-
Spika wa Kongresi: Marekani inakabiliana na janga na mgogoro mbaya zaidi wa kiuchumi na kiafya
Aug 21, 2020 05:52Spika wa Kongresi ya Marekani kwa mara nyingine tena amemshambulia na kumkosoa Rais wa nchi hiyo, Doland Trump na kiongozi wa waliowengi katika Baraza la Seneti la Marekani, Mitch McConnell.
-
Malengo ya safari ya Mustafa al Kadhimi nchini Marekani
Aug 20, 2020 03:30Waziri Mkuu wa Iraq, Mustafa al Kadhimi amewasili Washington kwa safari ya kikazi ya siku mbili na leo Alkhamisi tarehe 20 Agosti alitazamiwa kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Kupinga Umoja wa Ulaya hatua ya Marekani ya kutaka kutumia ‘Utaratibu wa Kifyatuo’
Aug 18, 2020 06:24Kushindwa kwa fedheha Marekani katika kupasishwa azimio ililopendekeza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kumeisukuma Washington na kuifanya ifikirie kutumia nyenzo nyingine kama utaratibu wa kusuluhisha mzozano katika JCPOA, unaojulikana kama "Utaratibu wa Kifyatuo", kwa kimombo "Trigger Mechanism".
-
'Marekani kumtawaza Ufalme Bin Salman baada ya Saudia kuanzisha rasmi uhusiano na Israel'
Aug 17, 2020 23:20Mfichuaji mashuhuri wa siri za aila ya kifalme ya Aal Saud amefichua kuwa, Marekani imemwahidi mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammad bin Salman kuwa itamwezesha kushika ufalme huo baada ya nchi hiyo kuanzisha rasmi uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Matukio ya Uturuki na mashariki mwa Mediterania
Aug 17, 2020 08:58Mawaziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Uturuki na Marekani wamekutana katika Jamhuri ya Dominican na kujadiliana kuhusu matukio ya eneo la mashariki mwa Bahari ya Mediterania na nchi ya Libya.
-
Rais Rouhani: Trump amefanya jinai na uovu mkubwa zaidi kwa taifa la Iran
Aug 17, 2020 01:38Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema serikali ya Marekani inatumia mabavu na kukiuka sheria za kimataifa na kuongeza kuwa: Rais wa sasa wa Marekani amefanya uovu na jinai mbaya zaidi dhidi ya taifa la Iran.
-
Mufti Mkuu wa Iraq atoa wito wa kuanzishwa mapambano dhidi ya uvamizi wa Marekani
Aug 16, 2020 06:59Mufti Mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Kisuni nchini Iraq ametoa wtito kwa vijana kujiandaa kwa ajili ya kuanzisha mapambano dhidi ya uvamizi wa Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Kushindwa kifedheha Marekani katika kupitisha azimio dhidi ya Iran katika Baraza la Usalama
Aug 15, 2020 21:45Tokea mwaka 2019, Marekani imekuwa ikifanya juu chini kuhakikisha kuwa Iran haiondolewi vikwazo vya silaha kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Vikwazo hivyo vinapaswa kuondolewa Oktoba 2020. Pamoja na jitihada zake zote ambazo zimejumuisha vita vya kisiasa na kisaikolojia dhidi ya Iran na pia mazungumzo ya muda mrefu na wanachama wa baraza hilo, lakini hatimaye Marekani imefedheheka baada ya kushindwa vibaya sana.
-
Rais Rouhani: Marekani imeshindwa kwa fedheha katika njama ya kutaka kurefusha vikwazo vya silaha vya Iran
Aug 15, 2020 04:48Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezunguzia kufeli na kushindwa kihistoria Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kusema: Marekani imeshindwa kwa fedheha na kidhalili katika njama zake za kutaka kurefusha muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran.
-
Muungano wa Maulama wa Kiislamu: Hatua ya Imarati kuanzisha uhusiano na Israel ni usaliti mkubwa
Aug 14, 2020 22:28Jumuiya ya Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu imelaani makubaliano ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia baina ya Imarati na utawala haramu wa Israel yaliyofikiwa kwa upatanishi wa Marekani.