-
Sisitizo la Marekani kuendeleza operesheni za kijeshi nje ya nchi licha ya maambukizi ya Corona
Mar 29, 2020 21:59Kuenea kusiko kwa kawaida kwa virusi angamizi vya Corona duniani, kumezifanya nchi nyingi za dunia kukumbwa na hali ngumu na matatizo.
-
Aghalabu ya Wamarekani wanakerwa na upotoshaji wa Trump kuhusu Corona
Mar 29, 2020 03:29Utafiti mpya wa maoni unaonesha kuwa akthari ya wananchi wa Marekani wanakerwa na upotoshaji na propaganda zinazoendeshwa na Rais Donald Trump kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa Covid-19 (Corona) nchini humo.
-
Radiamali ya bunge la Afghanistan kwa kitisho cha Marekani cha kuipunguzia misaada nchi hiyo
Mar 28, 2020 21:48Bunge la Afghanistan limetangaza kuwa matamshi ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani kuhusu kupunguzwa kiasi cha dola bilioni moja za misaada ya nchi hiyo kwa Kabul ni kinyume na mapatano ya kistratejia ya pande mbili.
-
Harakati ya Hizbullah: Njama za Marekani hazitopunguza muqawama wa Wairaki
Mar 28, 2020 08:10Harakati ya Hizbullah ya Iraq imesema kuwa, hatua chafu za Marekani dhidi ya nchi hiyo, hazitakuwa na taathira yoyote kwenye muqawama wa Wairaki.
-
Hasira ya mwakilishi wa New York kwa mpango wa kuokoa uchumi wa Marekani mkabala wa Corona
Mar 28, 2020 07:30Mwakilishi wa jimbo la New York, Marekani amekasirishwa na hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kutia saini mpango wa kukabiliana na Corona bila kuhudhuriwa na Wademocrat.
-
Marekani yakataa kuachia fedha za Iran za kuiwezesha kukabiliana na corona
Mar 28, 2020 03:43Marekani imekataa katika mazingira haya tete ya janga la corona kuachia mali na fedha za Iran zitakazoiwezesha Jamhuri ya Kiislamu kukabiliana na kirusi hicho angamizi.
-
Vikwazo vipya vya Marekani; sisitizo la Washington la kuendeleza sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran
Mar 28, 2020 01:47Licha ya matakwa na mashinikizo ya kimtaifa ya kuondolewa vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran hasa kwa kuzingatia mlipuko wa virusi vya corona na kuweko ulazima wa kukabiliana navyo, lakini serikali ya Washington inasisitiza kuendeleza utendaji wake usio wa kiutu na kibinadamu.
-
Ombi la nchi 8 kwa Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran
Mar 27, 2020 05:25Kuendelea vikwazo vya kidhalimu na vilivyo dhidi ya ubinadamu vya Marekani dhidi ya Iran katika fremu ya mashinikizo ya juu kabisa ya utawala wa Trump katika kipindi hiki cha kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona nchini Iran sambamba na udharura wa kukabiliana na ugonjwa huo angamizi kumepelekea jamii ya kimataifa iwasilishe maombi ya kutaka vikwazo hivyo viondolewa mara moja.
-
Marekani yaongoza kwa kuwa na kesi nyingi za corona duniani
Mar 27, 2020 03:41Idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Marekani imeongezeka na kufikia watu 82,400, hiki kikiwa ni kiwango kikubwa zaidi cha maambukizi ya virusi hivyo duniani hivi sasa.
-
Radiamali ya Venezuela baada ya Marekani 'kumshtaki' Rais Maduro
Mar 27, 2020 03:31Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amekosoa vikali na kutaja kama kichekesho hatua ya Marekani ya eti kumfungulia mashitaka ya ulanguzi wa mihadarati, ambapo amemtaja rais wa nchi hiyo, Donald Trump kuwa mtu mbaguzi.