-
Kumalizika mchakato wa kuuzuliwa Trump, kuendelea mgawanyiko wa kisiasa Marekani
Feb 06, 2020 21:41Hatimaye baada ya miezi kadhaa ya vuta nikuvute nchini Marekani, kadhia ya kuuzuliwa rais wa nchi hiyo imemalizika baada ya Baraza la Seneti linalohodhiwa na Warepublican kumtoa hatiani Donald Trump na kufumbia macho utumiaji wake vibaya madaraka.
-
Pentagon yatahadharisha kuhusu ongezeko la kujiua askari wa kikosi cha anga Marekani
Feb 06, 2020 21:39Wizara ya Ulinzi nchini Marekani (Pentagon) imetahadharisha juu ya ongezeko la kujiua maafisa wa jeshi la anga la nchi hiyo.
-
Rais wa Kenya aonya kuhusu ushindani wa Marekani na China barani Afrika
Feb 06, 2020 08:46Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametahadharisha kuhusiana na ushindani wa Marekani na China barani Afrika na kubainisha kwamba, madola ya kigeni yanazidisha mgawanyiko na mivutano katika bara hilo.
-
Mkutano wa siri wa Marekani, UAE na Israel kujadili njama dhidi ya Iran
Feb 05, 2020 04:19Kumefanyika mkutano wa siri kati ya Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa lengo la kujadili njama dhidi ya Iran.
-
EU yapinga njama za Trump dhidi ya Wapalestina
Feb 05, 2020 01:16Umoja wa Ulaya umepinga mpango uliopendekezwa na Rais Donald Trump wa Marekani ambao unakandamiza haki za taifa la Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne" ukisisitiza kuwa, mpango huo unakanyaga sheria za kimataifa.
-
Mbunge wa Marekani akiri kuwa serikali ya Washington imetenda kosa kuwadadisi raia wa Iran
Feb 04, 2020 10:18Mbunge wa chama cha Democrat katika bunge la wawakilishi amekiri kwamba serikali ya nchi hiyo imefanya kosa katika kuwakamata na kuwadadisi raia wa Iran katika mipaka ya Marekani.
-
Pakistan: Matumaini ya Trump kuwa mpatanishi katika mgogoro wa Kashmir, ni ujinga mkubwa
Feb 03, 2020 12:24Seneta wa ngazi ya juu nchini Pakistan sambamba na kubainisha kwamba Marekani kamwe haijawahi kuwatakia jambo la kheri Waislamu, amesema kuwa Trump hataki hata kidogo kutatuliwa matatizo ya Waislamu wa Kashmir.
-
Arab League yapinga "Muamala wa Karne", yatoa onyo kali kwa Israel
Feb 02, 2020 07:28Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) wamepinga mpango eti wa amani uliopendekelezwa na Marekani kwa ajili ya mgogoro wa Wapalestina na utawala wa kizayuni wa Israel maarufu kwa jina la "Muamala wa Karne".
-
Mamia waandamana Tel Aviv na London kupinga 'Muamala wa Karne'
Feb 02, 2020 03:51Mamia ya watu wamefanya maandamano katika barabara za mji mkuu wa utawala haramu wa Israel, Tel Aviv kulaani "Muamala wa Karne" uliozinduliwa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani, anayedai kuwa mapendekezo yaliyomo kwenye mpango huo ghalati yataleta suluhu ya amani ya mgogoro baina ya Israel na Palestina.
-
Baraza la Mamufti wa Russia: Nchi za Kiislamu ziungane kupambana na "Muamala wa Karne"
Feb 01, 2020 23:11Mkurugenzi wa Baraza la Mamufti wa Russia ambacho ndicho chombo kikubwa zaidi ya Kiislamu nchini humo amesema kuwa, kuna wajibu wa nchi zote za Kiislamu kuungana na kuwa kitu kimoja ili kupambana na mpango wa Kimarekani-Kizayuni wa "Muamala wa Karne."