Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Spika wa Kongresi: Marekani inakabiliana na janga na mgogoro mbaya zaidi wa kiuchumi na kiafya

    Spika wa Kongresi: Marekani inakabiliana na janga na mgogoro mbaya zaidi wa kiuchumi na kiafya

    Aug 21, 2020 05:52

    Spika wa Kongresi ya Marekani kwa mara nyingine tena amemshambulia na kumkosoa Rais wa nchi hiyo, Doland Trump na kiongozi wa waliowengi katika Baraza la Seneti la Marekani, Mitch McConnell.

  • Malengo ya safari ya Mustafa al Kadhimi nchini Marekani

    Malengo ya safari ya Mustafa al Kadhimi nchini Marekani

    Aug 20, 2020 03:30

    Waziri Mkuu wa Iraq, Mustafa al Kadhimi amewasili Washington kwa safari ya kikazi ya siku mbili na leo Alkhamisi tarehe 20 Agosti alitazamiwa kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Kupinga Umoja wa Ulaya hatua ya Marekani ya kutaka kutumia ‘Utaratibu wa Kifyatuo’

    Kupinga Umoja wa Ulaya hatua ya Marekani ya kutaka kutumia ‘Utaratibu wa Kifyatuo’

    Aug 18, 2020 06:24

    Kushindwa kwa fedheha Marekani katika kupasishwa azimio ililopendekeza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kumeisukuma Washington na kuifanya ifikirie kutumia nyenzo nyingine kama utaratibu wa kusuluhisha mzozano katika JCPOA, unaojulikana kama "Utaratibu wa Kifyatuo", kwa kimombo "Trigger Mechanism".

  • 'Marekani kumtawaza Ufalme Bin Salman baada ya Saudia kuanzisha rasmi uhusiano na Israel'

    'Marekani kumtawaza Ufalme Bin Salman baada ya Saudia kuanzisha rasmi uhusiano na Israel'

    Aug 17, 2020 23:20

    Mfichuaji mashuhuri wa siri za aila ya kifalme ya Aal Saud amefichua kuwa, Marekani imemwahidi mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammad bin Salman kuwa itamwezesha kushika ufalme huo baada ya nchi hiyo kuanzisha rasmi uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Matukio ya Uturuki na mashariki mwa Mediterania

    Matukio ya Uturuki na mashariki mwa Mediterania

    Aug 17, 2020 08:58

    Mawaziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Uturuki na Marekani wamekutana katika Jamhuri ya Dominican na kujadiliana kuhusu matukio ya eneo la mashariki mwa Bahari ya Mediterania na nchi ya Libya.

  • Rais Rouhani: Trump amefanya jinai na uovu mkubwa zaidi kwa taifa la Iran

    Rais Rouhani: Trump amefanya jinai na uovu mkubwa zaidi kwa taifa la Iran

    Aug 17, 2020 01:38

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema serikali ya Marekani inatumia mabavu na kukiuka sheria za kimataifa na kuongeza kuwa: Rais wa sasa wa Marekani amefanya uovu na jinai mbaya zaidi dhidi ya taifa la Iran.

  • Mufti Mkuu wa Iraq atoa wito wa kuanzishwa mapambano dhidi ya uvamizi wa Marekani

    Mufti Mkuu wa Iraq atoa wito wa kuanzishwa mapambano dhidi ya uvamizi wa Marekani

    Aug 16, 2020 06:59

    Mufti Mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Kisuni nchini Iraq ametoa wtito kwa vijana kujiandaa kwa ajili ya kuanzisha mapambano dhidi ya uvamizi wa Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Kushindwa kifedheha Marekani katika kupitisha azimio dhidi ya Iran katika Baraza la Usalama

    Kushindwa kifedheha Marekani katika kupitisha azimio dhidi ya Iran katika Baraza la Usalama

    Aug 15, 2020 21:45

    Tokea mwaka 2019, Marekani imekuwa ikifanya juu chini kuhakikisha kuwa Iran haiondolewi vikwazo vya silaha kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Vikwazo hivyo vinapaswa kuondolewa Oktoba 2020. Pamoja na jitihada zake zote ambazo zimejumuisha vita vya kisiasa na kisaikolojia dhidi ya Iran na pia mazungumzo ya muda mrefu na wanachama wa baraza hilo, lakini hatimaye Marekani imefedheheka baada ya kushindwa vibaya sana.

  • Rais Rouhani: Marekani imeshindwa kwa fedheha katika njama ya kutaka kurefusha vikwazo vya silaha vya Iran

    Rais Rouhani: Marekani imeshindwa kwa fedheha katika njama ya kutaka kurefusha vikwazo vya silaha vya Iran

    Aug 15, 2020 04:48

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezunguzia kufeli na kushindwa kihistoria Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kusema: Marekani imeshindwa kwa fedheha na kidhalili katika njama zake za kutaka kurefusha muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran.

  • Muungano wa Maulama wa Kiislamu: Hatua ya Imarati kuanzisha uhusiano na Israel ni usaliti mkubwa

    Muungano wa Maulama wa Kiislamu: Hatua ya Imarati kuanzisha uhusiano na Israel ni usaliti mkubwa

    Aug 14, 2020 22:28

    Jumuiya ya Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu imelaani makubaliano ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia baina ya Imarati na utawala haramu wa Israel yaliyofikiwa kwa upatanishi wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS