-
Serikali ya Trump yazidi kutoa vitisho kuhusu uwezekano wa Marekani kurejea katika JCPOA
Nov 26, 2020 22:59Mshauri wa Usalama wa Taifa wa serikali ya Donald Trump huko White House ameendelea kutoa vitisho alivyodai ni vya hatari ya Marekani kurejea katika mapatano ya kimataifa ya JCPOA.
-
Bashar al Jaafari akosoa wanajeshi wa Marekani kuendelea kupora maliasili za Syria
Nov 26, 2020 04:36Mwakilishi wa Syria katika Umoja wa Mataifa amekosoa wanajeshi vamizi wa Marekani kuendelea kupora maliasili za Syria yakiwemo mafuta na gesi.
-
Kuondoka askari wa Marekani nchini Iraq; msimamo wa serikali ya Baghdad na makundi ya mapambano
Nov 24, 2020 23:12Katika hali ambayo viongozi wa serikali ya Baghdad wanasema kuwa askari 500 wa Marekani wataanza kutoka katika ardhi ya Iraq miezi miwili ijayo, Sheikh Qais al-Khaz'ali, Katibu Mkuu wa Harakati ya Asaib Ahlul Haq, karibuni hivi alitetea silaha za harakati hiyo ya mapambano ya Kiislamu akisisitiza kuwa muhula wa usitishaji vita na Marekani umekwisha.
-
Hospitali elfu moja za Marekani zimejaa wagonjwa, haziwezi tena kutoa huduma
Nov 23, 2020 22:53Mkurugenzi wa Kitivo cha Usalama wa Afya cha Chuo Kikuu cha Johns Hopkins ametangaza kuwa, sasa hivi hospitali elfu moja zimeshajaa wagonjwa wa COVID-19 nchini humo na hazina tena uwezo wa kupokea wagonjwa zaidi.
-
Trump atakiwa kukubali matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Joe Biden
Nov 23, 2020 04:40Mshirika wa karibu wa rais Donald Trump, ambaye pia aliwahi kuwa Gavana wa jimbo la New Jersey Chris Christie, amemtaka Trump kukubali matokeo ya uchaguzi uliompa ushindi mpinzani wake wa karibu Joe Biden.
-
Wamarekani wapatao milioni 100 wanakabiliwa na hatari ya kukumbwa na baa la njaa
Nov 22, 2020 08:58Ripoti za taasisi za serikali ya Marekani zinaonyesha kuwa maambukizi ya virusi vya corona yamewafanya raia wapatao milioni 100 wa nchi hiyo wakabiliwe na hatari ya kukumbwa na baa la njaa.
-
Ubalozi wa Marekani Iraq ndio pekee duniani unaolindwa kwa mtambo wa makombora ya ulinzi wa anga
Nov 22, 2020 00:42Mbunge wa mrengo wa As-Sadiqun katika bunge la Iraq amesema, ubalozi wa Marekani nchini humo ndio ubalozi pekee duniani unaolindwa kwa mtambo wa makombora ya ulinzi wa anga.
-
Kuongezeka nguvu ya kiulinzi ya Iran katika kivuli cha mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani
Nov 21, 2020 07:06Siasa imara na za busara za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mkabala na Marekani zimepelekea siasa laini na ngumu za Washington kukabiliwa na changamoto kubwa.
-
Iran yakanusha madai ya kuzungumza na timu ya Joe Biden
Nov 20, 2020 23:57Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekadhibisha ripoti iliyochapishwa na gazeti la New York Times la Marekani kwamba Tehran imewasiliana na timu ya Rais mteule wa nchi hiyo, Joe Biden.
-
Madai ya Pompeo dhidi ya harakati ya kuususia utawala wa Israel BDS, na radiamali yake
Nov 20, 2020 05:36Marekani ambaye ni muungaji mkono mkubwa wa Utawala haramu wa Israel, si tu kwamba imeuhudumia pakubwa utawala huo katika kipindi cha utawala Rais Donald Trump, bali inaendelea kufanya juhudi za kudhoofisha na kuyawekea vikwazo na mashinikizo makundi na harakati ambazo zinaonekana kuwa dhidi ya siasa za ukandamizaji na jinai za utawala huo wa kibaguzi.