Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Waislamu wa Marekani walitoa msaada wa dola bilioni 1.8 mwaka 2021 licha ya kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Waislamu wa Marekani walitoa msaada wa dola bilioni 1.8 mwaka 2021 licha ya kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Apr 26, 2022 23:19

    Utafiti wa hivi karibuni umebaini kuwa Waislamu wa Marekani walitoa msaada wa dola bilioni 1.8 mwaka 2021, mwaka huo huo ambao ulishuhudia ongezeko kubwa la visa vya ubaguzi na unyanyasaji dhidi ya wafuasi wa dini hiyo ya Mwenyezi Mungu.

  • Putin ailaumu CIA kwa kuchoche kuuliwa waandishi wa habari wa Russia

    Putin ailaumu CIA kwa kuchoche kuuliwa waandishi wa habari wa Russia

    Apr 26, 2022 03:02

    Rais Vladimir Putin wa Russia amelilaumu shirika la kijasusi la Marekani CIA kwa kuwachochea wanajeshi wa Ukraine kuwaua waandishi wa habari wa Russia.

  • Onyo jipya la kijeshi la Marekani kwa China

    Onyo jipya la kijeshi la Marekani kwa China

    Apr 24, 2022 21:48

    Mashindano ya kijeshi na kiusalama baina ya Marekani na China katika eneo la Indo-Pasifiki yamechukua muelekeo mpya kutokana na jitihada za pande mbili za kujiimarisha kijeshi katika eneo hilo muhimu kistratijia.

  • Iran: Marekani iachane na siasa zake za kibeberu na kupenda makuu

    Iran: Marekani iachane na siasa zake za kibeberu na kupenda makuu

    Apr 23, 2022 02:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Marekani inapaswa kuachana na siasa zake za kupenda makuu katika mazungumzo ya nyuklia yanayoendelea mjini Vienna Austria na iyaangalie mazungumzo hayo katika uhalisia wake.

  • Russia yawawekea vikwazo Makamu wa Rais wa Marekani, Mkuu wa Meta

    Russia yawawekea vikwazo Makamu wa Rais wa Marekani, Mkuu wa Meta

    Apr 22, 2022 22:09

    Serikali ya Russia imetangaza kuwawekea vikwazo makumi ya shakhsia wa Marekani akiwemo Makamu wa Rais wa nchi hiyo, Kamala Harris na Afisa Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya Meta (Facebook) Mark Zuckerberg.

  • Faisal Miqdad: Marekani na nchi za Magharibi zinafanya njama za kuangamiza suala la Palestina

    Faisal Miqdad: Marekani na nchi za Magharibi zinafanya njama za kuangamiza suala la Palestina

    Apr 22, 2022 02:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa, nchi za Magharibi zinaendelea kula njama za kuvuruga na kuharibu kadhia ya ukombozi wa Palestina na haki thabiti za watu wake, hususan haki ya wakimbizi wa Kipalestina kurejea katika nchi yao na kuongeza kuwa, Damascus inafuatilia kwa wasiwas matukio hatari yanayojiri huko Quds ( Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu.

  • Russia yakosoa juhudi za Magharibi za kurefusha vita vya Ukraine

    Russia yakosoa juhudi za Magharibi za kurefusha vita vya Ukraine

    Apr 21, 2022 04:41

    Waziri wa Ulinzi wa Russia, Sergei Shoigu amesema kwamba Marekani na nchi nyingine za Magharibi zimefanya jitihada kubwa za kurefusha muda wa operesheni ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine.

  • Kukosolewa unafiki wa Marekani kuhusu suala la haki za binadamu

    Kukosolewa unafiki wa Marekani kuhusu suala la haki za binadamu

    Apr 20, 2022 22:20

    Ilhan Omar, mbunge wa Kiislamu katika Congress ya Marekani amesema kuwa madai yanayotolewa na utawala wa Wadhington kuhusu haki za binadamu duniani ni ya kinafiki, na kusisitiza kuwa kama nchi hiyo inataka kuishtaka Russia katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kuhusiana na tuhuma zinazotolewa dhidi yake kuhusu vita vya Ukraine, inapasa kwanza yenyewe ijiunge na kuwa mwanachama wa mahakama hiyo.

  • Wanafunzi Waislamu Marekani wahanga wa vitendo vya udhalilishaji na unyanyasaji mashuleni

    Wanafunzi Waislamu Marekani wahanga wa vitendo vya udhalilishaji na unyanyasaji mashuleni

    Apr 17, 2022 21:58

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni yanaonyesha kuwa, zaidi ya nusu ya wanafunzi Waislamu katika skuli za jimbo la California nchini Marekani wanakabiliwa na vitendo vya ubaguzi wanavyofanyiwa na wanafunzi wakubwa kwa wadogo wakiwemo walimu.

  • Mwito wa Wademokrati wa kutaka kuangaliwa upya uhusiano wa Marekani na Saudia

    Mwito wa Wademokrati wa kutaka kuangaliwa upya uhusiano wa Marekani na Saudia

    Apr 15, 2022 21:52

    Wakuu wa Kamati za Masuala ya Kigeni na ya Ujasusi za Baraza la Wawakilishi la Marekani pamoja na zaidi ya wabunge 20 wa chama tawala cha Democrat wameitaka serikali ya Joe Biden kuchukua misimamo mikali dhidi ya Saudi Arabia hasa baada ya Riyadh kukataa kushirikiana na Washington dhidi ya Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS