Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Malaysia: Marekani imetangaza vita kwa kumuua shahidi Soleimani

    Malaysia: Marekani imetangaza vita kwa kumuua shahidi Soleimani

    Jan 05, 2020 04:08

    Baraza la Shura la Jumuiya ya Waislamu Malaysia limelaani vikali hatua ya kigaidi ya Marekani ya kumuua shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC.

  • Kutapatapa viongozi wa Marekani ili kuhalalisha jinai yao ya kumuua shahidi kamanda Soleimani

    Kutapatapa viongozi wa Marekani ili kuhalalisha jinai yao ya kumuua shahidi kamanda Soleimani

    Jan 04, 2020 08:13

    Viongozi wa ngazi ya juu wa Marekani wamedhihirisha misimamo ya kukinzana katika juhudi za kuhalalisha jinai yao ya kumuua kigaidi Kamanda Qassem Soleimani baada ya kudai kuwa eti hawataki vita na Iran.

  • Wairaqi walaani vikali kuuawa Qassem Soleimani na Abu Mahdi

    Wairaqi walaani vikali kuuawa Qassem Soleimani na Abu Mahdi

    Jan 03, 2020 23:20

    Shakhasia mbali mbali wa kisiasa na kidini nchini Iraq wamelaani vikali hujuma ya kigaidi ya Mareknai ambayo imepelekea Meja Jenerali Qassem Suleimani na Naibu Mkuu wa Harakati ya Kujitolea ya Wananchi wa Iraq (Al Hashd al Shaabi) Abu Mahdi la Muhandis kuuawa shahidi.

  • Bei za mafuta na dhahabu zapanda duniani kufuatia mauaji ya Jenerali Soleimani

    Bei za mafuta na dhahabu zapanda duniani kufuatia mauaji ya Jenerali Soleimani

    Jan 03, 2020 08:45

    Bei za mafuta na dhahabu katika soko la kimataifa kote duniani zimepanda kufuatia kuuliwa shahidi Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran, Meja Jenerali Qassem Soleimani.

  • Kuuawa shahidi Meja Jenerali Qassim Solaimani; mfano wa wazi wa jinai za kivita za Marekani

    Kuuawa shahidi Meja Jenerali Qassim Solaimani; mfano wa wazi wa jinai za kivita za Marekani

    Jan 03, 2020 08:23

    Meja Jenerali Qassim Solaimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na Abu Mahdi al Muhandes, Naibu Mkuu wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq cha al-Hashdul al-Shaabi, wameuawa shahidi usiku wa kuamkia Ijumaa ya leo katika shambulio la roketi lililofyatuliwa na helikopta ya Marekani katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Baghdad mji mkuu wa Iraq.

  • Sisitizo la Russia la kupata funzo Korea Kaskazini kupitia ukiukaji ahadi wa Marekani katika makubaliano ya JCPOA

    Sisitizo la Russia la kupata funzo Korea Kaskazini kupitia ukiukaji ahadi wa Marekani katika makubaliano ya JCPOA

    Jan 03, 2020 02:33

    Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump, Marekani imetanguliza mbele siasa za vitisho sambamba na mazungumzo mkabala na Korea Kaskazini.

  • Biden aongoza katika kura za maoni za kushinda nafasi ya kuongombea uchaguzi wa chama cha Democrat

    Biden aongoza katika kura za maoni za kushinda nafasi ya kuongombea uchaguzi wa chama cha Democrat

    Jan 02, 2020 23:21

    Matokeo mapya ya kura ya maoni ndani ya chama cha Democrat nchini Marekani yanamuonyesha Joe Biden, makamu wa rais wa zamani kuwa anayeongoza washindani wengine wa chama hicho.

  • Waziri wa Ulinzi wa Marekani atoa vitisho kwa Iraq kwamba nchi yake itafanya mashambulizi zaidi dhidi ya taifa hilo

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani atoa vitisho kwa Iraq kwamba nchi yake itafanya mashambulizi zaidi dhidi ya taifa hilo

    Jan 02, 2020 13:52

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani sambamba na kuituhumu Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi kwa kile alichokidai kuwa ni hatua za kichochezi, ametishia kuzidisha mashambulizi nchini Iraq.

  • Iran yaitaka Marekani iachane na sera zake haribifu katika eneo

    Iran yaitaka Marekani iachane na sera zake haribifu katika eneo

    Jan 01, 2020 04:37

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani juu ya matokeo mabaya ya hatua zake haribifu na zisizo na mantiki katika eneo la Asia Magharibi.

  • Marekani kutuma askari 4000 Asia Magharibi baada ya ubalozi wake 'kuvamiwa' Iraq

    Marekani kutuma askari 4000 Asia Magharibi baada ya ubalozi wake 'kuvamiwa' Iraq

    Jan 01, 2020 04:27

    Serikali ya Washington inajiandaa kutuma wanajeshi 4,000 wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, baada ya wananchi waliokuwa na ghadhabu wa Iraq kufanya maandamano mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Baghdad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS