-
Wasiwasi wa Pentagon na hata Republican kwa hatua ya Trump ya kutumia wanajeshi kukandamiza waandamanaji Marekani
Jun 04, 2020 08:11Maandamano makubwa ambayo hayajawahi kutokea mfano wake huko Marekani yamemtia kiwewe na kumuweka kwenye hali ngumu rais wa nchi hiyo mwenye majigambo na majivuno mengi, Donald Trump na kumfanya atoe amri ya kutumiwa jeshi, suala ambalo limelalamikiwa na Wizara ya Ulinzi, lakini hata wanachama wenzake ndani ya chama cha Republican nao hawakubaliani na uamuzi wake wa kutumia nguvu za kijeshi kukandamiza waandamanaji.
-
Hata 'Mbwa Kichaa' akosoa mienendo ya Trump; zaidi ya 10,000 wakamatwa katika maandamano Marekani
Jun 04, 2020 03:25Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis maarufu kwa jina la "Mbwa Kichaa" ametangaza kuwaunga mkono wananchi wa Marekani wanaondamana kulaani ubaguzi wa rangi na mienendo ya kikatili ya polisi ya Marekani hususan dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika.
-
Kiongozi Muadhamu atilia mkazo udharura wa kujifunza fikra za hayati Imam Khomeini
Jun 04, 2020 03:09Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema jana alihutubia taifa kwa njia ya televisheni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyoaga dunia hayati Imam Ruhullah Khomeini, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akisema kuwa kutaka mabadiliko, kuwa na ari ya kufanya mabadiliko na kuyafanya mageuzi ni miongoni mwa sifa muhimu za hayati Imam Khomeini.
-
Gambia yataka uchunguzi wa mauaji ya mtoto wa mwanadiplomasia nchini Marekani
Jun 04, 2020 00:16Serikali ya Gambia imeitaka Marekani ianzishe uchunguzi mara moja wa mauaji ya mtoto wa kiume wa mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa nchi hiyo ya Kiafrika katika jiji la Atlanta, jimboni Georgia.
-
Tishio la Trump la kutuma jeshi la taifa katika majimbo ya Marekani kukabiliana na wapinzani wa ubaguzi
Jun 03, 2020 08:02Malalamiko na maandamano makubwa ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika miji na majimbo ya Marekani dhidi ya mauaji ya kutisha yaliyofanywa na polisi dhidi ya raia mweusi wa nchi hiyo, George Floyd huko katika jimbo la Minnesota yamezusha machafuko makubwa na kumtia kiwewe rais wa nchi hiyo, Donald Trump na serikali yake.
-
Maandamano yaendelea Marekani, watu 13 wauawa, wanajeshi wajazwa mitaani
Jun 03, 2020 05:41Wananchi wenye hasira Marekani wameendeleza maandamano kwa usiku wa sita mfululizo kulaani mauaji ya Mmarekani mweusi aliyeuawa kinyama mikononi mwa polisi mzungu wiki iliyopita.
-
Seneta wa Kimarekani atahadharisha juu ya uwezekeno wa kusambaratika Marekani
Jun 03, 2020 03:29Seneta wa chama cha Democrat nchini Marekani ametahadharisha kwamba kuendelea ubaguzi wa rangi nchini humo bila shaka kutaisambaratisha nchi hiyo.
-
Askari wengi wa Marekani watangaza mshikamano wao na waandamanaji
Jun 02, 2020 23:59Idadi kubwa ya polisi wa Marekani na kinyume na takwa la Rais Donald Trump la kuzidisha ukandamizaji dhidi ya waandamanaji, wametangaza mshikamano wao na waandamanaji.
-
Rais wa Ghana: Natumai mauaji ya Floyd yatachochea mabadiliko Marekani
Jun 02, 2020 23:25Rais wa Ghana ameashiria kuhusu mauaji ya kutisha ya Mmarekani mmoja mwenye asili ya Afrika katika mji wa Minneapolis nchini Marekani na kusema kuwa, "natumai kifo cha George Floyd kitakuwa chachu ya madiliko ya kudumu ya matatizo ya chuki na ubaguzi."
-
Wasiwasi wa Ulaya kuhusu kushamiri mrengo wa fikra za kibaguzi nchini Marekani
Jun 02, 2020 23:22Fikra za kuchupa mipaka za mrengo wa kulia zimeshamiri sana nchini Marekani katika kipindi cha uongozi wa Donald Trump kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.