-
Njama za Marekani za kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kupitia Baraza la Usalama la UN
Jun 25, 2020 22:02Marekani imeanzisha kampeni kubwa za kimataifa za kulizuia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lisitekeleze azimio lake nambari 2231 linalotoa amri ya kuiondolea Iran vikwazo vya silaha ifikapo tarehe 18 Oktoba mwaka huu wa 2020. Marekani inaendesha njama hizo kama sehemu ya kukabiliana na uwezo mkubwa wa kiulinzi na kijeshi wa Iran unaozidi kukua na kuwa imara siku baada ya siku.
-
"Marekani kuikingia kifua Israel kumelishushia hadhi Baraza la Usalama"
Jun 25, 2020 03:19Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema hatua ya Marekani ya kuendelea kuukingia kifua na kuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel imelifanya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lipoteze hadhi yake na likose maana.
-
Dunia nzima dhidi ya Trump; walimwengu walaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu
Jun 25, 2020 01:56Mojawapo na sifa kuu za utawala wa Donald Trump huko Marekani ni sera na mtazamo mbaya wa kiongozi huyo kuhusiana na jumuiya na mashirika ya kikanda na kimataifa. Hatua ya karibuni zaidi ya Trump dhidi ya jumuiya za kimataifa ni vikwazo alivyoweka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ambayo ndicho chombo cha juu zaidi cha kimataifa chenye jukumu la kushughulikia uhalifu wa kivita na jinai zinazofanywa dhidi ya binadamu.
-
Binti wa Luther King awataka Wamarekani kuendeleza maandamano ya kupinga ubaguzi
Jun 24, 2020 08:45Binti wa aliyekuwa kiongozi wa harakati ya kupigania haki za kiraia za Wamarekani wenye asili ya Afrika, Martin Luther King, amewataka raia wa nchi hiyo waendeleze maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani hadi uadilifu utakapotendeka.
-
China yasema mashinikizo ya Marekani dhidi ya Iran hayatafika popote
Jun 24, 2020 03:51Balozi wa China katika Umoja wa Mataifa amesema mashinikizo ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hayatafika popote.
-
Marekani yafuta visa za raia wa Burundi kufuatia mgogoro wa kidiplomasia
Jun 24, 2020 02:50Marekani imeacha kutoa visa kwa raia wa Burundi wanaotaka kwenda nchini humo, hatua ambayo imeibua mgogoro wa kidiplomasia baina ya nchi hizo mbili.
-
Kumalizika mapema mazungumzo ya Marekani na Russia kuhusu udhibiti wa silaha za nyuklia
Jun 23, 2020 22:01Moja ya hitilafu kubwa na za kimsingi za Russia na Marekani kuhusiana na kuongezwa muda wa mikataba ya kudhibiti silaha inahusiana na mkataba wa kistratijia wa silaha za nyuklia wa New START.
-
Mgogoro wa corona waendelea Marekani chini ya kivuli cha upuuzaji wa Trump
Jun 22, 2020 22:09Wakati Mgogoro wa corona ukiendelea kuisumbua Marekani na idadi ya waathirika wa virusi hivyo ikipindukia watu milioni 2 na laki tatu, Rais Donald Trump wa nchi hiyo ametoa matamshi ya kustaajabisha akiwataka Wamarekani wapunguze kujipima ugonjwa wa COVID-19.
-
Iran yakosoa kimya cha Ulaya mbele ya ukandamizaji na ukatili unaofanywa dhidi ya raia wa Marekani
Jun 21, 2020 06:27Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran kwa mara nyingine tena amekosoa kimya cha nchi za Ulaya mbele ya ukandamizaji na ukatili unaofanwa na vyombo vya dola vya serikali ya Marekani dhidi ya raia wa nchi hiyo.
-
Uchunguzi wabaini biashara ya utumwa wa ngono katika Jeshi la Majini la Marekani
Jun 21, 2020 06:08Uchunguzi uliofanyika katika Jeshi la Majini la Marekani umebaini kundi moja la wanamaji wa nchi hiyo limeanzisha biashara ya wanawake wanaotumiwa katika masuala ya ngono.