-
Rouhani: Watu wa Asia Magharibi watakabiliana na dhulma za Marekani
Jan 28, 2020 08:21Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wananchi wa nchi za eneo la Asia Magharibi watakabiliana na dhulma na ubeberu wa Marekani.
-
Waziri wa Ulinzi wa Marekani akataa kutoa maelezo kuhusu ndege iliyotunguliwa Afghanistan
Jan 28, 2020 02:06Waziri wa Ulinzi wa Marekani amekataa kutoa maelezo kuhusiana na ndege ya nchi hiyo iliyotunguliwa nchini Afghanistan.
-
Meja Jenerali Salami: Marekani itajuta kutoa vitisho dhidi ya makamanda wa SEPAH
Jan 27, 2020 23:17Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, Marekani inapaswa ichunge hatua inazochukua na akasisitiza kuwa: Wale ambao wametishia kuwaua kigaidi makamanda wa Iran, kama watabaki hai, bila shaka watajuta tu.
-
Raia wa Venezuela watangaza mshikamano wao na Wairani kupinga ubeberu wa Marekani
Jan 26, 2020 12:44Wawakilishi wa Harakati za Kijamii na Kisiasa nchini Venezuela pamoja na kamati za kisiasa kote duniani, wametangaza mshikamano wao na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kulinda amani mkabala wa vitisho vya Marekani, kupitia maandamano ya amani yaliyofanyika Jumamosi ya Jana.
-
Hizbullah: Marekani ndiyo sababu ya matatizo yote ya Lebanon
Jan 26, 2020 09:26Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo chimbuko la matatizo yote yanayoikabili Lebanon.
-
Maveterani wa kivita Marekani wamtaka Trump aombe radhi kwa kudharau hasara kubwa iliyosababishwa na kipigo cha Iran
Jan 25, 2020 23:50Kundi moja la maveterani wa vita vya nje ya Marekani wamemtaka rais wa nchi hiyo Donald Trump aombe radhi kwa kudharau madhara waliyopata wanajeshi wa Marekani baada ya kambi yao ya Ain al Assad ya nchini Iraq kushambuliwa kwa makumi ya makombora ya Iran.
-
Pentagon yakiri tena: Makumi ya askari wa Marekani walipatwa na madhara katika shambulio la makombora la Iran
Jan 25, 2020 23:21Alfajiri ya Jumatano Januari 8 mwaka huu Iran ilishambulia kwa makombora kambi ya jeshi la Marekani ya Ain al Asad huko Iraq ikiwa ni katika kutimiza ahadi yake ya kulipiza kisasi kikali cha mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na serikali ya Trump dhidi ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani na wenzake huko Baghdad.
-
Wamarekani waunga mkono mpango wa kumshtaki Trump ICC
Jan 25, 2020 08:09Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani unaonesha Wamarekani wanaunga mkono mpango wa kushtakiwa rais wa nchi hiyo, Donald Trump kwa kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani.
-
Idadi ya askari wa Marekani waliojeruhiwa katika jibu la Iran 'yaongezeka'
Jan 25, 2020 04:04Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imesema makumi ya askari wa nchi hiyo walijeruhiwa na kupatwa na matatizo ya kisaikolojia kufuatia shambulizi la makombora la Iran dhidi ya kambi mbili za kijeshi za nchi hiyo huko Iraq mapema mwezi huu, licha ya utawala wa Washington hapo awali kudai kuwa hakuna askari wake hata mmoja aliyeuawa au kujeruhiwa katika majibu hayo makali ya ulipizaji kisasi yaliyotolewa na Iran.
-
Russia yapinga vikali vitisho vya Marekani vya kumuua kigaidi Brig. Jen. Qaani
Jan 24, 2020 13:29Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amelaani vitisho vilivyotolewa na Marekani vya kumuua kigaidi kamanda mpya wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (Sepah).