-
Uwezekano wa Biden kuendeleza sera za kivita za Marekani
Nov 10, 2020 01:15Afisa wa zamani wa Shirika la Usalama na Ushirikiano la Ulaya (OSCE) ametahadharisha kuwa, kwa kuzingatia historia ya chama cha Democrat, kuna uwezekano mkubwa kuwa sera za kivita za Marekani zitaendelea wakati wa urais wa Joe Biden.
-
Black Lives Matter yamtaka rais mteule wa Marekani kujali maisha ya Wamarekani weusi
Nov 09, 2020 08:35Harakati ya Black Lives Matter imemwandikia barua rais mteule wa Marekani Joe Biden na makamu wake Kamala Harris ikiwataka wayape kipaumbele matakwa ya Wamarekani weusi.
-
Mke wa Trump, Melania amtaka mumuwe akubali kushindwa katika uchaguzi wa rais
Nov 09, 2020 03:41Mke wa Rais Donald Trump wa Marekani amemtaka mumuwe akubali kushindwa mkabala wa mgombea wa chama cha Democratic, Joe Biden katika uchaguzi wa rais uliofanyika tarehe 3 mwezi huu.
-
Makundi ya Kipalestina: Msimamo wa uhasama wa Marekani kuhusu Palestina haubadiliki
Nov 09, 2020 00:58Makundi ya Kipalestina yametangaza kuwa kuingia madarakani Joe Biden hakutabadili msimamo wa kiuhasama wa Marekani kuhusu kadhia ya Palestina.
-
Makamu wa Rais wa Iran: Vituko vya Trump vimefika ukingoni
Nov 08, 2020 04:41Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amesema zama za Rais Donald Trump wa Marekani na vituko vyake pamoja na timu yake inayopenda vita zimefika ukingoni.
-
Uchaguzi wa rais wa 2020; nembo ya demokrasia bandia ya Marekani
Nov 07, 2020 06:44Kama ilivyokuwa imetabiriwa awali, uchaguzi wa mwaka huu wa rais wa Marekani ambao ulifanyika tarehe 3 mwezi huu wa Novemba umekuwa moja ya chaguzi zenye utata mkubwa zaidi katika historia ya nchi hiyo, uchaguzi ambao taathriza zake bila shaka zitabakia kwa muda mrefu katika uwanja wa siasa za nchi hiyo.
-
Wafuasi wa Trump wenye bunduki wazingira vituo vya kuhesabu kura
Nov 07, 2020 04:09Idadi kubwa ya wafuasi wa Rais Donald Trump wa Marekani wameonekana katika vituo kadhaa vya kuhesabu kura nchini humo wakiwa wamebeba bunduki za rashasha.
-
Sisitizo la Putin la kumuunga mkono Lukashenko mkabala na vikwazo vipya vya nchi za Magharibi
Nov 06, 2020 03:17Maandamano makubwa yaliyofanyika hivi karibuni nchini Belarus kufuatia uchaguzi uliomrejesha tena madarakani Rais Alexander Lukashenko, kilikuwa kisingizio kizuri kwa nchi za Magharibi kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo na kuanza kutekeleza vikwazo na siasa za uhasama dhidi ya serikali yake.
-
"Serikali ijayo ya Marekani haina budi kusalimu amri mbele ya Iran"
Nov 05, 2020 08:53Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema serikali ijayo ya Marekani haitakuwa na chaguo jingine ghairi ya kusalimu amri mkabala wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Hitilafu zaongezeka kuhusu kura za uchaguzi wa Rais nchini Marekani
Nov 05, 2020 04:28Spika wa bunge la wawakilishi la Marekani amewaandikia barua wabunge wa chama cha Democratic akisistiza kuwa mgombea wa kiti cha urais wa chama hicho ana kura za kutosha za baraza maalumu la wajumbe wanaomchagua rais ( Electoral College) za kumfanya aibuke na ushindi na kuingia White House.