-
Mhimili wa Muqawama; ushindi katika medani ya vita dhidi ya maadui Asia Magharibi
Oct 29, 2019 08:14Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mhimili wa muqawama katika eneo la Asia Magharibi ndiyo sababu ya kushindwa maadui na hivyo kuwafanya waanze kufanya njama dhidi ya harakati ya muqawama na eneo hili la Asia Magharibi.
-
Mshauri wa Spika wa Bunge: Kinara wa genge la kigaidi la DAESH alikuwa kikaragosi cha Marekani
Oct 28, 2019 04:05Mkurugenzi Mkuu wa masuala ya kimataifa wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema, kinara wa genge la kigaidi la DAESH (ISIS) Abubakar al-Baghdadi ni kikaragosi kilichotengezwa na Marekani ambacho muda wa matumizi yake ulikuwa umeshamalizika.
-
Kuangamizwa al Baghdadi na njama za Marekani za kujifanya inapambana na Daesh
Oct 28, 2019 02:29Marekani pamoja na waitifaki wake wa Kiarabu na Kimagharibi ndio waliolianzisha, kulitia nguvu na kuliunga mkono kwa kila namna na hali na mali; genge la kigaidi na la ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa shabaha ya kuiangusha serikali halali ya Syria.
-
Zarif amlaumu Trump kwa uongo wake mpya katika kushadidisha ugaidi wa kiuchumi dhidi ya wananchi wa Iran
Oct 27, 2019 23:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amemkosoa vikali rais wa Marekani, Donald Trump kwa uongo wake mpya katika kushadidisha ugaidi wa kiuchumi dhidi ya wananchi wa kawaida wa Iran.
-
TV na redio za fitna za Saudia na Marekani zapigwa marufuku Iraq
Oct 27, 2019 23:05Serikali ya Iraq imezipiga marufuku televisheni tatu na redio moja za Marekani na Saudi Arabia kwa kueneza fitna na machafuko nchini Iraq.
-
Abubakr al-Baghdadi, kiongozi wa Daesh auawa
Oct 27, 2019 04:08Afisa mmoja wa Pentagon nchini Marekani amesema kuwa Abubakr al-Baghdadi, kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh ameuawa katika operesheni ya siri iliyotekelezwa kaskazini magharibi mwa Syria.
-
Picha za satalaiti zathibitisha; Marekani inafanya magendo ya mafuta ya Syria
Oct 26, 2019 08:53Russia imesema picha za satalaiti zimetoa ithibati kuwa Marekani inafanya magendo ya mafuta ya Syria chini ya ulinzi wa vikosi vyake vya usalama.
-
Nakisi ya bajeti ya Marekani yakaribia dola trilioni moja
Oct 26, 2019 08:32Serikali ya Marekani imemaliza mwaka huu wa kifedha wa 2019 kwa nakisi ya bajeti inayokaribia dola trilioni moja, ikiwa ni kiwango kikubwa zaidi cha nakisi kuwahi kushuhudiwa nchini humo ndani ya miaka saba iliyopita.
-
Raia 3 wa Somalia 'watoweka' kufuatia shambulizi la anga la Marekani
Oct 26, 2019 08:27Kwa akali raia watatu wanahofiwa kuuawa katika shambulizi la anga lililofanywa na ndege isiyo na rubani 'drone' ya Marekani katika eneo la Puntland, kaskazini mashariki mwa Somalia.
-
Mwanafunzi wa Kiislamu Marekani aondolewa mashindanoni kwa kuvaa hijabu
Oct 26, 2019 08:24Mwanafunzi wa kike wa shule moja katika jimbo la Ohio nchini Marekani ameondolewa kwenye mashindano ya mbio za nyika kwa kuvaa vazi la stara la hijabu.