Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Iran yakosoa kimya cha jamii ya kimataifa mkabala wa ubabe wa Marekani

    Iran yakosoa kimya cha jamii ya kimataifa mkabala wa ubabe wa Marekani

    Oct 15, 2020 04:21

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa amesema uchukuaji hatua za upande mmoja wa Marekani ndilo tishio kuu kwa haki za binadamu duniani, huku akikosoa kimya cha jamii ya kimataifa mkabala wa ubabe huo wa Washington.

  • Pompeo ahalalisha mauzo ya silaha kwa Saudia kwa kuichafua Iran

    Pompeo ahalalisha mauzo ya silaha kwa Saudia kwa kuichafua Iran

    Oct 15, 2020 04:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amekariri tuhuma na madai yake yasiyo na msingi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, na kutumia uenezaji huo wa chuki dhidi ya Iran kuhalalisha mauzo ya silaha zenye thamani ya mabilioni ya dola za US kwa Saudi Arabia.

  • Russia: Marekani ndio mvunjaji mkubwa zaidi wa haki za binadamu duniani

    Russia: Marekani ndio mvunjaji mkubwa zaidi wa haki za binadamu duniani

    Oct 15, 2020 03:56

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi amesema Marekani ndio mkiukaji mkubwa zaidi wa haki za binadamu duniani.

  • Yemen: Marekani ni mama wa ugaidi na mtengenezaji wa migogoro

    Yemen: Marekani ni mama wa ugaidi na mtengenezaji wa migogoro

    Oct 13, 2020 22:53

    Mkurugenzi wa Idara ya Baraza Kuu ya Siasa ya Yemen amesema kuwa Marekani ndio mama wa ugaidi na muanzishaji wa migogoro inayolisumbua taifa la Yemen.

  • Ndoto za alinacha za Trump za kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Ndoto za alinacha za Trump za kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Oct 13, 2020 22:53

    Rais Donald Trump wa Marekani akiwa na lengo la kujijengea nafasi nzuri wakati huu wa kukaribia uchaguzi nchini humo, anahitajia kutoa madai ya kufanikiwa katika sera za kigeni za nchi hiyo hasa kuhusiana na Iran.

  • Utafiti: Corona imeua Wamarekani wengi zaidi ya inavyoripotiwa

    Utafiti: Corona imeua Wamarekani wengi zaidi ya inavyoripotiwa

    Oct 13, 2020 04:38

    Utafiti mpya unaonesha kuwa, idadi kubwa ya wananchi wa Marekani wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa Covid-19 zaidi ya takwimu rasmi zilizotolewa.

  • El-Baradei: Mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya Marekani dhidi ya Iran yamefeli

    El-Baradei: Mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya Marekani dhidi ya Iran yamefeli

    Oct 13, 2020 04:18

    Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekosoa vikali sera ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa, mashinikizo hayo yamegonga mwamba.

  • Khatibzadeh: Vikwazo vya silaha dhidi ya Iran vitaondolewa tarehe 18 Oktoba

    Khatibzadeh: Vikwazo vya silaha dhidi ya Iran vitaondolewa tarehe 18 Oktoba

    Oct 12, 2020 23:11

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran unatarajiwa kumalizika usiku wa tarehe 18 mwezi huu.

  • Malengo ya Marekani ya kushadidisha vikwazo dhidi ya Iran; kwa mtazamo wa Waziri wa Ulinzi

    Malengo ya Marekani ya kushadidisha vikwazo dhidi ya Iran; kwa mtazamo wa Waziri wa Ulinzi

    Oct 12, 2020 07:38

    Sambamba na kuvunja vibaya maazimio na sheria za kimataifa, Marekani imeamua pia kuwawekea wananchi wa Iran vikwazo vya kidhalimu na inaendesha vita vya pande zote vya kiuchumi dhidi ya taifa hilo kubwa la Kiislamu.

  • Trump azuiwa kutumia bajeti ya masuala ya kijeshi kujenga ukuta wa mpakani

    Trump azuiwa kutumia bajeti ya masuala ya kijeshi kujenga ukuta wa mpakani

    Oct 12, 2020 04:10

    Mahakama ya Rufaa nchini Marekani imetangaza kuwa ni marufuku na kupinga ombi la Trump aliyetaka kustafidi na bajeti ya kijeshi kwa ajili ya kujenga ukuta wa mpakani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS