Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote

    Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote

    Feb 25, 2026 03:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema Iran na Marekani zina "fursa ya kihistoria" iliyopo mbele ya macho ya kufikia "makubaliano ambayo hayajawahi kushuhudiwa," huku akionya kwamba Jamhuri ya Kiislamu italinda uhuru na mamlaka yake ya kujitawala kwa gharama yoyote endapo kutakuwa na uvamizi mpya wa kijeshi wa Marekani.

  • Iraq yamueleza mjumbe wa Marekani: Uundaji wa serikali ni 'suala letu la ndani'

    Iraq yamueleza mjumbe wa Marekani: Uundaji wa serikali ni 'suala letu la ndani'

    Feb 24, 2026 08:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq, Fuad Hussein amesema, uundaji wa serikali mpya ya nchi hiyo ni "suala la ndani," ukiwa ni mjibizo uliotolewa wiki chache baada ya Marekani kutishia kufuta msaada na uungaji mkono wake kwa nchi hiyo ya Asia Magharibi.

  • Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?

    Kwa nini Somaliland imeipa ofa Marekani ya kuanzisha kituo cha kijeshi katika ardhi yake?

    Feb 24, 2026 05:09

    Somaliland imeipa Marekani ofa na fursa ya kuanzisha kambi ya kijeshi katika ardhi yake. Vyanzo vya habari vimeripoti kwamba, maafisa wa Somaliland wameipa Washington ofa ya kutumia rasilimali za madini za eneo hilo na kuanzisha kambi ya kijeshi.

  • Mjibizo hasi wa maoni ya umma wa Marekani kwa sera za kupenda vita za Trump

    Mjibizo hasi wa maoni ya umma wa Marekani kwa sera za kupenda vita za Trump

    Feb 22, 2026 03:00

    Maoni ya umma nchini Marekani katika mwaka huu wa 2026, yanapinga vikali chokochoko yoyote mpya ya kijeshi dhidi ya Iran. Fikra za walio wengi nchini Marekani zina mtazamo hasi kuhusiana na sera za kupenda vita za Rais mtata Donald Trump.

  • Kwa nini Amnesty International imelaani operesheni za kijeshi za Marekani huko Karibiani na Pasifiki?

    Kwa nini Amnesty International imelaani operesheni za kijeshi za Marekani huko Karibiani na Pasifiki?

    Feb 21, 2026 22:59

    Shirika la Amnest International limelaani mashambulizi ya Marekani katika eneo la Karibiani na huko Pasifiki.

  • Iran yaonya: Hatutaanzisha vita, lakini tutajibu vikali uvamizi wowote

    Iran yaonya: Hatutaanzisha vita, lakini tutajibu vikali uvamizi wowote

    Feb 20, 2026 06:18

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kwamba, Jamhuri ya Kiislamu haitaanzisha vita, lakini itatoa jibu zito kwa kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya nchi hii.

  • Hamas yalaani mkutano wa 'Bodi ya Amani' ya Trump

    Hamas yalaani mkutano wa 'Bodi ya Amani' ya Trump

    Feb 20, 2026 06:18

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali kufanyika mkutano wa kile kinachoitwa 'Bodi ya Amani ya Gaza' huko nchini Marekani.

  • Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

    Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani

    Feb 19, 2026 07:16

    Waziri wa Nishati wa Marekani amesema, nchi hiyo itaanza tena kurutubisha madini ya urani

  • Iran, US zakamilisha duru ya pili ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana ya nyuklia, Geneva

    Iran, US zakamilisha duru ya pili ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana ya nyuklia, Geneva

    Feb 17, 2026 10:09

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, duru ya pili ya mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani imemalizika mjini Geneva, Uswisi.

  • Kallas: Estonia inaipiku Marekani katika uhuru wa kujieleza

    Kallas: Estonia inaipiku Marekani katika uhuru wa kujieleza

    Feb 16, 2026 06:41

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Kaja Kallas amepuuzilia mbali ukosoaji wa Washington kuhusu mbinyo wa kutoa maoni katika nchi wanachama wa umoja huo, akisisitiza kwamba nchi yake ya asili ya Estonia ina uhuru mkubwa zaidi wa kujieleza kuliko Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS