Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Sudan yalipa fidia ya mashambulizi katika balozi za Marekani za Tanzania na Kenya

    Sudan yalipa fidia ya mashambulizi katika balozi za Marekani za Tanzania na Kenya

    Mar 31, 2021 21:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, serikali ya Sudan imeilipa fidia nchi hiyo kutokana na mashambulizi ya mabomu ya mwaka 1998 kwenye balozi za Marekani za Nairobi na Dar es Salaam katika nchi za Kenya na Tanzania.

  • Taasisi 27 za Marekani zamtaka Biden apunguze mizozo na Russia

    Taasisi 27 za Marekani zamtaka Biden apunguze mizozo na Russia

    Mar 31, 2021 21:46

    Taasisi 27 za nchini Marekani zimemtaka rais wa nchi hiyo, Joe Biden ajiepushe na kushadidisha mivutano na misuguano na Russia.

  • Russia: Marekani ingali inaiba mafuta na ngano ya Syria

    Russia: Marekani ingali inaiba mafuta na ngano ya Syria

    Mar 30, 2021 22:33

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa, Marekani inaendelea kuiba na kutorosha mafuta na ngano ya Syria.

  • Wakili wa Floyd awakosoa Wamarekani kwa kupuuza uhalifu na ubaguzi dhidi ya watu weusi

    Wakili wa Floyd awakosoa Wamarekani kwa kupuuza uhalifu na ubaguzi dhidi ya watu weusi

    Mar 30, 2021 22:32

    Wakili wa familia ya George Floyd amewakosoa Wamarekani kwa kupuuza jinai na uhalifu unaofanywa kwa makusudi dhidi ya jamii ya watu weusi nchini humo.

  • Kuendelea mivutano kati ya China na Marekani

    Kuendelea mivutano kati ya China na Marekani

    Mar 29, 2021 22:00

    Licha ya kuwepo utabiri wa awali kwamba mivutano iliyokuwepo kati ya China na nchi za Magharibi na hasa Marekani katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump ingepungua pakubwa mara tu baada ya kuoondoka madarakani rais huyo na kuingia White House Joe Biden, lakini mivutano hiyo ingalipo bali imeongezeka hata zaidi.

  • Wanajeshi vamizi wa Marekani wanapora ngano ya Syria

    Wanajeshi vamizi wa Marekani wanapora ngano ya Syria

    Mar 28, 2021 06:33

    Wanajeshi vamizi wa Marekani wamepora malori 38 ya ngano ya Syria iliyokuwa katika maghala huko Tal Alou katika mkoa wa Hasaka kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watoto wanaotafuta hifadhi kupelekwa katika kambi za kijeshi jimboni Texas

    Watoto wanaotafuta hifadhi kupelekwa katika kambi za kijeshi jimboni Texas

    Mar 25, 2021 06:51

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imeafiki kupelekwa maelfu ya watoto wanaotafuta hifadhi katika kambi za kijeshi jimboni Texas kufuatia hali ya mgogoro iliyojitokeza katika mpaka wa kusini wa Marekani. Watoto hao wanatazamiwa kupelekwa katika kambi mbili za kijeshi bila ya wazazi wao.

  • Serikali ya Biden yazidi kushinikizwa ikabiliane na mashambulio ya silahamoto yaliyokitihiri ndani ya Marekani

    Serikali ya Biden yazidi kushinikizwa ikabiliane na mashambulio ya silahamoto yaliyokitihiri ndani ya Marekani

    Mar 24, 2021 08:33

    Serikali ya Marekani inazidi kuandamwa na mashinikizo ya kuitaka ichukue hatua za kukabiliana na mashambulio ya utumiaji wa silahamoto yaliyokithiri katika jamii ya nchi hiyo.

  • Sisitizo la Russia na China juu ya kurejea bila masharti Marekani katika mapatano ya JCPOA

    Sisitizo la Russia na China juu ya kurejea bila masharti Marekani katika mapatano ya JCPOA

    Mar 24, 2021 07:51

    Wang Yi na Sergei Lavrov, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa China na Russia Jumatatu wiki hii tarehe 22 Machi walisiistiza udharura wa kurejea Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya masharti yoyote na kuondolewa vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran.

  • Wabunge 12 wa Marekani waipinga Israel na kuliunga mkono taifa la Palestina

    Wabunge 12 wa Marekani waipinga Israel na kuliunga mkono taifa la Palestina

    Mar 21, 2021 08:40

    Wabunge 12 wa Baraza la Wawakilishi la Marekani wamemuandikia baraua waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyio na kuitaka serikali mpya ya Marekani iheshimu na kuunga mkono haki za binadamu na heshima za wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS