Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Iran yakanusha kufanya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani

    Iran yakanusha kufanya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani

    Mar 17, 2021 01:00

    Duru za kiusalama nchini Iran zimekadhibisha madai ya Marekani kwamba kuna mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja yanayoendelea baina ya Tehran na Washington.

  •  Marekani inafanya juu chini  kuzizuia nchi nyingine duniani zisinunue chanjo ya Russia

    Marekani inafanya juu chini kuzizuia nchi nyingine duniani zisinunue chanjo ya Russia

    Mar 16, 2021 08:49

    Kampuni ya Russia iliyotengeneza chanjo ya corona kwa jina la Sputnik -V k imeyataja mashinikizo ya Marekani kwa nchi nyingine duniani ili kuzizuia kununua chanj hiyo kuwa kitendo kisiho cha kimaadili.

  • Ansarullah: Marekani haitaki amani irejee Yemen

    Ansarullah: Marekani haitaki amani irejee Yemen

    Mar 16, 2021 04:46

    Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema: Serikali ya Marekani kwa matamshi yake ya upotoshaji na yasiyo ya kimantiki imeonyesha kuwa haitaki kuona amani ikirejea Yemen."

  • Iran: Marekani ni mvamizi Syria, itoke haraka

    Iran: Marekani ni mvamizi Syria, itoke haraka

    Mar 15, 2021 23:45

    Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, madola vamizi ikiwemo Marekani yanapaswa kutoka katika ardhi ya Syria na hiyo ndiyo njia pekee ya kukomesha mapigano nchini humo na kutatuliwa kwa njia za amani mgogoro wa nchi hiyo.

  • Saudi Arabia, mnunuzi mkubwa zaidi wa silaha duniani; Marekani muuzaji mkubwa

    Saudi Arabia, mnunuzi mkubwa zaidi wa silaha duniani; Marekani muuzaji mkubwa

    Mar 15, 2021 08:36

    Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stokholm, SIPRI, zaidi ya thuluthi moja ya silaha zilizonunuliwa duniani katika kipindi cha miaka mitano iliyopita zilinunuliwa kutoka Marekani na nusu ya silaha hizo zilitumwa katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Syria: Muongo mmoja baada ya kuanza vita vya kimataifa vya kigaidi

    Syria: Muongo mmoja baada ya kuanza vita vya kimataifa vya kigaidi

    Mar 15, 2021 07:56

    Umetimia muongo mmoja tokea vianze vita baina ya serikali ya Syria na makundi ya kigaidi. Swali muhimu ambalo linaibuka hapa ni hili, je ni kwa nini vita hivi vilianza na vimekuwa na matokeo gani baada ya kupita miaka 10.

  • 'Kufungiwa akaunti ya Twitter kumemuumiza zaidi Trump kuliko kushindwa katika uchaguzi'

    'Kufungiwa akaunti ya Twitter kumemuumiza zaidi Trump kuliko kushindwa katika uchaguzi'

    Mar 15, 2021 00:22

    Mpwa wa rais wa zamani wa Marekani amesema, kufungiwa Donald Trump akaunti yake ya Twitter na kunyimwa fursa ya kuwa mwenyeji wa mashindano ya gofu vimemuumiza zaidi kuliko pigo alilopata kwa kushindwa katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • National Interest: Iran ina uwezo wa kulisababishia hasara kubwa jeshi la Marekani

    National Interest: Iran ina uwezo wa kulisababishia hasara kubwa jeshi la Marekani

    Mar 14, 2021 23:30

    Tovuti ya habari ya nchini Marekani ya National Interes imeashiria uwezo wa kiulinzi wa Iran na nafasi yake ya kijiografia na kuripoti kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo wa kulisababishia jeshi la Marekani hasara kubwa iwapo kutajiri shambulio lolote la nchi ajinabi dhidi yake.

  • Brigedia Jenerali Qaani: Sauti ya kuvunjika mifupa ya Marekani itasikika muda wake ukifika

    Brigedia Jenerali Qaani: Sauti ya kuvunjika mifupa ya Marekani itasikika muda wake ukifika

    Mar 12, 2021 08:33

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema kuwa, sauti ya kuvunjika mifupa ya Marekani itasikika muda wake ukifika.

  • Iran: Hakuna mazungumo yanayohitajika kwa Marekani kurejea katika JCPOA

    Iran: Hakuna mazungumo yanayohitajika kwa Marekani kurejea katika JCPOA

    Mar 11, 2021 23:11

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema mpango wa Marekani wa kutaka kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hauhitaji mazungumzo yoyote kwani Washington haikufanya mazungumzo wala mashauriano na yeyote wakati wa kujiondoa katika mapatano hayo ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS