Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kiongozi Muadhamu: Kusimama imara kwa taifa la Iran, kumeikasirisha Marekani na kuivutia dunia

    Kiongozi Muadhamu: Kusimama imara kwa taifa la Iran, kumeikasirisha Marekani na kuivutia dunia

    Jan 20, 2020 10:14

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, huku akifafanua misingi ya fikra za Kiislamu na malengo yake kukiwemo kusimama imara kwa Jamhuri ya Kiislamu, kuwa ni jambo lililoivutia dunia, amesema kuwa sababu ya kuwafanya Wamarekani wachukizwe na taifa la Iran ni mvuto unaotokana na fikra ya kusimama imara mfumo wa kujitegemea mkabala wa utawala wa kidhalimu.

  • Trump adai kuwa wakulima Marekani watampigia kura

    Trump adai kuwa wakulima Marekani watampigia kura

    Jan 20, 2020 04:27

    Rais wa Marekani amedai kuwa wakulimwa na wenye mashamba nchini humo watakuwa pamoja naye na kumpigia kura katika uchaguzi ujao.

  • Ujerumani yakosoa mashinikizo ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran

    Ujerumani yakosoa mashinikizo ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran

    Jan 20, 2020 03:47

    Baada ya kushika madaraka ya kuongoza Marekani, alianza kutekeleza siasa za kuiondoa nchi hiyo katika mikataba na makubakliano muhimu ya kimataifa, suala ambalo limekabilwia na malalamiko na upinzani ndani na nje ya nchi hiyo.

  • Maelfu ya wanawake waandamana dhidi ya Trump nchini Marekani

    Maelfu ya wanawake waandamana dhidi ya Trump nchini Marekani

    Jan 19, 2020 04:32

    Makumi ya maelfu ya wanawake wameshiriki maandamano katika miji mikubwa ya Marekani ukiwemo mji mkuu Washington, kupinga sera za kibaguzi za Rais Donald Trump wa nchi hiyo dhidi ya wanawake.

  • Rais Rouhani: Marekani, chanzo cha shari zote Asia Magharibi

    Rais Rouhani: Marekani, chanzo cha shari zote Asia Magharibi

    Jan 18, 2020 23:57

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani ndiyo chanzo cha vitendo vyote vya shari, migogoro na matatizo katika eneo hili la Asia Magharibi.

  • Mexico yatupilia mbali tuhuma za Marekani dhidi ya Iran

    Mexico yatupilia mbali tuhuma za Marekani dhidi ya Iran

    Jan 18, 2020 23:27

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mexico imetupilia mbali madai ya hivi karibuni ya gazeti la Kimarekani la Wall Street Journal kuhusiana na upenyaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo la Amerika ya Latini.

  • Njama za Marekani za kutaka kuficha hasara kubwa za shambulizi la makombora ya Iran huko Ainul Asad

    Njama za Marekani za kutaka kuficha hasara kubwa za shambulizi la makombora ya Iran huko Ainul Asad

    Jan 18, 2020 09:13

    Katika jitihada zake za kutimiza ahadi ya kulipiza kisasi kikali dhidi ya Marekani kutokana na mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na nchi hiyo dhidi ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani na wana jihadi wenzake, Alfajii ya Jumatano tarehe 8 Januari Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilishambulia kambi kubwa zaidi ya wanajeshi wa Marekani nchini Iraq ya Ainul Asad.

  • Saudia yaipa Washington dola milioni 500 kwa ajili ya uwepo wa askari wa US nchini humo

    Saudia yaipa Washington dola milioni 500 kwa ajili ya uwepo wa askari wa US nchini humo

    Jan 18, 2020 04:01

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imefichua kuwa, utawala wa Riyadh umeipa Washingon dola milioni 500, kama malipo ya kugharamia uwepo wa askari wa Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Baba wa askari wa Marekani aliye Ain Assad: Sijui kama mwanangu yuko hai au amefariki dunia

    Baba wa askari wa Marekani aliye Ain Assad: Sijui kama mwanangu yuko hai au amefariki dunia

    Jan 17, 2020 23:26

    Baba wa mmoja wa askari wa Kimarekani aliye katika kambi ya kijeshi ya Ain Assad nchini Iraq ameelezea wasi wasi wake mkubwa juu ya maisha ya mwanaye baada ya kupita zaidi ya wiki moja tangu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ishambulie kwa makombora kambi hiyo ya kijeshi.

  • Mazungumzo eti ya amani kati ya Marekani na Taleban huko Qatar yavunjika

    Mazungumzo eti ya amani kati ya Marekani na Taleban huko Qatar yavunjika

    Jan 17, 2020 23:25

    Waziri wa Serikali Katika Masuala ya Afghanistan, amesema kuwa mazungumzo eti ya 'amani' kati ya Marekani na kundi la Taleban yanayofanyika nchini Qatar, yamevunjika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS