Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Mapatano ya Washington na Baghdad kuhusu kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq

    Mapatano ya Washington na Baghdad kuhusu kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq

    Jun 12, 2020 03:16

    Kumefikiwa mapatano ya kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq. Mapatano hayo yamefikiwa Alhamisi katika mkutano uliofanyika baina ya Abdulkarim Hashemi Mustafa mwakilishi wa serikali ya Iraq na David Hale mwakilishi wa serikali ya Marekani.

  • Zarif: Marekani mara hii inatumia mabavu dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai

    Zarif: Marekani mara hii inatumia mabavu dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai

    Jun 12, 2020 03:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua ya Marekani kuwawekea vikwazo maafisa kadhaa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) na kusema, hivi sasa ICC inahujumiwa na genge la wahalifu wambao wanajiarifisha kuwa ni wanadiplomasia."

  • Wasiwasi waongezeka kuhusu hali mbaya nchini Marekani kufuatia maambukizi ya Corona

    Wasiwasi waongezeka kuhusu hali mbaya nchini Marekani kufuatia maambukizi ya Corona

    Jun 11, 2020 22:05

    Kuongezeka kwa idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Marekani na kufikia zaidi ya waathirika milioni mbili, kumezidisha hali ya wasiwasi nchini humo kuhusiana na kasi ya maambukizi ya virusi hivyo.

  • Vikwazo vya kukaririwa vya Marekani dhidi ya Iran na kufeli mtawalia kwa sera za Washington

    Vikwazo vya kukaririwa vya Marekani dhidi ya Iran na kufeli mtawalia kwa sera za Washington

    Jun 11, 2020 22:00

    Baada ya kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani ilianza kutekeleza vikwazo na mashinikizo ya kiwango cha juu ikiwa na lengo la kuidhoofisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kisha kuilazimisha kuketi kwenye meza ya mazungumzo.

  • Waitifaki wa Marekani wapunguza nusu ya askari wao nchini Iraq

    Waitifaki wa Marekani wapunguza nusu ya askari wao nchini Iraq

    Jun 11, 2020 03:30

    Nchi 29 wanachama wa muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani nchini Iraq zimepunguza kwa asilimia 50 idadi ya wanajeshi wao vamizi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya Iraq na Marekani; dalili na matokeo yake

    Duru mpya ya mazungumzo ya Iraq na Marekani; dalili na matokeo yake

    Jun 11, 2020 03:07

    Mazungumzo kati ya viongozi wa Iraq na Marekani yameanza leo Alkhamisi tarehe 11 Juni.

  • Sisitizo la Borell la kuondoka Marekani JCPOA na madai yasiyo na msingi ya serikali ya Trump

    Sisitizo la Borell la kuondoka Marekani JCPOA na madai yasiyo na msingi ya serikali ya Trump

    Jun 11, 2020 00:16

    Rais Donald Trump wa Marekani ni mmoja wa wapinzani wakubwa wa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na ambaye aliitoa nchi hiyo katika mapatano hayo ya kimataifa tarehe 8 mwezi Mei 2018.

  • Seneta Mmarekani kwa mara nyingine alaani njama za Israel za kupora ardhi zaidi za Wapalestina

    Seneta Mmarekani kwa mara nyingine alaani njama za Israel za kupora ardhi zaidi za Wapalestina

    Jun 10, 2020 21:52

    Seneta mmoja wa kujitegemea wa Marekani ametoa onyo kali kuhusu njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kupora ardhi zaidi za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kusema kuwa, njama hizo zitafuta uwezekano wa kuondoka Wazayuni katika ardhi wanazozikalia kwa mabavu za Wapalestina.

  • Rouhani: Marekani inapanga njama kuzuia kuondolewa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Rouhani: Marekani inapanga njama kuzuia kuondolewa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jun 10, 2020 08:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria kufutwa vikwazo vyote vya silaha dhidi ya Iran baadaye mwezi Oktoba mwaka huu na kusema Marekani imeghadhabishwa na mpango wa kufutwa vikwazo hivyo na sasa inapanga njama ya kutaka vikwazo hivyo visalie.

  • Mazungumzo ya kundi la Taliban na wawakilishi wa Marekani na NATO

    Mazungumzo ya kundi la Taliban na wawakilishi wa Marekani na NATO

    Jun 10, 2020 08:16

    Mullah Baradar, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya kundi la Taliban ameonana na Zalmay Khalilzad, mwakilishi maalumu wa Marekani na Jenerali Austin Scott Miller, kamanda wa wanajeshi wa Marekani na NATO nchini Afghanistan. Mazungumzo hayo yamefanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS