Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • New York Times lafichua: CIA ilimtahadharisha Biden kuhusu mgogoro utakaozuka Afghanistan

    New York Times lafichua: CIA ilimtahadharisha Biden kuhusu mgogoro utakaozuka Afghanistan

    Aug 18, 2021 22:48

    Gazeti la New York Times limefichua kuwa, kabla wanajeshi wa Marekani hawajaondoka Afghanistan, Shirika la Ujasusi la Marekani CIA lilikuwa limeshamtahadharisha rais wa nchi hiyo Joe Biden kuhusu mgogoro utakaozuka ndani ya Afghanistan.

  • Facebook yatakiwa kufuta matangazo ya AIPAC yanayoeneza chuki dhidi ya Waislamu

    Facebook yatakiwa kufuta matangazo ya AIPAC yanayoeneza chuki dhidi ya Waislamu

    Aug 15, 2021 22:08

    Mtandao wa kijamii wa Facebook uko chini ya shinikizo yanayoutaka kuondoa matangazo yanayohujumu Uislamu na Waislamu dhidi ya mwakilishi Muislamu wa Kongesi ya Marekani Ilhan Omar, ambayo vikundi vya wanasheria vinasema yanahatarisha maisha ya mbunge huyo wa Minnesota.

  • Johnson akosoa uamuzi wa Marekani kuhusu Afghanistan

    Johnson akosoa uamuzi wa Marekani kuhusu Afghanistan

    Aug 15, 2021 05:31

    Sambamba na kundi la Taliban kuendelea kuteka maeneo zaidi huko Afghanistan na kuongezeka wasiwasi kuhusu mustakbali wa nchi hiyo, Boris Johnson, Waziri Mkuu wa Uingereza alisema Ijumaa kwamba hali ya Afghanistan ni mbaya mno na kwamba inatokana na uamuzi wa Rais Joe Biden wa kuondoa askari wa Marekani nchini humo.

  • Poland yakataa kulipa fidia kwa Marekani na Israel

    Poland yakataa kulipa fidia kwa Marekani na Israel

    Aug 14, 2021 21:54

    Waziri Mkuu wa Poland, Mateusz Morawiecki amepinga ukosoaji uliolenga hatua ya Bunge la nchi hiyo ya kupasisha sheria mbili zinazohusiana na umiliki wa vyombo vya habari na Holocaust na kusema kuwa, hakuna uwezekano wa kuruhusu utawala wa Kizayuni wa Israel kumiliki vyombo vya habari vya Poland.

  • Billy Prempeh: Wamarekani weusi wanabaguliwa katika utoaji wa chanjo ya corona

    Billy Prempeh: Wamarekani weusi wanabaguliwa katika utoaji wa chanjo ya corona

    Aug 14, 2021 08:20

    Mgombea wa chama cha Republican katika jimbo la New Jersy katika uchaguzi wa Kongresi ya Marekani amekosoa ubaguzi unaoshuhudiwa nchini humo dhidi ya Wamarekani weusi katika utoaji wa chanjo ya corona.

  • Umoja wa Mataifa wakosoa vikwazo vya upande mmoja

    Umoja wa Mataifa wakosoa vikwazo vya upande mmoja

    Aug 13, 2021 04:35

    Wataalamu huru wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa wamesema katika taarifa iliyosambazwa Jumatano kwamba vikwazo vya upande mmoja vinavyotekelezwa kimataifa na baadhi ya nchi vimewapokonya watu wengi ulimwenguni haki yao ya kujistawisha kimaendeleo.

  • Biden azidi kupungukiwa na fahamu, mara hii amepotea njia ya kuelekea ofisini kwake White House!

    Biden azidi kupungukiwa na fahamu, mara hii amepotea njia ya kuelekea ofisini kwake White House!

    Aug 12, 2021 21:55

    Rais Joe Biden wa Marekani ameendelea kuonyesha kuwa, mbali na kuboronga katika uzungumzaji, anazidi kupungukiwa na fahamu pia baada ya kupotea njia ya kuelekea ofisini kwake katika Ikulu ya White House.

  • Guterres azitaka Marekani na Russia kudhibiti silaha zao za nyuklia

    Guterres azitaka Marekani na Russia kudhibiti silaha zao za nyuklia

    Aug 10, 2021 05:21

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito kwa Marekani na Russia akizitaka kudhibiti silaha za nyuklia.

  • Iran: Mauaji ya Hiroshima ni kumbukumbu ya jinai za US dhidi ya binadamu

    Iran: Mauaji ya Hiroshima ni kumbukumbu ya jinai za US dhidi ya binadamu

    Aug 08, 2021 03:16

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema mashambulizi ya mabomu ya atomiki yaliyofanywa na Kikosi cha Anga cha Jeshi la Marekani dhidi ya miji ya Hiroshima na Nagasaki nchini Japan katika Vita Vya Pili Vya Dunia ndiyo jinai kubwa zaidi dhidi ya binadamu iliyowahi kuhuhudiwa katika uso wa dunia.

  • Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu Afghanistan

    Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu Afghanistan

    Aug 07, 2021 06:58

    Kikao maalumu cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu machafuko yanayoendelea nchini Afghanistan kilifanyika jana Ijumaa mjini New York.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS