Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Serikali ya Trump yazidi kutoa vitisho kuhusu uwezekano wa Marekani kurejea katika JCPOA

    Serikali ya Trump yazidi kutoa vitisho kuhusu uwezekano wa Marekani kurejea katika JCPOA

    Nov 26, 2020 22:59

    Mshauri wa Usalama wa Taifa wa serikali ya Donald Trump huko White House ameendelea kutoa vitisho alivyodai ni vya hatari ya Marekani kurejea katika mapatano ya kimataifa ya JCPOA.

  • Bashar al Jaafari akosoa wanajeshi wa Marekani  kuendelea kupora maliasili za Syria

    Bashar al Jaafari akosoa wanajeshi wa Marekani kuendelea kupora maliasili za Syria

    Nov 26, 2020 04:36

    Mwakilishi wa Syria katika Umoja wa Mataifa amekosoa wanajeshi vamizi wa Marekani kuendelea kupora maliasili za Syria yakiwemo mafuta na gesi.

  • Kuondoka askari wa Marekani nchini Iraq; msimamo wa serikali ya Baghdad na makundi ya mapambano

    Kuondoka askari wa Marekani nchini Iraq; msimamo wa serikali ya Baghdad na makundi ya mapambano

    Nov 24, 2020 23:12

    Katika hali ambayo viongozi wa serikali ya Baghdad wanasema kuwa askari 500 wa Marekani wataanza kutoka katika ardhi ya Iraq miezi miwili ijayo, Sheikh Qais al-Khaz'ali, Katibu Mkuu wa Harakati ya Asaib Ahlul Haq, karibuni hivi alitetea silaha za harakati hiyo ya mapambano ya Kiislamu akisisitiza kuwa muhula wa usitishaji vita na Marekani umekwisha.

  • Hospitali elfu moja za Marekani zimejaa wagonjwa, haziwezi tena kutoa huduma

    Hospitali elfu moja za Marekani zimejaa wagonjwa, haziwezi tena kutoa huduma

    Nov 23, 2020 22:53

    Mkurugenzi wa Kitivo cha Usalama wa Afya cha Chuo Kikuu cha Johns Hopkins ametangaza kuwa, sasa hivi hospitali elfu moja zimeshajaa wagonjwa wa COVID-19 nchini humo na hazina tena uwezo wa kupokea wagonjwa zaidi.

  • Trump atakiwa kukubali matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Joe Biden

    Trump atakiwa kukubali matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Joe Biden

    Nov 23, 2020 04:40

    Mshirika wa karibu wa rais Donald Trump, ambaye pia aliwahi kuwa Gavana wa jimbo la New Jersey Chris Christie, amemtaka Trump kukubali matokeo ya uchaguzi uliompa ushindi mpinzani wake wa karibu Joe Biden.

  • Wamarekani wapatao milioni 100 wanakabiliwa na hatari ya kukumbwa na baa la njaa

    Wamarekani wapatao milioni 100 wanakabiliwa na hatari ya kukumbwa na baa la njaa

    Nov 22, 2020 08:58

    Ripoti za taasisi za serikali ya Marekani zinaonyesha kuwa maambukizi ya virusi vya corona yamewafanya raia wapatao milioni 100 wa nchi hiyo wakabiliwe na hatari ya kukumbwa na baa la njaa.

  • Ubalozi wa Marekani Iraq ndio pekee duniani unaolindwa kwa mtambo wa makombora ya ulinzi wa anga

    Ubalozi wa Marekani Iraq ndio pekee duniani unaolindwa kwa mtambo wa makombora ya ulinzi wa anga

    Nov 22, 2020 00:42

    Mbunge wa mrengo wa As-Sadiqun katika bunge la Iraq amesema, ubalozi wa Marekani nchini humo ndio ubalozi pekee duniani unaolindwa kwa mtambo wa makombora ya ulinzi wa anga.

  • Kuongezeka nguvu ya kiulinzi ya Iran katika kivuli cha mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani

    Kuongezeka nguvu ya kiulinzi ya Iran katika kivuli cha mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani

    Nov 21, 2020 07:06

    Siasa imara na za busara za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mkabala na Marekani zimepelekea siasa laini na ngumu za Washington kukabiliwa na changamoto kubwa.

  • Iran yakanusha madai ya kuzungumza na timu ya Joe Biden

    Iran yakanusha madai ya kuzungumza na timu ya Joe Biden

    Nov 20, 2020 23:57

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekadhibisha ripoti iliyochapishwa na gazeti la New York Times la Marekani kwamba Tehran imewasiliana na timu ya Rais mteule wa nchi hiyo, Joe Biden.

  • Madai ya Pompeo dhidi ya harakati ya kuususia utawala wa Israel BDS, na radiamali yake

    Madai ya Pompeo dhidi ya harakati ya kuususia utawala wa Israel BDS, na radiamali yake

    Nov 20, 2020 05:36

    Marekani ambaye ni muungaji mkono mkubwa wa Utawala haramu wa Israel, si tu kwamba imeuhudumia pakubwa utawala huo katika kipindi cha utawala Rais Donald Trump, bali inaendelea kufanya juhudi za kudhoofisha na kuyawekea vikwazo na mashinikizo makundi na harakati ambazo zinaonekana kuwa dhidi ya siasa za ukandamizaji na jinai za utawala huo wa kibaguzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS