Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kujiondoa rasmi Marekani katika Mapatano ya Tabianchi ya Paris

    Kujiondoa rasmi Marekani katika Mapatano ya Tabianchi ya Paris

    Nov 05, 2020 04:22

    Marekani ambayo imejiondoa katika mikataba kadhaa ya kimataifa wakati wa utawala wa Donald Trump, sasa imejiondoa rasmi katika Makubaliano ya Mabadiliko ya Tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015. Mapatano hayo ni muhimu katika kulinda mazingira ili kuzuia ongezeko la joto duniani.

  • Makumi ya watu watiwa mbaroni katika machafuko ya uchaguzi nchini Marekani

    Makumi ya watu watiwa mbaroni katika machafuko ya uchaguzi nchini Marekani

    Nov 04, 2020 11:46

    Polisi nchini Marekani wametangaza kuwatia mbaroni makumi ya watu katika jimbo la California katika machafuko ya uchaguzi.

  • Marekani yajiondoa rasmi katika Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi wa Paris

    Marekani yajiondoa rasmi katika Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi wa Paris

    Nov 04, 2020 08:57

    Marekani hii leo imejiondoa rasmi katika Makubaliano ya Mabadiliko ya Tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015.

  • Rouhani: Iran haijali ni nani ataibuka mshindi katika uchaguzi wa Marekani

    Rouhani: Iran haijali ni nani ataibuka mshindi katika uchaguzi wa Marekani

    Nov 04, 2020 08:06

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili halijalishwi wala kushughulishwa na ni nani atakayeibuka mshindi katika uchaguzi wa rais wa Marekani uliofanyika jana Jumanne.

  • Muungano wa al Faf'h Iraq: Trump na Biden ni pande mbili za sarafu moja

    Muungano wa al Faf'h Iraq: Trump na Biden ni pande mbili za sarafu moja

    Nov 04, 2020 04:15

    Muungano wa al Fat'h katika Bunge la Iraq umetangaza kuwa Donald Trump na Joe Biden ni pande mbili za sarafu moja na kwamba, yeyote atakayeshinda uchaguzi wa rais wa Marekani baina ya wawili hao atahudumia maslahi ya harakati za Wazayuni za kutaka kujipanua zaidi katika eneo hili la magharibi mwa Asia.

  • Kurefusha Marekani vikwazo dhidi ya Sudan; zawadi ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Kurefusha Marekani vikwazo dhidi ya Sudan; zawadi ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Nov 03, 2020 10:11

    Serikali ya Trump ikiwa na lengo la kuuridhisha utawala wa haramu wa Israel imechukua hatua tofauti ikiwemo ya kuandaa uwanja wa kutambuliwa rasmi utawala huo na mataifa ya Kiarabu na Kiislamu ambapo hatua yake ya karibuni kabisa na kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Sudan na utawala huo ghasibu.

  • Trump arefusha vikwazo dhidi ya Sudan licha ya Khartoum kukubali kuanzisha uhusiano na Israel

    Trump arefusha vikwazo dhidi ya Sudan licha ya Khartoum kukubali kuanzisha uhusiano na Israel

    Nov 03, 2020 05:47

    Rais Donald Trump wa Marekani amerufusha hali ya hatari na vikwazo vva nchi hiyo dhidi ya Sudan licha ya kutoa ahadi ya kuiondoa nchi hiyo katika orodha ya Washington ya nchi eti zinazofadhili ugaidi baada ya Khartoum kukubali kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel.

  • Kushadidi migawanyiko ya kisiasa na kijamii Marekani

    Kushadidi migawanyiko ya kisiasa na kijamii Marekani

    Nov 02, 2020 08:08

    Kampeni za uchaguzi wa rais wa Marekani zimefika ukingoni. Ikiwa imesalia masaa machache kabla ya uchaguzi mkuu, kumeshuhudiwa majibizano makali baina ya wagombea urais na wafuasi wao na hata katika baadhi ya maeneo kumeripotiwa kuongezeka mapigano ya mitaani baina ya wafuasi wa kambi mbili hasimu za kisiasa.

  • Marekani sasa inaishinikiza Somalia kuanzisha uhusiano na Israel

    Marekani sasa inaishinikiza Somalia kuanzisha uhusiano na Israel

    Nov 02, 2020 04:04

    Vyombo vya habari nchini Somalia vimeripoti kuwa, Marekani inaishinikiza nchi hiyo ianzishe uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wasiwasi wa kuibuka ghasia huku siku ya uchaguzi ikikaribia Marekani

    Wasiwasi wa kuibuka ghasia huku siku ya uchaguzi ikikaribia Marekani

    Nov 01, 2020 08:26

    Kuna wasiwasi mkubwa kuwa kutaibuka machafuko na ghasia nchini Marekani baada ya upigaji kura siku ya Jumanne.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS