Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kuendelea vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran katika kivuli cha Corona

    Kuendelea vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran katika kivuli cha Corona

    Mar 27, 2020 03:28

    Katika radiamali yake dhidi ya msimamo wa hivi karibuni wa Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani juu ya kuendelea mashinikizo ya juu zaidi ya Washington dhidi ya Tehran, Muhammad Jawad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtaja waziri huyo wa Marekani kuwa 'waziri wa chuki'.

  • Zarif: Janga la corona halisazi taifa lolote, hata Marekani inaomba msaada

    Zarif: Janga la corona halisazi taifa lolote, hata Marekani inaomba msaada

    Mar 26, 2020 22:33

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameiasi Marekani kubadili mienendo yake ili mripuko wa ugonjwa wa covid-19 ambalo ni janga la kimataifa lisilochagua taifa, usigeuke na kuwa mgogoro wa daima.

  • Waziri Zarif: Pompeo ni Waziri wa Chuki wa Marekani

    Waziri Zarif: Pompeo ni Waziri wa Chuki wa Marekani

    Mar 26, 2020 06:38

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali mienendo ya mwenzake wa Marekani, Mike Pompeo ya kueneza chuki, uhasama na propaganda dhidi ya Iran na kumtaja waziri huyo wa utawala wa Donald Trump kama Waziri wa Chuki.

  • Hitilafu za kisiasa zaongezeka nchini Marekani kuhusu makabiliano na Corona

    Hitilafu za kisiasa zaongezeka nchini Marekani kuhusu makabiliano na Corona

    Mar 26, 2020 00:58

    Kuenea virusi vya Corona na ugonjwa wa Covid-19 nchini Marekani si tu kwamba kumekuwa na taathira kubwa za kiuchumi na kijamii, bali pia kumegeuka na kuwa mjadala mkubwa ndani ya Bunge la Kongresi na ikulu ya White House.

  • Madai ya Pompeo: China na Russia zinaficha taarifa za virusi vya Corona

    Madai ya Pompeo: China na Russia zinaficha taarifa za virusi vya Corona

    Mar 25, 2020 23:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amedai kuwa serikali za Russia na China zinajiepusha kutoa taarifa sahihi za virusi vya Corona.

  • Mwito wa wabunge wa Marekani wa kupunguzwa vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya Iran

    Mwito wa wabunge wa Marekani wa kupunguzwa vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya Iran

    Mar 25, 2020 02:31

    Baada ya serikai ya Trump huko Marekani kujitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei 2018, ilianza kuiwekea Iran vikwazo vya kila namna ambavyo Trump anajingamba kuwa hakuna nchi yoyote duniani iliyowahi kuwekewa vikwazo vikubwa, vikali na vingi kama alivyoiwekea Iran.

  • Shamkhani: Watawala wa Marekani wanatumia corona kama fursa ya kuendeleza uhasama

    Shamkhani: Watawala wa Marekani wanatumia corona kama fursa ya kuendeleza uhasama

    Mar 24, 2020 22:00

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza kuwa: "Watawala wa Marekani wanatumia corona kama fursa ya kuendeleza uhasama."

  • Kuna uwezekano watu milioni saba watafariki dunia nchini Marekani kutokana na corona

    Kuna uwezekano watu milioni saba watafariki dunia nchini Marekani kutokana na corona

    Mar 24, 2020 10:19

    Utafiti mpya uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani umeonyesha kuwa, kutokana na uhaba wa vifaa vya kupumulia, watu zaidi ya milioni saba watafariki dunia endapo wataambukizwa kirusi cha corona.

  • Trump awataka Wamarekani wafungue biashara zao licha ya corona kuendelea kuua

    Trump awataka Wamarekani wafungue biashara zao licha ya corona kuendelea kuua

    Mar 24, 2020 03:01

    Rais wa Marekani, Donald Trump amewataka wananchi wa nchi hiyo kurejea katika biashara na shughuli zao za kila siku haraka iwezekanavyo akidai kuwa, idadi ya watu watakaojiua kutokana na msongo wa mawazo nchini humo itakuwa kubwa ikilinganishwa na ile ya wanaokufa kutokana na ugonjwa wa covid-19 (corona).

  • Viongoza wa New York waonya juu ya maafa yanayotokana na uhaba wa vifaa vya tiba

    Viongoza wa New York waonya juu ya maafa yanayotokana na uhaba wa vifaa vya tiba

    Mar 23, 2020 22:06

    Meya wa mji wa New York nchini Marekani ametahadharisha kuhusu ongezeko la hasara inayotokana na uhaba wa vifaa vya tiba na ametabiri kwamba, katika kipindi cha miezi miwili ijayo mgogoro unaotokana na virusi vya corona utakuwa mkubwa zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS