Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Uwezekano wa Biden kuendeleza sera za kivita za Marekani

    Uwezekano wa Biden kuendeleza sera za kivita za Marekani

    Nov 10, 2020 01:15

    Afisa wa zamani wa Shirika la Usalama na Ushirikiano la Ulaya (OSCE) ametahadharisha kuwa, kwa kuzingatia historia ya chama cha Democrat, kuna uwezekano mkubwa kuwa sera za kivita za Marekani zitaendelea wakati wa urais wa Joe Biden.

  • Black Lives Matter yamtaka rais mteule wa Marekani kujali maisha ya Wamarekani weusi

    Black Lives Matter yamtaka rais mteule wa Marekani kujali maisha ya Wamarekani weusi

    Nov 09, 2020 08:35

    Harakati ya Black Lives Matter imemwandikia barua rais mteule wa Marekani Joe Biden na makamu wake Kamala Harris ikiwataka wayape kipaumbele matakwa ya Wamarekani weusi.

  • Mke wa Trump, Melania amtaka mumuwe akubali kushindwa katika uchaguzi wa rais

    Mke wa Trump, Melania amtaka mumuwe akubali kushindwa katika uchaguzi wa rais

    Nov 09, 2020 03:41

    Mke wa Rais Donald Trump wa Marekani amemtaka mumuwe akubali kushindwa mkabala wa mgombea wa chama cha Democratic, Joe Biden katika uchaguzi wa rais uliofanyika tarehe 3 mwezi huu.

  • Makundi ya Kipalestina: Msimamo wa uhasama wa Marekani kuhusu Palestina haubadiliki

    Makundi ya Kipalestina: Msimamo wa uhasama wa Marekani kuhusu Palestina haubadiliki

    Nov 09, 2020 00:58

    Makundi ya Kipalestina yametangaza kuwa kuingia madarakani Joe Biden hakutabadili msimamo wa kiuhasama wa Marekani kuhusu kadhia ya Palestina.

  • Makamu wa Rais wa Iran: Vituko vya Trump vimefika ukingoni

    Makamu wa Rais wa Iran: Vituko vya Trump vimefika ukingoni

    Nov 08, 2020 04:41

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amesema zama za Rais Donald Trump wa Marekani na vituko vyake pamoja na timu yake inayopenda vita zimefika ukingoni.

  • Uchaguzi wa rais wa 2020; nembo ya demokrasia bandia ya Marekani

    Uchaguzi wa rais wa 2020; nembo ya demokrasia bandia ya Marekani

    Nov 07, 2020 06:44

    Kama ilivyokuwa imetabiriwa awali, uchaguzi wa mwaka huu wa rais wa Marekani ambao ulifanyika tarehe 3 mwezi huu wa Novemba umekuwa moja ya chaguzi zenye utata mkubwa zaidi katika historia ya nchi hiyo, uchaguzi ambao taathriza zake bila shaka zitabakia kwa muda mrefu katika uwanja wa siasa za nchi hiyo.

  • Wafuasi wa Trump wenye bunduki wazingira vituo vya kuhesabu kura

    Wafuasi wa Trump wenye bunduki wazingira vituo vya kuhesabu kura

    Nov 07, 2020 04:09

    Idadi kubwa ya wafuasi wa Rais Donald Trump wa Marekani wameonekana katika vituo kadhaa vya kuhesabu kura nchini humo wakiwa wamebeba bunduki za rashasha.

  • Sisitizo la Putin la kumuunga mkono Lukashenko mkabala na vikwazo vipya vya nchi za Magharibi

    Sisitizo la Putin la kumuunga mkono Lukashenko mkabala na vikwazo vipya vya nchi za Magharibi

    Nov 06, 2020 03:17

    Maandamano makubwa yaliyofanyika hivi karibuni nchini Belarus kufuatia uchaguzi uliomrejesha tena madarakani Rais Alexander Lukashenko, kilikuwa kisingizio kizuri kwa nchi za Magharibi kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo na kuanza kutekeleza vikwazo na siasa za uhasama dhidi ya serikali yake.

  • "Serikali ijayo ya Marekani haina budi kusalimu amri mbele ya Iran"

    Nov 05, 2020 08:53

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema serikali ijayo ya Marekani haitakuwa na chaguo jingine ghairi ya kusalimu amri mkabala wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Hitilafu zaongezeka kuhusu kura za uchaguzi wa Rais nchini Marekani

    Hitilafu zaongezeka kuhusu kura za uchaguzi wa Rais nchini Marekani

    Nov 05, 2020 04:28

    Spika wa bunge la wawakilishi la Marekani amewaandikia barua wabunge wa chama cha Democratic akisistiza kuwa mgombea wa kiti cha urais wa chama hicho ana kura za kutosha za baraza maalumu la wajumbe wanaomchagua rais ( Electoral College) za kumfanya aibuke na ushindi na kuingia White House.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS