Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Iraq yasubiri kushuhudia tukio la kihistoria; Mapinduzi ya Ishiri ya pili

    Iraq yasubiri kushuhudia tukio la kihistoria; Mapinduzi ya Ishiri ya pili

    Jan 24, 2020 04:45

    Huku Wairaki wakiwa wanasubiri kushuhudia maandamano makubwa ya mamilioni ya watu dhidi ya uwepo wa kijeshi wa Wamarekani katika ardhi ya nchi hiyo, makundi mbalimbali ya Wairaki wanayataja maandamano hayo kuwa 'Mapinduzi ya Ishirini' ya pili.

  • Chris Murphy akosoa kitendo cha Trump kusema uongo kuhusu hasara iliyotokana na shambulio la Iran Ain Assad

    Chris Murphy akosoa kitendo cha Trump kusema uongo kuhusu hasara iliyotokana na shambulio la Iran Ain Assad

    Jan 23, 2020 23:22

    Chris Murphy, Seneta wa Marekani amesema kuwa hadi sasa Rais Donald Trump wa nchi hiyo ameendelea kuwahadaa Wamarekani kuhusu hasara iliyotokana na shambulio la makombora ya Iran kwenye kambi yake ya jeshi ya Ain Assad nchini Iraq.

  • Matokeo hasi ya chokochoko za Marekani Asia Magharibi

    Matokeo hasi ya chokochoko za Marekani Asia Magharibi

    Jan 23, 2020 23:22

    Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa hatua na chokochoko za kijeshi zinazofanywa na Marekani katika eneo la Asia Magharibi, ndio chanzo cha machafuko ndani ya eneo hilo na ameongeza kuwa, uthibitisho wa mwisho wa jambo hilo ni kumuua kigaidi Luteni Qassem Soleimani katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Baghadad, Iraq.

  • Msimamo wa Ulaya kuhusu JCPOA, sera ya mielekeo kinzani yenye hatima moja

    Msimamo wa Ulaya kuhusu JCPOA, sera ya mielekeo kinzani yenye hatima moja

    Jan 23, 2020 08:30

    Hatua ya hivi karibuni ya troika ya Ulaya inayozijumuisha nchi za Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ya kuanza kutekeleza utaratibu wa kutatua tofauti ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA, ambayo imeanzishwa kwa mashinikizo ya Marekani, imekabiliwa na radiamali kali ya Iran.

  • Madai ya kijuba ya Marekani kuhusu kamanda mpya wa kikosi cha Quds Brig. Jen. Qaani

    Madai ya kijuba ya Marekani kuhusu kamanda mpya wa kikosi cha Quds Brig. Jen. Qaani

    Jan 23, 2020 08:06

    Mwakilishi maalumu wa Marekani katika masuala ya Iran ametoa matamshi ambayo yanaashiria utambulisho wa kigaidi wa serikali ya Washington ambapo amezungumza kuhusu hatua tarajiwa dhidi ya kamanda aliyechukua nafasi ya Shahidi Luteni Jenerali Qasem Soleimani.

  • Pakistan yakiri ilifanya kosa kubwa kushirikiana na Marekani katika vita vya Afghanistan

    Pakistan yakiri ilifanya kosa kubwa kushirikiana na Marekani katika vita vya Afghanistan

    Jan 22, 2020 22:57

    Waziri Mkuu wa Pakistan amesema kuwa, uamuazi wa nchi yake wa kushirikiana na Marekani katika vita vya Afghanistan kwenye kile kilichodaiwa kuwa ni kupambana na ugaidi, lilikuwa kosa kubwa.

  • Tanzania, Nigeria katika nchi zitakazowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Tanzania, Nigeria katika nchi zitakazowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Jan 22, 2020 08:37

    Marekani ina mpango wa kuziongeza nchi nyingine saba zikiwemo Tanzania na Nigeria kwenye orodha ya nchi ambazo raia wake wanatarajiwa kuwekewa vikwazo na vizingiti vya kuingia nchini humo.

  • Sisitizo la Marekani la kumuunga mkono zaidi Juan Guaido; mwendelezo wa siasa zilizofeli za Washington

    Sisitizo la Marekani la kumuunga mkono zaidi Juan Guaido; mwendelezo wa siasa zilizofeli za Washington

    Jan 22, 2020 03:52

    Katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, nchi yenye utajiri wa mafuta ya Venezuela imekuwa ikikabiliwa na mgogoro wa ndani wa kisiasa. Juan Guaido, kinara wa upinzani nchini Venezuela, Januari 23 mwaka jana alijitangaza kuwa Rais wa nchi hiyo.

  • Uchunguzi wa maoni wa CNN: Wamarekani wengi wanataka Trump atimuliwe

    Uchunguzi wa maoni wa CNN: Wamarekani wengi wanataka Trump atimuliwe

    Jan 21, 2020 07:00

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yanaonyesha kuwa, Wamarekani wengi wanataka Rais Donald Trump wa nchi hiyo ahukumiwe na kuondolewa madarakani.

  • Shambulizi la maroketi lajiri karibu na ubalozi wa Marekani nchini Iraq

    Shambulizi la maroketi lajiri karibu na ubalozi wa Marekani nchini Iraq

    Jan 21, 2020 04:05

    Eneo lenye ulinzi mkali la Green Zone karibu na ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad limeshambuliwa kwa maroketi usiku wa kuamkia leo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS