-
Raisi: Mahakama za kimataifa ziwafuatilie na kuwapandisha kizimbani viongozi watenda jinai wa Marekani
Jun 02, 2020 07:00Mkuu wa Chombo cha Mahakama nchini Iran amesema kuwa, viongozi wa Marekani ni watuhumiwa wa kuvunja haki za kimsingi kabisa za binadamu na inabidi wapandishwe kizimbani kwenye mahakama za kimataifa.
-
Mkuu wa Majeshi aonekana katika eneo la kukandamiza waandamanaji nchini Marekani
Jun 02, 2020 07:00Muda mchache baada ya rais wa Marekani kutangaza serikali ya kijeshi na marufuku ya kutotoka nje, Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo Jenerali Mark Alexander Milley amekwenda kwenye maeneo ya kukandamiza waandamanaji kuona kwa karibu hali inavyoendelea na kazi inavyofanyika.
-
Obama ataka kufanyiwa marekebisho mfumo wa kimahakama wa Marekani
Jun 02, 2020 03:28Barack Obama, Rais wa zamani wa Marekani na katika kuendelea kwa maandamano ya kulaani mauaji ya ubaguzi wa rangi nchini humo, ametaka kufanyika mabadiliko katika mfumo wa vyombo vya mahakama vya nchi hiyo.
-
Andrew Cuomo: Ghasia za mitaani nchini Marekani ndilo takwa la Trump
Jun 02, 2020 03:12Gavana wa jimbo la New York nchini Marekani sambamba na kuunga mkono maandamano ya amani dhidi ya ubaguzi wa rangi ambao umekuwa ukiendelea nchini humo kwa mamia ya miaka, amesema kuwa, jumbe za Rais Donald Trump wa nchi hiyo zinabainisha wazi kwamba anapendelea ghasia zisambae na kuenea mitaani.
-
Trump asisitiza kuwakandamiza waandamanaji wanaolalamikia ubaguzi wa rangi nchini Marekani
Jun 02, 2020 01:54Ubaguzi wa rangi na matumizi ya mabavu dhidi ya wale wanaotajwa kuwa watu wa rangi nchini Marekani na hasa weusi, ni jambo lenye historia ndefu nchini humo. Licha ya mapambano ya muda mrefu ya weusi kwa ajili ya kutetea haki zao, lakini wangali ni wahanga wakubwa wa ubaguzi na matumizi ya mabavu na hasa kutoka kwa polisi ya nchi hiyo.
-
Maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani yasambaa duniani kote
Jun 01, 2020 05:55Maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na jinai ya polisi mweupe kumuuua Mmarekani mwenye asili ya Afrika sambamba na kuendelea kushuhudiwa katika miji na majimbo mbalimbali ya Marekani, lakini pia yamesambaa na kuenea kwa kasi katika nchi mbalimbali duniani hususan za Ulaya.
-
Watunisia wapinga kuwepo kijeshi Marekani nchini kwao
Jun 01, 2020 03:16Hatua ya vyama mbalimbali nchini Tunisia kupinga uwepo wa wanajeshi wa Marekani nchini humo imeipelekea washington iachane na msimamo wake katika uwanja huo.
-
Iyad na George, wahanga wawili wa ubaguzi wa Israel na Marekani
Jun 01, 2020 02:42Matukio katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na Marekani yanaonyesha kilele cha ubaguzi katika utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani.
-
Polisi ya Marekani yaendeleza mabavu dhidi ya waandishi habari
May 31, 2020 23:17Wafanyakazi wawili wa shirika la habari la Reuters wamepigwa risasi wakati wakiwa kazini wakichukua picha kuhusu maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na jinai ya polisi mweupe wa nchini Marekani ambaye hivi karibuni alimuua Mmarekani mwenye asili ya Afrika.
-
Maandamano, ghasia zashtadi Marekani licha ya 'kafyu' na kamatakamata
May 31, 2020 07:16Licha ya agizo la kutotoka nje usiku na kukamatwa mamia ya waandamanaji, lakini maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na jinai ya polisi mweupe kumuuua Mmarekani mwenye asili ya Afrika, yameendelea kushuhudiwa katika miji na majimbo mbalimbali ya Marekani.