Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Vikwazo vya kwanza vya serikali ya Biden dhidi ya Iran, muendelezo wa sera za uhasama za Marekani

    Vikwazo vya kwanza vya serikali ya Biden dhidi ya Iran, muendelezo wa sera za uhasama za Marekani

    Mar 11, 2021 06:31

    Baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA mnamo Mei 2018 katika zama za utawala wa Donald Trump, nchi hiyo ilianza kutekeleza sera za mashinikizo ya juu kabisa pamoja na vikwazo ambavyo havijawahi kushuhudiwa katika historia dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Pamoja na kuwepo janga la corona, Iran imeendelea kuwekewa vikwazo hivyo vilivyo dhidi ya binadamu.

  • Bernie Sanders: Umasikini baina ya watoto umeongezeka nchini Marekani

    Bernie Sanders: Umasikini baina ya watoto umeongezeka nchini Marekani

    Mar 09, 2021 23:18

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amesema kuwa, kiwango cha umasikini baina ya watoto nchini humo kimeongezeka mno na kufikia kiwango cha juu kabisa ikilinganishwa na mataifa muhimu duniani.

  • Serikali ya Biden kutekeleza hujuma za kimtandao dhidi ya Russia

    Serikali ya Biden kutekeleza hujuma za kimtandao dhidi ya Russia

    Mar 09, 2021 01:19

    Duru moja ya habari iliyo karibu na chama tawala cha Dmocrat nchini Marekani imefichua kuwa, kuna uwezekano Washington wiki tatu za karibuni ikatekeleza silsila ya hujuma za kimtandao dhidi ya Russia.

  • Marekani; tishio kubwa zaidi kwa China

    Marekani; tishio kubwa zaidi kwa China

    Mar 08, 2021 06:28

    Huku vita vya maneno vikizidi kuongezeka kati ya viongozi wa China na Marekani, mara hii Rais Xi Jinping wa China amesema kuwa Marekani ndilo tishio kubwa zaidi kwa usalama wa nchi yake.

  • 'Hayatafanyika mazungumzo yoyote bila Marekani kuondoa vikwazo vyote dhidi ya Iran'

    'Hayatafanyika mazungumzo yoyote bila Marekani kuondoa vikwazo vyote dhidi ya Iran'

    Mar 08, 2021 04:35

    Duru moja ya kuaminika ya kiusalama nchini imetangaza kuwa: hakuna mazungumzo yoyote na katika sura yoyote yatakayofanyika baina ya Iran na Marekani bila kuondolewa kwanza vikwazo vya Washington dhidi ya Tehran.

  • Iraq kukamilisha ripoti kuhusu askari wa jeshi la kigaidi la Marekani kuondoka nchini humo

    Iraq kukamilisha ripoti kuhusu askari wa jeshi la kigaidi la Marekani kuondoka nchini humo

    Mar 08, 2021 04:35

    Mjumbe wa kamati ya usalama na ulinzi ya Bunge la Iraq amesema, imeundwa kamati maalum ya kuandaa ripoti rasmi kuhusu kuondoka kikamilifu askari wa Marekani katika ardhi ya nchi hiyo na kuhitimishwa mvutano juu ya kadhia hiyo.

  • Meja Jenerali Safavi: Iran iko katika kilele cha uwezo wa kujihami angani

    Meja Jenerali Safavi: Iran iko katika kilele cha uwezo wa kujihami angani

    Mar 07, 2021 23:13

    Mshauri wa Ngazi za Juu wa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Iran hivi sasa iko katika kilele cha uwezo wa kujihami hasa katika uga wa angani.

  • Wingu la umasikini limegubika maisha ya Wamarekani milioni 55

    Wingu la umasikini limegubika maisha ya Wamarekani milioni 55

    Mar 07, 2021 10:18

    Vyombo vya habari nchini Marekani vimetangaza kuwa sudusi moja ya watu wa nchi hiyo hawana uhakika wa kupata chakula.

  • Mbunge wa Bunge la Ulaya akosoa siasa za vikwazo za Marekani

    Mbunge wa Bunge la Ulaya akosoa siasa za vikwazo za Marekani

    Mar 07, 2021 04:41

    Mbunge mmoja wa Bunge la Ulaya raia wa Ireland amekosa siasa za vikwazo za Marekani dhidi ya mataifa mengine huru yanayojitawala na kuzitaja siasa hizo kuwa ni ugaidi wa kiuchumi.

  • Marekani na miundombinu yake iliyoatilika kwa ndani na kupenda kwake vita duniani

    Marekani na miundombinu yake iliyoatilika kwa ndani na kupenda kwake vita duniani

    Mar 05, 2021 23:24

    Baada ya kipindi cha vita baridi lakini zaidi baada ya mashambulio ya Septemba 11, 2001, Marekani imeshadirisha siasa zake za kupenda vita na kuzusha machafuko duniani kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi. Hadi hivi sasa imeshatumia mamia ya mabilioni ya dola katika jambo hilo. Hiyo ni katika hali ambayo, wataalamu wa ndani ya Marekani wanakiri kwamba miundombinu muhimu ya nchi hiyo iko katika hali mahututi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS