-
Mauaji ya kigaidi ya Soleimani, ugaidi wa kiserikali wa Marekani na hatari dhidi ya usalama wa kimataifa
Jul 10, 2020 06:29Mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na jeshi la Marekani dhidi ya aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu akiwa ugenini nchini Iraq ni kielelezo cha wazi cha ukiukaji wa sheria za kimataifa na ugaidi wa kiserikali wa Marekani.
-
Iran: Kusema urongo na kueneza chuki ni katika sera za nje za Marekani
Jul 09, 2020 11:01Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekanusha vikali tuhuma kuwa Jamhuri ya Kiislamu imekiuka vikwazo vya silaha vya Umoja wa Mataifa na kusisitiza kuwa, Marekani inasema urongo.
-
Rouhani: Umoja na kujituma, ufunguo wa kusimama kidete dhidi ya maadui
Jul 09, 2020 11:00Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema umoja na jitihada ni mambo mawili ambayo yamefanikisha muqawama wa taifa hili dhidi ya maadui.
-
Kujiondoa rasmi Marekani katika Shirika la Afya Duniani WHO
Jul 09, 2020 04:51Msimamo wa serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ni kupuuza, kukosoa, kutoa vitisho na hatimaye kujitoa katika mashirika ya kimataifa na hasa yale yanayopinga matakwa na maslahi haramu ya nchi hiyo na ya washirika wake na hasa utawala haramu wa Israel.
-
Sisitizo la Russia juu ya mchango wa Marekani katika magendo ya madawa ya kulevya nchini Afghanistan
Jul 07, 2020 23:49Mwaka 2001 Marekani iliishambulia kijeshi Afghanistan kwa kisingizio cha mashambulio ya Septemba 11 na ikaikalia kwa mabavu nchi hiyo.
-
Syria yawakamata magaidi wanaofungamana na Marekani
Jul 07, 2020 22:33Jeshi la Syria limetangaza kutekeleza oparesheni ambayo imepelekea kukamatwa wanachama wa kundi la kigaidi ambalo linafungamana na Marekani mashariki mwa nchi hiyo.
-
Jumatano tarehe 8 Julai mwaka 2020
Jul 07, 2020 22:19Leo ni Jumatano tarehe 16 Dhulqaada 1441 Hijria sawa na Julai 8 mwaka 2020.
-
Baraza la Congress la Marekani lapasisha bajeti ya kulinda usalama wa Israel
Jul 07, 2020 06:30Baraza la Wawakilishi la Marekani limepasisha bajeti ya kulinda usalama wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iraq yalaani Marekani kwa kufanyia jaribio kombora ndani ya ubalozi wake Baghdad
Jul 05, 2020 02:04Serikali ya Iraq imeilaani Marekani kwa kufanyia majaribio mfumo wa makombora ya kujihami angani ndani ya ubalozi wake mjini Baghdad.
-
Maandamano ya kupinga ubaguzi Washington yabadilika na kuwa maandamano dhidi ya Israel
Jul 03, 2020 22:37Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi yanayofanywa na wanachi wa Marekani katika mji mkuu wa nchi hiyo, Washington jana yalibadilika na kuwa maandamano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.