itaendelea hadi kukombolewa Quds Tukufu.

  • Ali Larijani awa Spika wa Majlisi ya Kumi ya Ushauri ya Kiislamu

    Ali Larijani awa Spika wa Majlisi ya Kumi ya Ushauri ya Kiislamu

    May 31, 2016 03:24

    Dakta Ali Larijani amechaguliwa kuwa Spika wa bunge la kumi la Iran yaani Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu kwa kupigiwa kura na wabunge leo Jumanne.

  • Bunge la 10 la Iran lazinduliwa rasmi

    Bunge la 10 la Iran lazinduliwa rasmi

    May 28, 2016 11:31

    Awamu ya 10 ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, imezidnuliwa rasmi leo mjini Tehran kwa Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na kuhudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu serikalini.

  • Vipaumbele vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi

    Vipaumbele vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi

    May 28, 2016 08:54

    Duru ya kumi ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran imeanza rasmi leo Jumamosi katika sherehe iliyoambatana na ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Wabunge Iran wataka Marekani ilipe fidia

    Wabunge Iran wataka Marekani ilipe fidia

    May 17, 2016 23:06

    Wabunge nchini Iran wamepitisha muswada wa sheria ya kuishurutisha serikali ya Iran kuitaka Marekani iilipe fidia Jamhuri ya Kiislamu kutokana na jinai za Washignton dhidi ya nchi hii na raia wake.

  • Kampeni za duru ya pili ya uchaguzi wa bunge Iran zaanza

    Kampeni za duru ya pili ya uchaguzi wa bunge Iran zaanza

    Apr 21, 2016 10:53

    Kampeni za duru ya pili ya uchaguzi wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran itakayofanyika Aprili 29, zimeanza rasmi hii leo Alkhamisi.

  • Chaguzi za Bunge na Baraza la Wataalamu kufanyika leo Iran

    Chaguzi za Bunge na Baraza la Wataalamu kufanyika leo Iran

    Feb 25, 2016 22:19

    Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Iran amesema kuwa maandalizi na taratibu zote za uchaguzi wa kumi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) na wa tano Baraza la Wataalamu zimekamilika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS