-
Iran yakanusha kufanya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani
Mar 17, 2021 01:00Duru za kiusalama nchini Iran zimekadhibisha madai ya Marekani kwamba kuna mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja yanayoendelea baina ya Tehran na Washington.
-
Marekani inafanya juu chini kuzizuia nchi nyingine duniani zisinunue chanjo ya Russia
Mar 16, 2021 08:49Kampuni ya Russia iliyotengeneza chanjo ya corona kwa jina la Sputnik -V k imeyataja mashinikizo ya Marekani kwa nchi nyingine duniani ili kuzizuia kununua chanj hiyo kuwa kitendo kisiho cha kimaadili.
-
Ansarullah: Marekani haitaki amani irejee Yemen
Mar 16, 2021 04:46Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema: Serikali ya Marekani kwa matamshi yake ya upotoshaji na yasiyo ya kimantiki imeonyesha kuwa haitaki kuona amani ikirejea Yemen."
-
Iran: Marekani ni mvamizi Syria, itoke haraka
Mar 15, 2021 23:45Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, madola vamizi ikiwemo Marekani yanapaswa kutoka katika ardhi ya Syria na hiyo ndiyo njia pekee ya kukomesha mapigano nchini humo na kutatuliwa kwa njia za amani mgogoro wa nchi hiyo.
-
Saudi Arabia, mnunuzi mkubwa zaidi wa silaha duniani; Marekani muuzaji mkubwa
Mar 15, 2021 08:36Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stokholm, SIPRI, zaidi ya thuluthi moja ya silaha zilizonunuliwa duniani katika kipindi cha miaka mitano iliyopita zilinunuliwa kutoka Marekani na nusu ya silaha hizo zilitumwa katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Syria: Muongo mmoja baada ya kuanza vita vya kimataifa vya kigaidi
Mar 15, 2021 07:56Umetimia muongo mmoja tokea vianze vita baina ya serikali ya Syria na makundi ya kigaidi. Swali muhimu ambalo linaibuka hapa ni hili, je ni kwa nini vita hivi vilianza na vimekuwa na matokeo gani baada ya kupita miaka 10.
-
'Kufungiwa akaunti ya Twitter kumemuumiza zaidi Trump kuliko kushindwa katika uchaguzi'
Mar 15, 2021 00:22Mpwa wa rais wa zamani wa Marekani amesema, kufungiwa Donald Trump akaunti yake ya Twitter na kunyimwa fursa ya kuwa mwenyeji wa mashindano ya gofu vimemuumiza zaidi kuliko pigo alilopata kwa kushindwa katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.
-
National Interest: Iran ina uwezo wa kulisababishia hasara kubwa jeshi la Marekani
Mar 14, 2021 23:30Tovuti ya habari ya nchini Marekani ya National Interes imeashiria uwezo wa kiulinzi wa Iran na nafasi yake ya kijiografia na kuripoti kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo wa kulisababishia jeshi la Marekani hasara kubwa iwapo kutajiri shambulio lolote la nchi ajinabi dhidi yake.
-
Brigedia Jenerali Qaani: Sauti ya kuvunjika mifupa ya Marekani itasikika muda wake ukifika
Mar 12, 2021 08:33Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema kuwa, sauti ya kuvunjika mifupa ya Marekani itasikika muda wake ukifika.
-
Iran: Hakuna mazungumo yanayohitajika kwa Marekani kurejea katika JCPOA
Mar 11, 2021 23:11Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema mpango wa Marekani wa kutaka kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hauhitaji mazungumzo yoyote kwani Washington haikufanya mazungumzo wala mashauriano na yeyote wakati wa kujiondoa katika mapatano hayo ya kimataifa.