Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Raisi: Mahakama za kimataifa ziwafuatilie na kuwapandisha kizimbani viongozi watenda jinai wa Marekani

    Raisi: Mahakama za kimataifa ziwafuatilie na kuwapandisha kizimbani viongozi watenda jinai wa Marekani

    Jun 02, 2020 07:00

    Mkuu wa Chombo cha Mahakama nchini Iran amesema kuwa, viongozi wa Marekani ni watuhumiwa wa kuvunja haki za kimsingi kabisa za binadamu na inabidi wapandishwe kizimbani kwenye mahakama za kimataifa.

  • Mkuu wa Majeshi aonekana katika eneo la kukandamiza waandamanaji nchini Marekani

    Mkuu wa Majeshi aonekana katika eneo la kukandamiza waandamanaji nchini Marekani

    Jun 02, 2020 07:00

    Muda mchache baada ya rais wa Marekani kutangaza serikali ya kijeshi na marufuku ya kutotoka nje, Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo Jenerali Mark Alexander Milley amekwenda kwenye maeneo ya kukandamiza waandamanaji kuona kwa karibu hali inavyoendelea na kazi inavyofanyika.

  • Obama ataka kufanyiwa marekebisho mfumo wa kimahakama wa Marekani

    Obama ataka kufanyiwa marekebisho mfumo wa kimahakama wa Marekani

    Jun 02, 2020 03:28

    Barack Obama, Rais wa zamani wa Marekani na katika kuendelea kwa maandamano ya kulaani mauaji ya ubaguzi wa rangi nchini humo, ametaka kufanyika mabadiliko katika mfumo wa vyombo vya mahakama vya nchi hiyo.

  • Andrew Cuomo: Ghasia za mitaani nchini Marekani ndilo takwa la Trump

    Andrew Cuomo: Ghasia za mitaani nchini Marekani ndilo takwa la Trump

    Jun 02, 2020 03:12

    Gavana wa jimbo la New York nchini Marekani sambamba na kuunga mkono maandamano ya amani dhidi ya ubaguzi wa rangi ambao umekuwa ukiendelea nchini humo kwa mamia ya miaka, amesema kuwa, jumbe za Rais Donald Trump wa nchi hiyo zinabainisha wazi kwamba anapendelea ghasia zisambae na kuenea mitaani.

  • Trump asisitiza kuwakandamiza waandamanaji wanaolalamikia ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Trump asisitiza kuwakandamiza waandamanaji wanaolalamikia ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Jun 02, 2020 01:54

    Ubaguzi wa rangi na matumizi ya mabavu dhidi ya wale wanaotajwa kuwa watu wa rangi nchini Marekani na hasa weusi, ni jambo lenye historia ndefu nchini humo. Licha ya mapambano ya muda mrefu ya weusi kwa ajili ya kutetea haki zao, lakini wangali ni wahanga wakubwa wa ubaguzi na matumizi ya mabavu na hasa kutoka kwa polisi ya nchi hiyo.

  • Maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani yasambaa duniani kote

    Maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani yasambaa duniani kote

    Jun 01, 2020 05:55

    Maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na jinai ya polisi mweupe kumuuua Mmarekani mwenye asili ya Afrika sambamba na kuendelea kushuhudiwa katika miji na majimbo mbalimbali ya Marekani, lakini pia yamesambaa na kuenea kwa kasi katika nchi mbalimbali duniani hususan za Ulaya.

  • Watunisia wapinga kuwepo kijeshi Marekani nchini kwao

    Watunisia wapinga kuwepo kijeshi Marekani nchini kwao

    Jun 01, 2020 03:16

    Hatua ya vyama mbalimbali nchini Tunisia kupinga uwepo wa wanajeshi wa Marekani nchini humo imeipelekea washington iachane na msimamo wake katika uwanja huo.

  • Iyad na George, wahanga wawili wa ubaguzi wa Israel na Marekani

    Iyad na George, wahanga wawili wa ubaguzi wa Israel na Marekani

    Jun 01, 2020 02:42

    Matukio katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na Marekani yanaonyesha kilele cha ubaguzi katika utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani.

  • Polisi ya Marekani yaendeleza mabavu dhidi ya waandishi habari

    Polisi ya Marekani yaendeleza mabavu dhidi ya waandishi habari

    May 31, 2020 23:17

    Wafanyakazi wawili wa shirika la habari la Reuters wamepigwa risasi wakati wakiwa kazini wakichukua picha kuhusu maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na jinai ya polisi mweupe wa nchini Marekani ambaye hivi karibuni alimuua Mmarekani mwenye asili ya Afrika.

  • Maandamano, ghasia zashtadi Marekani licha ya 'kafyu' na kamatakamata

    Maandamano, ghasia zashtadi Marekani licha ya 'kafyu' na kamatakamata

    May 31, 2020 07:16

    Licha ya agizo la kutotoka nje usiku na kukamatwa mamia ya waandamanaji, lakini maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na jinai ya polisi mweupe kumuuua Mmarekani mwenye asili ya Afrika, yameendelea kushuhudiwa katika miji na majimbo mbalimbali ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS