-
Kufichuliwa hatua za upendeleo za Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wa Marekani kwa maslahi ya kampeni za uchaguzi za Trump
Oct 30, 2020 09:09Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wa Marekani John Ratcliffe amezungumzia tuhuma za Iran kuingilia uchaguzi wa mwaka huu wa Marekani ambazo sasa imebainika kuwa zimetolewa ili kuimarisha kampeni za uchaguzi za Donald Trump.
-
Trump akiri: Hakuna uhuru wa vyombo vya habari nchini Marekani
Oct 29, 2020 23:16Tangu aliposhika madaraka ya nchi Januari mwaka 2017, Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akihujumu vikali vyombo vya habari vinavyomkosoa yeye na utendaji wa serikali yake.
-
Wamarekani magaidi waendelea kuiba mafuta ya Syria
Oct 28, 2020 08:54Duru mbalimbali za Syria zimetangaza habari ya kuendelea wizi wa mafuta ya nchi hiyo unaofanywa na wanajeshi magaidi wa Marekani.
-
Iran: Njama mpya za Marekani na Israel dhidi yetu zitafeli
Oct 28, 2020 04:15Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema njama mpya za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kutoa pigo kwa Iran kupitia uanzishwaji wa uhusiano wa kawaida na Tel Aviv, zitagonga mwamba.
-
Ununuzi wa silaha waongezeka Marekani kwa kiwango cha kutisha wakati wa kukaribia uchaguzi wa rais
Oct 25, 2020 23:03Kuongezeka ununuzi wa silaha kwa kiwango cha kutisha nchini Marekani kumezidisha hofu na wasiwasi wa kuzuka machafuko baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.
-
Ethiopia yamwita kumsaili balozi wa Marekani kwa matamshi aliyotoa Trump
Oct 24, 2020 11:11Balozi wa Marekani mjini Addis Ababa ameitwa kusailiwa kufuatia kauli aliyotoa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu bwawa la An-Nahdhah au Renaissance.
-
Wasiwasi wa Amnesty International kuhusu ghasia na machafuko katika kampeni za uchaguzi Marekani
Oct 24, 2020 07:38Kupamba moto kampeni za uchaguzi nchini Marekani kwa katika kipindi hiki cha kukaribia tarehe ya uchaguzi wa rais hapo Novemba 3 mwaka huu, na jitihada za Rais Donald Trump wa nchi hiyo ambaye ni mgombea wa chama cha Republican za kutaka kuzusha hali ya mvutano katika jamii ya Marekani, vimeibua hali ya wasiwasi.
-
Amnesty: 75% ya mikutano ya kampeni za uchaguzi Marekani imeshuhudia fujo
Oct 24, 2020 04:22Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza juu ya wasi wasi mkubwa lilionao kutokana na kushtadi vitendo vya ghasia, machafuko na mapigano katika mikutano ya kampeni za uchaguzi mkuu nchini Marekani.
-
Iran yamuwekea vikwazo balozi wa Marekani nchini Iraq kwa ugaidi
Oct 24, 2020 04:19Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuwekea vikwazo Balozi wa Marekani nchini Iraq, Matthew Tueller kwa kujihusisha na vitendo vya kigaidi.
-
Jaji wa Marekani ataka Bin Salman apandishwe kizimbani kwa jaribio na mauaji ya kigaidi
Oct 24, 2020 00:49Jaji wa mahakama moja ya Marekani amemtaka mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman ajibu mashtaka ya tuhuma za kutaka kumuua kigaidi Saad al Jabri, mkuu wa zamani wa Idara ya Intelijensia la Saudi Arabia aliyekimbilia nchini Canada.