-
Kujiondoa rasmi Marekani katika Mapatano ya Tabianchi ya Paris
Nov 05, 2020 04:22Marekani ambayo imejiondoa katika mikataba kadhaa ya kimataifa wakati wa utawala wa Donald Trump, sasa imejiondoa rasmi katika Makubaliano ya Mabadiliko ya Tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015. Mapatano hayo ni muhimu katika kulinda mazingira ili kuzuia ongezeko la joto duniani.
-
Makumi ya watu watiwa mbaroni katika machafuko ya uchaguzi nchini Marekani
Nov 04, 2020 11:46Polisi nchini Marekani wametangaza kuwatia mbaroni makumi ya watu katika jimbo la California katika machafuko ya uchaguzi.
-
Marekani yajiondoa rasmi katika Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi wa Paris
Nov 04, 2020 08:57Marekani hii leo imejiondoa rasmi katika Makubaliano ya Mabadiliko ya Tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015.
-
Rouhani: Iran haijali ni nani ataibuka mshindi katika uchaguzi wa Marekani
Nov 04, 2020 08:06Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili halijalishwi wala kushughulishwa na ni nani atakayeibuka mshindi katika uchaguzi wa rais wa Marekani uliofanyika jana Jumanne.
-
Muungano wa al Faf'h Iraq: Trump na Biden ni pande mbili za sarafu moja
Nov 04, 2020 04:15Muungano wa al Fat'h katika Bunge la Iraq umetangaza kuwa Donald Trump na Joe Biden ni pande mbili za sarafu moja na kwamba, yeyote atakayeshinda uchaguzi wa rais wa Marekani baina ya wawili hao atahudumia maslahi ya harakati za Wazayuni za kutaka kujipanua zaidi katika eneo hili la magharibi mwa Asia.
-
Kurefusha Marekani vikwazo dhidi ya Sudan; zawadi ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel
Nov 03, 2020 10:11Serikali ya Trump ikiwa na lengo la kuuridhisha utawala wa haramu wa Israel imechukua hatua tofauti ikiwemo ya kuandaa uwanja wa kutambuliwa rasmi utawala huo na mataifa ya Kiarabu na Kiislamu ambapo hatua yake ya karibuni kabisa na kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Sudan na utawala huo ghasibu.
-
Trump arefusha vikwazo dhidi ya Sudan licha ya Khartoum kukubali kuanzisha uhusiano na Israel
Nov 03, 2020 05:47Rais Donald Trump wa Marekani amerufusha hali ya hatari na vikwazo vva nchi hiyo dhidi ya Sudan licha ya kutoa ahadi ya kuiondoa nchi hiyo katika orodha ya Washington ya nchi eti zinazofadhili ugaidi baada ya Khartoum kukubali kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel.
-
Kushadidi migawanyiko ya kisiasa na kijamii Marekani
Nov 02, 2020 08:08Kampeni za uchaguzi wa rais wa Marekani zimefika ukingoni. Ikiwa imesalia masaa machache kabla ya uchaguzi mkuu, kumeshuhudiwa majibizano makali baina ya wagombea urais na wafuasi wao na hata katika baadhi ya maeneo kumeripotiwa kuongezeka mapigano ya mitaani baina ya wafuasi wa kambi mbili hasimu za kisiasa.
-
Marekani sasa inaishinikiza Somalia kuanzisha uhusiano na Israel
Nov 02, 2020 04:04Vyombo vya habari nchini Somalia vimeripoti kuwa, Marekani inaishinikiza nchi hiyo ianzishe uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wasiwasi wa kuibuka ghasia huku siku ya uchaguzi ikikaribia Marekani
Nov 01, 2020 08:26Kuna wasiwasi mkubwa kuwa kutaibuka machafuko na ghasia nchini Marekani baada ya upigaji kura siku ya Jumanne.