Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Rouhani: Watu wa Asia Magharibi watakabiliana na dhulma za Marekani

    Rouhani: Watu wa Asia Magharibi watakabiliana na dhulma za Marekani

    Jan 28, 2020 08:21

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wananchi wa nchi za eneo la Asia Magharibi watakabiliana na dhulma na ubeberu wa Marekani.

  • Waziri wa Ulinzi wa Marekani akataa kutoa maelezo kuhusu ndege iliyotunguliwa Afghanistan

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani akataa kutoa maelezo kuhusu ndege iliyotunguliwa Afghanistan

    Jan 28, 2020 02:06

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani amekataa kutoa maelezo kuhusiana na ndege ya nchi hiyo iliyotunguliwa nchini Afghanistan.

  • Meja Jenerali Salami: Marekani itajuta kutoa vitisho dhidi ya makamanda wa SEPAH

    Meja Jenerali Salami: Marekani itajuta kutoa vitisho dhidi ya makamanda wa SEPAH

    Jan 27, 2020 23:17

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, Marekani inapaswa ichunge hatua inazochukua na akasisitiza kuwa: Wale ambao wametishia kuwaua kigaidi makamanda wa Iran, kama watabaki hai, bila shaka watajuta tu.

  • Raia wa Venezuela watangaza mshikamano wao na Wairani kupinga ubeberu wa Marekani

    Raia wa Venezuela watangaza mshikamano wao na Wairani kupinga ubeberu wa Marekani

    Jan 26, 2020 12:44

    Wawakilishi wa Harakati za Kijamii na Kisiasa nchini Venezuela pamoja na kamati za kisiasa kote duniani, wametangaza mshikamano wao na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kulinda amani mkabala wa vitisho vya Marekani, kupitia maandamano ya amani yaliyofanyika Jumamosi ya Jana.

  • Hizbullah: Marekani ndiyo sababu ya matatizo yote ya Lebanon

    Hizbullah: Marekani ndiyo sababu ya matatizo yote ya Lebanon

    Jan 26, 2020 09:26

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo chimbuko la matatizo yote yanayoikabili Lebanon.

  • Maveterani wa kivita Marekani wamtaka Trump aombe radhi kwa kudharau hasara kubwa iliyosababishwa na kipigo cha Iran

    Maveterani wa kivita Marekani wamtaka Trump aombe radhi kwa kudharau hasara kubwa iliyosababishwa na kipigo cha Iran

    Jan 25, 2020 23:50

    Kundi moja la maveterani wa vita vya nje ya Marekani wamemtaka rais wa nchi hiyo Donald Trump aombe radhi kwa kudharau madhara waliyopata wanajeshi wa Marekani baada ya kambi yao ya Ain al Assad ya nchini Iraq kushambuliwa kwa makumi ya makombora ya Iran.

  • Pentagon yakiri tena: Makumi ya askari wa Marekani walipatwa na madhara katika shambulio la makombora la Iran

    Pentagon yakiri tena: Makumi ya askari wa Marekani walipatwa na madhara katika shambulio la makombora la Iran

    Jan 25, 2020 23:21

    Alfajiri ya Jumatano Januari 8 mwaka huu Iran ilishambulia kwa makombora kambi ya jeshi la Marekani ya Ain al Asad huko Iraq ikiwa ni katika kutimiza ahadi yake ya kulipiza kisasi kikali cha mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na serikali ya Trump dhidi ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani na wenzake huko Baghdad.

  • Wamarekani waunga mkono mpango wa kumshtaki Trump ICC

    Wamarekani waunga mkono mpango wa kumshtaki Trump ICC

    Jan 25, 2020 08:09

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani unaonesha Wamarekani wanaunga mkono mpango wa kushtakiwa rais wa nchi hiyo, Donald Trump kwa kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani.

  • Idadi ya askari wa Marekani waliojeruhiwa katika jibu la Iran 'yaongezeka'

    Idadi ya askari wa Marekani waliojeruhiwa katika jibu la Iran 'yaongezeka'

    Jan 25, 2020 04:04

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imesema makumi ya askari wa nchi hiyo walijeruhiwa na kupatwa na matatizo ya kisaikolojia kufuatia shambulizi la makombora la Iran dhidi ya kambi mbili za kijeshi za nchi hiyo huko Iraq mapema mwezi huu, licha ya utawala wa Washington hapo awali kudai kuwa hakuna askari wake hata mmoja aliyeuawa au kujeruhiwa katika majibu hayo makali ya ulipizaji kisasi yaliyotolewa na Iran.

  • Russia yapinga vikali vitisho vya Marekani vya kumuua kigaidi Brig. Jen. Qaani

    Russia yapinga vikali vitisho vya Marekani vya kumuua kigaidi Brig. Jen. Qaani

    Jan 24, 2020 13:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amelaani vitisho vilivyotolewa na Marekani vya kumuua kigaidi kamanda mpya wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (Sepah).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS