Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • IRGC: 'Majeraha ya Ubongo' ni njia ya kuficha idadi ya askari wa Marekani waliouawa katika hujuma ya makombora ya Iran

    IRGC: 'Majeraha ya Ubongo' ni njia ya kuficha idadi ya askari wa Marekani waliouawa katika hujuma ya makombora ya Iran

    Feb 01, 2020 10:08

    Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema madai ya Marekani kuhusu idadi kubwa ya wanajeshi wake waliopata 'majeraha ya ubongo' kufuatia makombora ya Iran ya ulipizaji kisasi yaliyolenga kituo cha kijeshi cha Ain al Assad nchini Iraq ni njia ya kuficha idadi ya wanajeshi waliouawa katika oparesheni hiyo.

  • Kuvuka sekta ya nyuklia ya Iran vikwazo haramu na vya kidhalimu vya Marekani

    Kuvuka sekta ya nyuklia ya Iran vikwazo haramu na vya kidhalimu vya Marekani

    Jan 31, 2020 21:46

    Wizara ya Fedha ya Marekani imeendeleza sera zake za ukiukaji sheria, zilizofeli na kugonga mwamba kwa kumwekea vikwazo Ali Akbar Salehi, Makamu wa Rais na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI).

  • Waziri wa Trump afurahia virusi vya Corona, asema vitainua uchumi wa Marekani

    Waziri wa Trump afurahia virusi vya Corona, asema vitainua uchumi wa Marekani

    Jan 31, 2020 21:45

    Waziri wa Biashara nchini Marekani Wilbur Ross amesema kwamba mripuko mbaya wa virusi vya Corona nchini China unaweza kuinua uchumi wa Marekani.

  • Wagombea wa urais Marekani wakosoa 'mpango wa amani' wa Trump

    Wagombea wa urais Marekani wakosoa 'mpango wa amani' wa Trump

    Jan 30, 2020 23:11

    Wagombea wa chama cha Democrat kwenye uchaguzi wa rais wa mwaka huu 2020 nchini Marekani wamekosoa vikali kile kinachotajwa kuwa mpango wa amani uliozinduliwa hivi karibuni na Rais Donald Trump wakisisitiza kuwa, pendekezo hilo lililopewa jina la wa 'Muamala wa Karne' halitakuwa na matokeo mengine ghairi ya kushadidisha mgogoro baina Palestina na Israel.

  • Kiongozi Muadhamu: Muamala wa Karne kamwe hautazaa matunda

    Kiongozi Muadhamu: Muamala wa Karne kamwe hautazaa matunda

    Jan 30, 2020 10:09

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema pendekezo la Marekani lililopewa jina la 'Muamala wa Karne' katu halitazaa matunda kwa Rehema za Mwenyezi Mungu.

  • Rekodi mpya ya mashambulizi ya Marekani nchini Afghanistan 2019 yatolewa

    Rekodi mpya ya mashambulizi ya Marekani nchini Afghanistan 2019 yatolewa

    Jan 29, 2020 23:09

    Ripoti mpya zinaelezea rekodi mpya ya mashambulizi ya Marekani nchini Afghanistan.

  • Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inalenga kupanua wigo wa makabiliano na Russia, China

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inalenga kupanua wigo wa makabiliano na Russia, China

    Jan 29, 2020 03:10

    Katika zama za utawala wa Rais Donlad Trump, Marekani imekithirisha makabiliano na Russia na China ambazo ni washindani wake wakuu katika uga wa kimataifa. Sera hiyo ya utawala wa Trump ilitiliwa mkazo katika Waraka wa Kistratijia wa Usalama wa Taifa la Marekani mwaka 2018.

  • Indhari ya Umoja wa Ulaya kuhusu kutofikiwa makubaliano ya kibiashara na Uingereza katika kipindi cha baada ya Brexit

    Indhari ya Umoja wa Ulaya kuhusu kutofikiwa makubaliano ya kibiashara na Uingereza katika kipindi cha baada ya Brexit

    Jan 28, 2020 21:57

    Suala la mpango wa Uingereza wa kujitoa katika Umoja wa Ulaya (Brexit) linahesabiwa kuwa daghadagha muhimu zaidi ya wananchi wa Uingereza.

  • Larijani: Lengo la 'Muamala wa Karne' ni kuwadhalilisha Waislamu

    Larijani: Lengo la 'Muamala wa Karne' ni kuwadhalilisha Waislamu

    Jan 28, 2020 08:28

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema madhumuni ya njama za Marekani dhidi ya Wapalestina kwa jina la 'Muamala wa Karne' ni kuwadhalilisha na kuwatweza Waislamu.

  • Saudia yaipongeza Marekani kwa mauaji ya kigaidi ya Jenerali Soleimani

    Saudia yaipongeza Marekani kwa mauaji ya kigaidi ya Jenerali Soleimani

    Jan 28, 2020 08:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia ameipongeza Marekani kwa kumuua shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) pamoja na wanzake kadhaa nchini Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS