Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • "Marekani ikiwa na irada ya kisiasa kama Iran, makubaliano yatafikiwa"

    Jul 25, 2022 06:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haitakubali kushinikizwa juu ya kufikia haraka muafaka wa kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Mazungumzo kati ya marais wa Iran na Ufaransa; Raisi akosoa sera za kuzusha migogoro za Wamagharibi

    Mazungumzo kati ya marais wa Iran na Ufaransa; Raisi akosoa sera za kuzusha migogoro za Wamagharibi

    Jul 24, 2022 03:04

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, zzimio lililotolewa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki dhidi ya Iran ni hatua ya kuzusha mgogoro iliyokuwa na lengo la kuliwekea mashinikizo taifa la Iran.

  • Watoto wahajiri nchini Marekani wapewa kazi za sulubu viwandani

    Watoto wahajiri nchini Marekani wapewa kazi za sulubu viwandani

    Jul 23, 2022 06:53

    Makumi ya watoto wahajiri wanatumikishwa na kupewa kazi za sulubu kwenye kiwanda kimoja cha kufua vyuma nchini Marekani.

  • Marekani yaripoti kesi ya kwanza ya polio baada ya muongo mmoja

    Marekani yaripoti kesi ya kwanza ya polio baada ya muongo mmoja

    Jul 22, 2022 02:55

    Marekani imeripoti kesi ya kwanza ya ugonjwa wa kupooza au polio baada ya kupita karibu miaka kumi.

  • Ubaguzi wa rangi dhidi ya watu wenye asili ya Asia umekithiri Marekani

    Ubaguzi wa rangi dhidi ya watu wenye asili ya Asia umekithiri Marekani

    Jul 21, 2022 22:04

    Matokeo ya utafiti uliofanywa katika majimbo mbalimbali ya Marekani yanaonyesha kuwa, vitendo na mienendo ya ubaguzi wa rangi dhidi ya raia wa nchi hiyo wenye asili ya Asia imeongezeka katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.

  • 93% ya Wamarekani watiwa hofu na mfumko wa juu wa bei

    93% ya Wamarekani watiwa hofu na mfumko wa juu wa bei

    Jul 19, 2022 21:49

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa huko Marekani unaonyesha kuwa, mfumko wa bei za bidhaa nchini humo unawatia wasi wasi asilimia 93 ya Wamarekani.

  • Onyo la China kwa Marekani iwapo Spika Pelosi atazuru Taiwan

    Onyo la China kwa Marekani iwapo Spika Pelosi atazuru Taiwan

    Jul 19, 2022 21:49

    China imeionya vikali Washington na kusisitiza kuwa itachukua 'hatua za nguvu' iwapo Spika wa Kongresi ya Marekani Nancy Pelosi atafanya safari ya kuitembelea Taiwan mwezi ujao wa Agosti.

  • Sanders aikosoa Marekani kwa kuimarisha uhusiano na Saudia

    Sanders aikosoa Marekani kwa kuimarisha uhusiano na Saudia

    Jul 18, 2022 03:07

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amekosoa vikali safari ya Rais Joe Biden wa nchi hiyo huko Saudi Arabia na kusisitiza kuwa, Washington haipaswi kuwa na 'uhusiano mzuri' na utawala huo wa kifalme.

  • Marandi: Makubaliano ya Marekani na Iran ni hatua erevu ya kuzuia mgogoro wa nishati

    Marandi: Makubaliano ya Marekani na Iran ni hatua erevu ya kuzuia mgogoro wa nishati

    Jul 17, 2022 07:21

    Mohammad Marandi, mchambuzi mwandamizi wa masuala ya kisiasa na mitaala kuhusu Marekani amesema makubaliano kati ya Marekani na Iran ni hatua erevu ambayo kama itachukuliwa itazuia kutokea mgogoro wa nishati katika nchi za Magharibi.

  • Jen. Shekarchi: Marekani, Israel zinajua vyema gharama ya kuitishia Iran

    Jen. Shekarchi: Marekani, Israel zinajua vyema gharama ya kuitishia Iran

    Jul 15, 2022 22:14

    Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zinatambua vizuri kile ambacho kitawafika iwapo zitathubutu kutelekeza kivitendo vitisho vyao dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS