-
Rais Abbas kwa Baraza la Usalama: Muamala wa Karne unakiuka maazimio ya UN
Feb 12, 2020 04:10Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa, mbali na mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani uliopewa jina la Muamala wa Karne kukanyaga maazimio ya umoja huo, pia unakiuka mamlaka na uhuru wa kujitawala Palestina.
-
Rouhani: Iran inaendelea kustawi licha ya njama za maadui
Feb 11, 2020 08:48Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kustawi na kuimarika licha ya uhasama na njama za maadui hususan Marekani, na kwamba 'Mapinduzi ya Kiislamu' lilikuwa chaguo la taifa zima la Iran.
-
Mauaji ya raia yanayofanywa na Marekani ni dhihirisho la jinai za kivita
Feb 11, 2020 03:50Kamisheni ya Haki za Binaadamu nchini Afghanistan imeyataja mauaji ya raia yanayofanywa katika mashambulizi ya anga ya Marekani ndani ya nchi hiyo kuwa ni dhihirisho la jinai za kivita.
-
Uongo wa Trump alioutamka katika hotuba ya kila mwaka waanikwa
Feb 09, 2020 23:38Mtandao mmoja wa habari wa Marekani umeweka wazi idadi ya uongo uliosemwa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika hotuba yake ya kila mwaka.
-
Serikali ya Trump yajifanya kuwa msimamizi wa Uingereza; indhari juu ya shirika la Huawei
Feb 09, 2020 23:37Baada ya Uingereza kujitoa katika Umoja wa Ulaya hapo tarehe 31 Januari mwaka huu, Boris Johnson, Waziri Mkuu muhafidhina wa Uingereza amekuwa na matarajio makubwa ya kuanzisha uhusiano mkubwa na Marekani.
-
Askari aliyekuwa akiongoza drone za Marekani: Askari wa jeshi la Marekani ni wakatili sana kuliko hata Wanazi
Feb 09, 2020 12:26Askari mmoja ambaye alikuwa kitengo cha kuongoza ndege zisizo na rubani za Marekani (drone) amekiri kuhusu jinai za kutisha zinazofanywa na jeshi la nchi hiyo katika maeneo tofauti ya dunia.
-
Wajumbe zaidi ya 100 wa Baraza la Wawakilishi Marekani waukataa mpango wa 'Muamala wa Karne'
Feb 08, 2020 09:27Wajumbe 107 wa chama cha Democrat katika Baraza la Wawakilishi la Marekani wamemwandikia barua rais wa nchi hiyo Donald Trump wakiupinga vikali mpango wake alioupa jina la "Muamala wa Karne".
-
Ombi la Rais wa Ufaransa la kuangamizwa silaha za nyuklia
Feb 08, 2020 04:02Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, jana Ijumaa alitangaza uamuzi wa nchi yake wa kupunguza idadi ya silaha zake za nyuklia hadi chini ya vichwa 300 vya nyuklia.
-
Kufuatiliwa kisheria hatua za kigaidi za Donald Trump dhidi ya Iran
Feb 07, 2020 23:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran hivi sasa iko katika mchakato wa kufuatilia kisheria katika taasisi za kimataifa; hatua tatu za kigaidi zilizochukuliwa na Marekani dhidi ya Iran.
-
Raisi: Marekani ikituvamia tutavitimua vikosi vyake Ghuba ya Uajemi
Feb 07, 2020 23:29Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran ameonya dhidi ya tishio lolote la adui dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na kubainisha kuwa, iwapo Washington itathubutu kuchukua hatua yoyote iliyo dhidi ya Iran basi taifa hili litawatimua hadi chini ya Ghuba ya Uajemi wanajeshi wa Marekani.