Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Sisitizo la Katibu Mkuu wa NATO kuhusu kujiandaa Magharibi kwa vita vya muda mrefu Ukraine

    Sisitizo la Katibu Mkuu wa NATO kuhusu kujiandaa Magharibi kwa vita vya muda mrefu Ukraine

    Jun 04, 2022 22:08

    Katibu Mkuu wa Jeshi la Nchi za Magharibi NATO, Jens Stoltenberg, baada ya kuonana na rais wa Marekani, Joe Biden ili kujua msimamo wa Washington kuhusu vita vya Ukraine amedai kwamba nchi za Magharibi zinapaswa kujiandaa kwa vita vya muda mrefu huko Ukraine.

  • Kuwait yachukizwa na hatua ya balozi wa Marekani kutetea maingiliano ya kimwili ya watu wa jinsia moja

    Kuwait yachukizwa na hatua ya balozi wa Marekani kutetea maingiliano ya kimwili ya watu wa jinsia moja

    Jun 03, 2022 23:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Kuwait imemwita balozi mdogo wa Marekani nchini humo kufuatia hatua ya ubalozi wao kutoa matamshi ya kutetea na kuunga mkono maingiliano ya kimwili ya watu wa jinsia moja.

  • Medvedev: Russia iko kwenye vita vinavyopiganwa kwa niaba ya Marekani na Ulaya

    Medvedev: Russia iko kwenye vita vinavyopiganwa kwa niaba ya Marekani na Ulaya

    Jun 03, 2022 23:37

    Mkuu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema, nchi yake iko kwenye vita vinavyopiganwa kwa niaba ya Marekani na Ulaya na akasisitiza kuwa kuna ulazima wa kuzuia kutokea vita vya atomiki.

  • Iran yazionya Marekani na nchi tatu za Ulaya

    Iran yazionya Marekani na nchi tatu za Ulaya

    Jun 01, 2022 22:53

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amezihutubu nchi tatu za Ulaya, yaani Ujerumani, Uingereza na Ufaransa pamoja na Marekani na kusema: "Mnaweza kufuata mkondo wa udiplomasia au muende kinyume chake. Sisi tuko tayari kwa machaguo hayo mawili."

  • IRGC: Meli mbili za mafuta za Ugiriki zimekamatwa katika maji ya Ghuba ya Uajemi kwa kukiuka taratibu

    IRGC: Meli mbili za mafuta za Ugiriki zimekamatwa katika maji ya Ghuba ya Uajemi kwa kukiuka taratibu

    May 27, 2022 22:45

    Idara Kuu ya Mahusiano ya Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetangaza kuwa meli mbili za mafuta za Ugiriki zimekamatwa katika maji ya Ghuba ya Uajemi kwa sababu ya kukiuka taratibu.

  • Iran yakosoa mitazamo ya upande mmoja na taathira zake hasi kwa utulivu wa eneo na usalama wa kimataifa

    Iran yakosoa mitazamo ya upande mmoja na taathira zake hasi kwa utulivu wa eneo na usalama wa kimataifa

    May 26, 2022 21:53

    Awamu ya tatu ya mazungumzo ya kisiasa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Italia ilifanyika siku ya Jumanne mjini Tehran, chini ya uenyekiti wa Ali Bagheri, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya kisiasa na Ettore Plato, Katibu Mkuu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia.

  • Mauaji mapya ya ufyatuaji risasi huko Marekani na radiamali ya pupa ya Biden

    Mauaji mapya ya ufyatuaji risasi huko Marekani na radiamali ya pupa ya Biden

    May 26, 2022 02:10

    Katika kisa kingine cha ufyatuaji risasi dhidi ya umati nchini Marekani ambacho kimepelekea kuuawa wanafunzi wengi ya shule ya msingi, Rais Joe Biden wa nchi hiyo kama alivyofanya katika siku za nyuma, ametoa radiamali ya pupa na isiyo ya busara katika uwanja huo.

  • Mkuu wa maulamaa wa Iraq: Marekani inadhamini 85% ya silaha za DAESH (ISIS)

    Mkuu wa maulamaa wa Iraq: Marekani inadhamini 85% ya silaha za DAESH (ISIS)

    May 25, 2022 06:09

    Mkuu wa Muungano wa Maulamaa wa Kiislamu Iraq amesema, Marekani ndiyo inayodhamini asilimia 85 ya silaha za kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS).

  • Mbunge wa Libya: Mjumbe wa UN ni mtekelezaji wa siasa za Marekani

    Mbunge wa Libya: Mjumbe wa UN ni mtekelezaji wa siasa za Marekani

    May 24, 2022 02:49

    Muhammad al A'bani, mbunge wa Bunge la Wawakilishi la Libya amesema Stephanie Williams, mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ni mtekelezaji wa mipango na siasa za Marekani katika eneo.

  • Maandamano ya kupinga safari ya Biden Korea Kusini

    Maandamano ya kupinga safari ya Biden Korea Kusini

    May 22, 2022 12:33

    Wanachama wa baadhi ya vyama na mashirika ya kiraia wamekusanyika mjini Seoul kupinga ziara ya Rais Joe Biden wa Marekani nchini Korea Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS