Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Lawama na ukosoaji dhidi ya Marekani kwa kuyatuhumu mashirika matatu ya haki za binadamu kuwa eti yana chuki na Mayahudi

    Lawama na ukosoaji dhidi ya Marekani kwa kuyatuhumu mashirika matatu ya haki za binadamu kuwa eti yana chuki na Mayahudi

    Oct 23, 2020 09:42

    Katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Rais Donald Trump wa Marekani amechukua hatua nyingi kwa madhumuni ya kuitetea na kuiunga mkono Israel na kuyapiga vita mashirika ya kimataifa ambayo yamechukua msimamo wa kuwatetea na kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina dhidi ya jinai wanazofanyiwa na utawala huo wa Kizayuni.

  • Trump kuziarifisha taasisi za kimataifa za kutetea haki za binadamu kuwa ni

    Trump kuziarifisha taasisi za kimataifa za kutetea haki za binadamu kuwa ni "dhidi ya Uyahudi"

    Oct 23, 2020 07:53

    Serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ina nia ya kuziarifisha taasisi na jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu kuwa "zinapiga vita Uyahudi" (Antisemitism).

  • Madai ya kukaririwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kinyume cha ukweli wa mambo

    Madai ya kukaririwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kinyume cha ukweli wa mambo

    Oct 23, 2020 04:19

    Anwar Gargash Waziri Mshauri wa Mambo ya Nje katika Umoja wa Falme za Kiarabu ametuma ujumbe kupitia ukurasa wake wa Twitter na kudai kuwa, Iran inavuruga uthabiti katika eneo la Asia Magharibi.

  • Balozi wa Iran: Hatua za upande mmoja za Marekani zinahatarisha utawala wa sheria

    Balozi wa Iran: Hatua za upande mmoja za Marekani zinahatarisha utawala wa sheria

    Oct 23, 2020 03:56

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema uchukuaji maamuzi ya upande mmoja wa Marekani unahatarisha utawala wa sheria katika ngazi ya kimatiaifa.

  • Zarif: Marekani inataka kuibua mashindano ya silaha duniani

    Zarif: Marekani inataka kuibua mashindano ya silaha duniani

    Oct 23, 2020 00:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Marekani kukataa kuongeza muda wa mkataba wa kupunguza silaha haribifu ni mfano wa wazi wa kutofungamana Marekani na mchakato wa kuleta uthabiti duniani na pia ni ishara ya nchi hiyo kuwa na hamu kubwa ya kuanzisha mashindano ya silaha duniani.

  • Mazoezi ya Kijeshi ya Japan, Marekani na Australia katika Bahari ya China Kusini

    Mazoezi ya Kijeshi ya Japan, Marekani na Australia katika Bahari ya China Kusini

    Oct 22, 2020 23:22

    Kikosi cha Tano cha Jeshi la Majini la Marekani kimetangaza habari ya kuanza mazoezi ya kijeshi ya nchi hiyo na majeshi ya Japan na Australia katika maji ya Bahari ya China Kusini. Haya ni mazoezi ya tano ya kijeshi ya pamoja ya nchi hiyo katika Bahari ya China Kusini katika mwaka huu wa 2020.

  • Obama: Uongo na kutuhumu watu ndiyo mbinu kuu ya serikali ya Trump

    Obama: Uongo na kutuhumu watu ndiyo mbinu kuu ya serikali ya Trump

    Oct 22, 2020 23:21

    Barack Obama, rais wa zamani wa Marekani amemshutumu vikali rais wa hivi sasa wa nchi hiyo na kusisitiza kwamba, kusema uongo na kutuhumu watu wengine ndiyo sifa kuu ya Donald Trump na wasaidizi wake.

  • Trump arudia ndoto zake za kuzungumza na Iran

    Trump arudia ndoto zake za kuzungumza na Iran

    Oct 22, 2020 08:55

    Rais wa Marekani, Donald Trump kwa mara nyingine amerudia ndoto yake ya kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iwapo atashinda urais.

  • Iran yakanusha madai ya kuingilia uchaguzi wa Marekani, yasema hauna umuhimu kwake

    Iran yakanusha madai ya kuingilia uchaguzi wa Marekani, yasema hauna umuhimu kwake

    Oct 22, 2020 04:12

    Msemaji wa Ofisi ya Iran katika Umoja wa Mataifa amepuuzilia mbali madai kuwa Jamhuri ya Kiislamu inaingilia uchaguzi wa Marekani.

  •  Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Oct 21, 2020 08:48

    Eneo la Ghuba ya Uajemi ambalo ni miongoni mwa maeneo ya kistratijia ya dunia na yenye umuhimu mkubwa katika soko la kimataifa la masuala ya uchumi na nishati. Kwa kuzingatia uhakika huo usalama wa eneo hilo muhimu la majini daima umekuwa ukipewa mazingatio makubwa katika taasisi za Umoja wa Mataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS