-
Marekani yaendelea kuua raia katika mashambulizi yake ya anga Somalia
Apr 01, 2020 21:53Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema jeshi la Marekani linaendelea kuua raia wasio na hatia katika mashambulizi yake ya anga nchini Somalia.
-
Masoko ya hisa yaporomoka baada ya White House kusema corona itaua Wamarekani 240,000
Apr 01, 2020 21:52Masoko ya hisa ya Marekani yameporomoka vibaya kufuatia tangazo la Ikulu ya White House kuwa ugonjwa wa Covid-19 huenda utaua Wamarekani hadi laki mbili na elfu arubaini (240,000) ndani ya wiki mbili zijazo.
-
Guterres: Mgogoro wa sasa wa virusi vya corona ndio mbaya zaidi duniani tangu baada ya Vita vya Pili vya Dunia
Apr 01, 2020 03:41Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuwa maambukizi ya sasa ya virusi vya corona ndiyo mgogoro mkubwa zaidi duniani tangu baada ya vita vya Pili vya Dunia.
-
Malengo ya kuhamishwa wanajeshi wa Marekani nchini Iraq
Apr 01, 2020 02:14Katika siku chache za hivi karibuni kuwekuwepo operesheni kabambe ya kuhamishwa wanajeshi wa Marekani kutoka sehemu moja ya kupelekwa jingine ndani ya ardhi ya Iraq.
-
Wafanyakazi za vibarua nchini Marekani wafanya mgomo huku janga la corona likiendelea kuitikisa dunia
Mar 31, 2020 21:52Wafanyakazi za vibarua wa sekta mbali mbali nchini Marekani wamefanya mgomo kulalamikia upuuzaji unaofanywa na waajiri wao kuhusiana na afya zao sambamba na kushtadi maambukizi ya kirusi cha covid-19 nchini humo.
-
Rezai: Hatua yoyote ya kijeshi itakayochukua Marekani Iraq ni sawa na shambulio linalofanywa na DAESH (ISIS)
Mar 31, 2020 11:23Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema, hatua yoyote ya kijeshi itakayochukua Marekani nchini Iraq itakuwa sawa na hujuma inayofanywa na kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS).
-
Marekani yakiri kuiwekea Iran vikwazo vya dawa
Mar 31, 2020 03:49Kuendelea vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu hata katika mazingira haya magumu ya kuenea virusi vya corona na kuwekwa vizingiti vya kila aina katika njia ya kudhaminiwa vifaa vya afya na matibabu kwa ajili ya kukabiliana na virusi hivyo, kumewafanya wengi wakiri kuwa 'mashinikizo ya juu zaidi' ya Marekani dhidi ya Iran yanajumuisha hata mfumo wa afya na tiba wa nchi hii.
-
Harakati ya Al-Nujaba ya Iraq yaitahadharisha Marekani juu ya hatua yoyote ya uvamizi nchini humo
Mar 31, 2020 01:46Harakati ya Al-Nujabaa ya nchini Iraq, imeitahadharisha Marekani kuhusu uvamizi wowote tarajiwa ndani ya ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Kuondoka askari wa Marekani katika kambi tatu za jeshi nchini Iraq, ni stratijia au taktiki?
Mar 30, 2020 23:16Wanajeshi wa Marekani wameondoka katika kambi ya K1 huko kaskazini mwa Iraq. Maudhui ya kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Iraq imekuwa suala na mjadala muhimu katika kipindi cha miezi mitatu ya mwaka huu wa 2020.
-
Wakati dunia imezongwa na corona, Marekani yawapelekea shehena za silaha magaidi nchini Syria
Mar 30, 2020 23:15Katika hali ambayo dunia imehamanika kutokana na janga la kirusi hatari cha corona, ndio kwanza dola la kibeberu na kiistikbari la Marekani linawatumia shehena za silaha magaidi huko nchini Syria.