-
Iran yakosoa kimya cha jamii ya kimataifa mkabala wa ubabe wa Marekani
Oct 15, 2020 04:21Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa amesema uchukuaji hatua za upande mmoja wa Marekani ndilo tishio kuu kwa haki za binadamu duniani, huku akikosoa kimya cha jamii ya kimataifa mkabala wa ubabe huo wa Washington.
-
Pompeo ahalalisha mauzo ya silaha kwa Saudia kwa kuichafua Iran
Oct 15, 2020 04:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amekariri tuhuma na madai yake yasiyo na msingi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, na kutumia uenezaji huo wa chuki dhidi ya Iran kuhalalisha mauzo ya silaha zenye thamani ya mabilioni ya dola za US kwa Saudi Arabia.
-
Russia: Marekani ndio mvunjaji mkubwa zaidi wa haki za binadamu duniani
Oct 15, 2020 03:56Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi amesema Marekani ndio mkiukaji mkubwa zaidi wa haki za binadamu duniani.
-
Yemen: Marekani ni mama wa ugaidi na mtengenezaji wa migogoro
Oct 13, 2020 22:53Mkurugenzi wa Idara ya Baraza Kuu ya Siasa ya Yemen amesema kuwa Marekani ndio mama wa ugaidi na muanzishaji wa migogoro inayolisumbua taifa la Yemen.
-
Ndoto za alinacha za Trump za kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Oct 13, 2020 22:53Rais Donald Trump wa Marekani akiwa na lengo la kujijengea nafasi nzuri wakati huu wa kukaribia uchaguzi nchini humo, anahitajia kutoa madai ya kufanikiwa katika sera za kigeni za nchi hiyo hasa kuhusiana na Iran.
-
Utafiti: Corona imeua Wamarekani wengi zaidi ya inavyoripotiwa
Oct 13, 2020 04:38Utafiti mpya unaonesha kuwa, idadi kubwa ya wananchi wa Marekani wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa Covid-19 zaidi ya takwimu rasmi zilizotolewa.
-
El-Baradei: Mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya Marekani dhidi ya Iran yamefeli
Oct 13, 2020 04:18Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekosoa vikali sera ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa, mashinikizo hayo yamegonga mwamba.
-
Khatibzadeh: Vikwazo vya silaha dhidi ya Iran vitaondolewa tarehe 18 Oktoba
Oct 12, 2020 23:11Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran unatarajiwa kumalizika usiku wa tarehe 18 mwezi huu.
-
Malengo ya Marekani ya kushadidisha vikwazo dhidi ya Iran; kwa mtazamo wa Waziri wa Ulinzi
Oct 12, 2020 07:38Sambamba na kuvunja vibaya maazimio na sheria za kimataifa, Marekani imeamua pia kuwawekea wananchi wa Iran vikwazo vya kidhalimu na inaendesha vita vya pande zote vya kiuchumi dhidi ya taifa hilo kubwa la Kiislamu.
-
Trump azuiwa kutumia bajeti ya masuala ya kijeshi kujenga ukuta wa mpakani
Oct 12, 2020 04:10Mahakama ya Rufaa nchini Marekani imetangaza kuwa ni marufuku na kupinga ombi la Trump aliyetaka kustafidi na bajeti ya kijeshi kwa ajili ya kujenga ukuta wa mpakani.