Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani, muhimili wa muqawama na mzingiro wa bonde la Shi'b Abi Twalib

    Marekani, muhimili wa muqawama na mzingiro wa bonde la Shi'b Abi Twalib

    May 10, 2020 03:45

    Ijumaa iliyopita Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah nchini Lebanon aliufananisha mwenendo wa Marekani katika kukabiliana na muqawama kuwa ni sawa na mwenendo ule ule wa viongozi wa Kiquraish dhidi ya Mtume Muhammad (saw) katika mzingiro wa (bonde la) Shi'b Abi Twalib.

  • Janga la COVID-19 na uvurugaji wa Marekani katika Baraza la Usalama

    Janga la COVID-19 na uvurugaji wa Marekani katika Baraza la Usalama

    May 10, 2020 02:58

    Katika hali ambayo Tunisia na Ufaransa zimekuwa zikijitahidi kuzikinaisha Marekani na China ziafiki rasimu ya azimio kuhusu janga la COVID-19 ambayo imekuwa ikijadiliwa kwa wiki kadhaa, Marekani imekataa kuiunga mkono rasimi huyo na hivyo kuzuia ipigiwe kura katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Russia: Marekani ilifanya kosa la kistratijia kujiondoa JCPOA

    Russia: Marekani ilifanya kosa la kistratijia kujiondoa JCPOA

    May 09, 2020 23:42

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa viongozi wa Marekani hawana uwezo wa kuandaa mazingira ya kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran.

  • Utafiti: Wamarekani 150,000 katika hatari ya kujiua kutokana athari za janga la corona

    Utafiti: Wamarekani 150,000 katika hatari ya kujiua kutokana athari za janga la corona

    May 09, 2020 08:09

    Utafiti mpya unaonyesha kuwa huenda makumi ya maelfu ya wananchi wa Marekani wataaga dunia kwa kunywa pombe kupita kiasi, kubugia dozi zilizopitiliza za mihadarati au kujiua kutoka na msongo wa mawazo uliosababishwa na janga la corona.

  • Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaitaka Marekani ihitimishe hatua zake za upande mmoja

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaitaka Marekani ihitimishe hatua zake za upande mmoja

    May 08, 2020 07:04

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani inapaswa kuhitimisha hatua zake za upande mmoja na zenye madhila.

  • Spika Nancy Pelosi: Njaa na umasikini vinaitesa Marekani

    Spika Nancy Pelosi: Njaa na umasikini vinaitesa Marekani

    May 08, 2020 06:59

    Spika wa Bunge la Wawakilishi nchini Marekani amekiri kwamba, baada ya virusi vya Corona kuenea nchini humo, hivi sasa nchi hiyo inakabiliwa na ongezeko kubwa la umasikini na njaa.

  • Marekani yaondoa nchini Saudia mifumo yake ya makombora ya Patriot

    Marekani yaondoa nchini Saudia mifumo yake ya makombora ya Patriot

    May 08, 2020 03:47

    Marekani imeanza kuondoa katika ardhi ya Saudi Arabia mifumo yake ya makombora ya Patriot na zana zingine za kijeshi, ikiwa ni sehemu ya mkakati mpana wa kupunguza uungaji mkono wake wa kijeshi kwa utawala huo wa kifalme.

  • Kuongezeka pakubwa ukosefu wa usalama wa chakula Marekani kufuatia kuenea virusi vya Corona

    Kuongezeka pakubwa ukosefu wa usalama wa chakula Marekani kufuatia kuenea virusi vya Corona

    May 07, 2020 21:53

    Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na kitivo kimoja nchini Marekani, sambamba na kuenea virusi vya Corona na kuibuka mgogoro wa kiuchumi, uhaba mkubwa wa usalama wa chakula katika familia nyingi za Marekani umepanda zaidi.

  • Biden: Si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    Biden: Si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    May 07, 2020 08:47

    Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrats amesema kuwa, si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuuingiza katika ardhi nyingine za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni zilizopachikwa jina bandia la Israel.

  • Corona yasababisha zaidi ya watu milioni 20 kupoteza ajira nchini Marekani

    Corona yasababisha zaidi ya watu milioni 20 kupoteza ajira nchini Marekani

    May 07, 2020 08:27

    Zaidi ya watu milioni 20 wamepoteza ajira kikamilifu nchini Marekani kutokana na janga la corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS