-
Amir Abdollahian: Iran itaendeleza juhudi zake katika njia ya kuondoa vikwazo kwa nguvu na mantiki
Jul 15, 2022 07:01Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeazimia ipasavyo katika njia ya maendeleo endelevu ya kiuchumi na kuondolewa vikwazo ilivyowekewa.
-
Seneta John Kennedy: Kiwango cha kupendwa Biden kati ya Wamarekani ni sawa na kile kipindupindu
Jul 15, 2022 06:54Seneta John Kennedy amesema: Kiwango cha kupendwa Rais Joe Biden wa nchi hiyo baina ya Wamarekani ni sawa na kile cha ugonjwa wa kipindupindi.
-
Tamko la Iran kufuatia taarifa ya Biden na Lapid
Jul 15, 2022 02:34Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa tamko kufuatia taarifa ya pamoja ya Rais Joe Biden wa Marekani na waziri mkuu wa utawala haramu wa Israel Yair Lapid na kusema : "Maadamu utawala bandia wa Israel ni kituo cha kwanza cha safari za marais wa Marekani na lengo lao kuu ni kulinda usalama wa utawala huo, mataifa ya eneo hayatashuhudia amani, uthabiti na utulivu."
-
Kan’ani Chafi: Hadaa ni sifa iliyoshamiri ya wanasiasa wa Marekani
Jul 14, 2022 06:01Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hadaa na kusema uongo ni sifa ya kawaida katika kauli za wanasiasa wa Marekani.
-
China na Marekani zatunishiana misuli katika maji ya Visiwa vya Paracel
Jul 13, 2022 04:55Jeshi la Wanamaji la China limeitimua manowari ya makombora ya Marekani ya USS Benfold iliyoingia bila kibali kwenye eneo la mpaka wa majini wa nchi hiyo katika Bahari ya China Kusini.
-
Maseneta waitaka serikali ya Biden kuwajibika kuhusu uchunguzi wa mauaji ya Shireen
Jul 13, 2022 03:27Maseneta wa chama cha Democratic cha Marekani wameitaka serikali ya Rais Joe Biden wa nchi hiyo kuwajibika kuhusu uchunguzi unaohusu mauaji ya mwandishi wa habari wa Palestina wa televisheni ya Al Jazeera, Shireen Abu Akleh.
-
Msikiti washambuliwa New York katika hujuma ya chuki dhidi ya Uislamu
Jul 12, 2022 23:16Msikiti mmoja umevunjiwa heshima mjini New York, huo ukiwa ni muendelezo wa vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Marekani.
-
Jaribio la Biden kuhalalisha safari yake ya Saudi Arabia
Jul 11, 2022 20:55Rais Joe Biden wa Marekani amedai katika makala iliyochapishwa kwenye gazeti la Washington Post kwamba katika kipindi cha miezi 18 ya uongozi wake, eneo la Asia Magharibi limekuwa shwari na salama zaidi kuliko hapo awali. Biden ameyasema hayo katika jitihada zake za kujaribu kuhalalisha safari yake tarajiwa nchini Saud Arabia.
-
Iran yapinga mpango wa US kuunda mfumo wa ulinzi katika eneo
Jul 11, 2022 06:59Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeutaja mpango wa Marekani wa kutaka kuunda eti mfumo wa pamoja wa ngao ya makombora katika eneo hili kuwa ni wa kichochezi na kichokozi.
-
Kuendelea kupungua umaarufu wa Biden ndani ya Marekani kunahatarisha nafasi ya Wademocrat
Jul 10, 2022 22:05Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani unaonyesha kuwa umaarufu wa rais wa nchi hiyo Joe Biden unazidi kupungua.