-
Jeshi la Afghanistan laikosoa Marekani kwa kutotoa ushirikiano katika mapambano dhidi ya ugaidi
Nov 13, 2020 02:33Mkuu wa vikosi vya jeshi la Afghanistan amesema kuwa Marekani haitoa ushirikiano wowote kwa jeshi hilo katika mapambano dhidi ya kundi la Taliban na magenge ya magaidi.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran, muendelezo wa njama za aliyeshindwa
Nov 12, 2020 07:13Baada ya Donald Trump kuitoa Marekani katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia yajulikanayo kwa jina la JCPOA hapo mwezi Mei 2018, Washington iliiwekea Iran vikwazo vya kiwango cha juu na hadi leo hii, kila siku inaweka vikwazo vipya.
-
Nasrullah: Utawala wa Trump ndio mbaya zaidi katika historia ya Marekani
Nov 12, 2020 03:57Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa rais anayeondoka wa Marekani, Donald Trump ndiyo serikali mbaya zaidi katika historia ya nchi hiyo.
-
Huduma kubwa ya Trump kwa Wazayuni; kuongezeka mara mbili na nusu ujenzi haramu wa vitongoji katika kipindi cha miaka minne
Nov 12, 2020 03:56Kundi linalojulikana kwa jina la "Amani Sasa" lililoko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina la Israel limetangaza kuwa, ujenzi haramu wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina katika kipindi cha miaka minne ya urais wa Donald Trump nchini Marekani umeongezeka mara mbili na nusu.
-
Iran: Hatuogopi Trump akibaki wala hatutasisimuka Biden akiingia madarakani
Nov 11, 2020 04:23Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria matukio ya sasa ya uchaguzi wa rais nchini Marekani na kusema: "Hatuogopi iwapo Trump atabakia na wala hatutasisimuka iwapo Biden ataingia madarakani. Tunachukua maamuzi kwa mujibu wa maslahi yetu."
-
Ujenzi haramu wa vitongoji Palestina umeongezeka maradufu katika utawala wa Trump
Nov 11, 2020 00:43Kundi liitwalo "Amani Sasa" lililoko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopewa jina la Israel limetangaza kuwa, ujenzi haramu wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina katika kipindi cha miaka minne ya urais wa Donald Trump nchini Marekani umeongezeka maradufu.
-
Kuuzuliwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani; pigo jingine kwa serikali inayotetereka ya Trump
Nov 10, 2020 23:07Rais Donald Trump wa Marekani ambaye alishika hatamu za uongozi wa nchi hiyo akitokea nje ya mzunguko wa kisiasa, katika uga wa timu yake ya uongozi pia amekuwa na utendaji wa ajabu na ambao haujazoeleka.
-
Trump amfuta kazi Waziri wa Ulinzi, wasomi waonya dhidi ya hatua za rais huyo wa US
Nov 10, 2020 04:40Katika hali ambayo mgogoro unaendelea kutotoka nchini Marekani baada ya Joe Biden kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais huku Donald Trump akipinga matokeo hayo kwa madai kuwa uchaguzi uligubikwa na wizi wa kura, rais huyo anayeondoka wa US amempiga kalamu nyekundu Waziri wa Ulinzi, Mark Esper.
-
Takwa la harakati ya Black Lives Matter kwa Joe Biden
Nov 10, 2020 04:32Ukatili mkubwa na ubaguzi wa rangi wa kimfumo dhidi ya watu weusi daima vimekuwa miongoni mwa sifa kuu za jamii ya Mareikani tangu nchi hiyo ilipoasisiwa. Wamarekani weusi wamekuwa wakikumbana na sulubu na mashaka mengi ya aina mbalimbali za ubaguzi na ukatili licha ya miaka mingi ya mapambano ya kupigania haki zao.
-
Rais Rouhani: Serikali mpya ya Marekani irekebishe sura yake mbaya katika mahusiano na nchi nyingine
Nov 10, 2020 08:28Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa serikali mpya ya Marekani inapaswa kufanya marekebisho katika mienendo yake isiyo ya kibinadamu na nchi nyingine za dunia.