Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kuuawa bintiye Dugin na kupanuka zaidi mgogoro wa Russia na Ukraine

    Kuuawa bintiye Dugin na kupanuka zaidi mgogoro wa Russia na Ukraine

    Aug 24, 2022 05:08

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametuma salamu zake za rambirambi kwa wazazi wa Darya Dugina, binti ya Alexander Dugin, mwananadharia mashuhuri wa Russia. Putin ameutaja uhalifu huo kuwa "mbaya na ukatili" na akamuelezea Darya Dugina kama mtu aliyekuwa mwerevu, mwenye talanta na moyo wa kweli wa utaifa wa Russia.

  • Marekani yawataka raia wake waondoke haraka Ukraine

    Marekani yawataka raia wake waondoke haraka Ukraine

    Aug 23, 2022 23:49

    Marekani imewataka raia wake waondoke nchini Ukraine haraka iwezekanvyo, huku kukiwa na wasiwasi wa Russia kuanza kuushambulia mji mkuu wa nchi hiyo, Kiev.

  • Marekani yapinga ombi la Ukraine la kuwanyima visa raia wa Russia

    Marekani yapinga ombi la Ukraine la kuwanyima visa raia wa Russia

    Aug 23, 2022 05:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amepinga ombi la Ukraine la kuwanyima visa raia wa Russia.

  • Iran: Hatujapokea jibu la US kuhusu mapendekezo ya Ulaya

    Iran: Hatujapokea jibu la US kuhusu mapendekezo ya Ulaya

    Aug 22, 2022 06:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haijapokea majibu kutoka kwa Marekani juu ya mapendekezo yaliyotolewa na Umoja wa Ulaya kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Misri mwenyeji wa luteka inayojumuisha US, Saudia, Ugiriki na Imarati

    Misri mwenyeji wa luteka inayojumuisha US, Saudia, Ugiriki na Imarati

    Aug 22, 2022 06:34

    Vikosi maalumu vya majeshi ya Misri, Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu, Ugiriki na Cyprus vimezindua mazoezi ya pamoja ya kijeshi nchini Misri.

  • Jinai mpya ya Marekani Somalia, Biden ameua Wasomali 465

    Jinai mpya ya Marekani Somalia, Biden ameua Wasomali 465

    Aug 22, 2022 02:21

    Shirika linalochunguza mashambulizi ya anga ya kimataifa limefichua kuwa Marekani inaficha idadi halisi ya vifo vya raia nchini Somalia na kwamba idadi ya waliopoteza maisha katika nchi hiyo ya Afrika ni mara 30 zaidi ya ile iliyotangazwa na Pentagon.

  • Momeni: Iran inaongoza nchi zote duniani kwa kukamata madawa ya kulevya

    Momeni: Iran inaongoza nchi zote duniani kwa kukamata madawa ya kulevya

    Aug 20, 2022 05:38

    Katibu Mkuu wa Kamati ya Kupambana na Madawa ya Kulevya ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ndiyo nchi inayokamata kiwango kikubwa zaidi cha mihadarati na madawa ya kulevya duniani.

  • Kiwewe cha Marekani kwa kuzidi kuongezeka nguvu za China

    Kiwewe cha Marekani kwa kuzidi kuongezeka nguvu za China

    Aug 19, 2022 22:11

    Marekani ambayo imeingia kiwewe kutokana na kuzidi kuongezeka nguvu za China, imeahidi kuchukua hatua za kukabiliana na Beijing katika kipindi cha wiki na miezi ijayo karibu na kisiwa cha Taiwan, kwa tamaa ya kupunguza kasi ya nguvu za kijeshi na kiuchumi za China.

  • Mkuu wa zamani wa CIA: Republicans ni chama cha siasa hatari zaidi kuliko ISIS, Al Qaeda

    Mkuu wa zamani wa CIA: Republicans ni chama cha siasa hatari zaidi kuliko ISIS, Al Qaeda

    Aug 19, 2022 07:24

    Mkuu wa zamani wa shirika la ujasusi la Marekani CIA amsema Republicans ni chama hatari zaidi za siasa.

  • Yemen yaonya kuhusu harakati za kutia shaka za askari wa US, Ufaransa

    Yemen yaonya kuhusu harakati za kutia shaka za askari wa US, Ufaransa

    Aug 18, 2022 23:35

    Bunge la Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen limetadharisha kuhusu harakati na nyendo za kutiliwa shaka za wanajeshi wa Marekani na Ufaransa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS