-
Vikwazo vya kwanza vya serikali ya Biden dhidi ya Iran, muendelezo wa sera za uhasama za Marekani
Mar 11, 2021 06:31Baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA mnamo Mei 2018 katika zama za utawala wa Donald Trump, nchi hiyo ilianza kutekeleza sera za mashinikizo ya juu kabisa pamoja na vikwazo ambavyo havijawahi kushuhudiwa katika historia dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Pamoja na kuwepo janga la corona, Iran imeendelea kuwekewa vikwazo hivyo vilivyo dhidi ya binadamu.
-
Bernie Sanders: Umasikini baina ya watoto umeongezeka nchini Marekani
Mar 09, 2021 23:18Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amesema kuwa, kiwango cha umasikini baina ya watoto nchini humo kimeongezeka mno na kufikia kiwango cha juu kabisa ikilinganishwa na mataifa muhimu duniani.
-
Serikali ya Biden kutekeleza hujuma za kimtandao dhidi ya Russia
Mar 09, 2021 01:19Duru moja ya habari iliyo karibu na chama tawala cha Dmocrat nchini Marekani imefichua kuwa, kuna uwezekano Washington wiki tatu za karibuni ikatekeleza silsila ya hujuma za kimtandao dhidi ya Russia.
-
Marekani; tishio kubwa zaidi kwa China
Mar 08, 2021 06:28Huku vita vya maneno vikizidi kuongezeka kati ya viongozi wa China na Marekani, mara hii Rais Xi Jinping wa China amesema kuwa Marekani ndilo tishio kubwa zaidi kwa usalama wa nchi yake.
-
'Hayatafanyika mazungumzo yoyote bila Marekani kuondoa vikwazo vyote dhidi ya Iran'
Mar 08, 2021 04:35Duru moja ya kuaminika ya kiusalama nchini imetangaza kuwa: hakuna mazungumzo yoyote na katika sura yoyote yatakayofanyika baina ya Iran na Marekani bila kuondolewa kwanza vikwazo vya Washington dhidi ya Tehran.
-
Iraq kukamilisha ripoti kuhusu askari wa jeshi la kigaidi la Marekani kuondoka nchini humo
Mar 08, 2021 04:35Mjumbe wa kamati ya usalama na ulinzi ya Bunge la Iraq amesema, imeundwa kamati maalum ya kuandaa ripoti rasmi kuhusu kuondoka kikamilifu askari wa Marekani katika ardhi ya nchi hiyo na kuhitimishwa mvutano juu ya kadhia hiyo.
-
Meja Jenerali Safavi: Iran iko katika kilele cha uwezo wa kujihami angani
Mar 07, 2021 23:13Mshauri wa Ngazi za Juu wa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Iran hivi sasa iko katika kilele cha uwezo wa kujihami hasa katika uga wa angani.
-
Wingu la umasikini limegubika maisha ya Wamarekani milioni 55
Mar 07, 2021 10:18Vyombo vya habari nchini Marekani vimetangaza kuwa sudusi moja ya watu wa nchi hiyo hawana uhakika wa kupata chakula.
-
Mbunge wa Bunge la Ulaya akosoa siasa za vikwazo za Marekani
Mar 07, 2021 04:41Mbunge mmoja wa Bunge la Ulaya raia wa Ireland amekosa siasa za vikwazo za Marekani dhidi ya mataifa mengine huru yanayojitawala na kuzitaja siasa hizo kuwa ni ugaidi wa kiuchumi.
-
Marekani na miundombinu yake iliyoatilika kwa ndani na kupenda kwake vita duniani
Mar 05, 2021 23:24Baada ya kipindi cha vita baridi lakini zaidi baada ya mashambulio ya Septemba 11, 2001, Marekani imeshadirisha siasa zake za kupenda vita na kuzusha machafuko duniani kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi. Hadi hivi sasa imeshatumia mamia ya mabilioni ya dola katika jambo hilo. Hiyo ni katika hali ambayo, wataalamu wa ndani ya Marekani wanakiri kwamba miundombinu muhimu ya nchi hiyo iko katika hali mahututi.