Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Trump aendelea kutoa misimamo ya nyuso mbili kuhusu Wakurdi wa Syria

    Trump aendelea kutoa misimamo ya nyuso mbili kuhusu Wakurdi wa Syria

    Oct 25, 2019 03:40

    Rais wa Marekani kwa mara nyingine tena ametia ulimi puani na kubadilisha msimamo wake wa huko nyuma kuhusu Wakurdi wa Syria. Katika ujumbe wake mpya wa Twitter sasa Trump amewataka Wakurdi hao waende wakajikusanye kwenye maeneo yenye utajiri wa mafuta.

  • Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani nchini Saudia na madai ya kuulinda utawala wa Aal Saud

    Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani nchini Saudia na madai ya kuulinda utawala wa Aal Saud

    Oct 23, 2019 12:37

    Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akidai kuwa, anawahami na kuwalinda waitifaki wake wa Mashariki ya Kati, na katika uwanja huo Saudi Arabia ambayo ni mshirika mkuu wa Washington ina nafasi maalumu katika siasa za kikanda za White House.

  • Takwimu: Watu wanaojiua wazidi kuongezeka nchini Marekani

    Takwimu: Watu wanaojiua wazidi kuongezeka nchini Marekani

    Oct 23, 2019 09:44

    Vyombo vya habari nchini Marekani vinaripoti kuwa, vitendo vya kujiua vimeongezeka mno nchini humo hususan baina ya vijana.

  • Makeke ya Trump mbele ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Makeke ya Trump mbele ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Oct 22, 2019 08:20

    Donald Trump Rais wa Marekani mwenye kubwabwaja sana tangu aingie ikulu ya White House amechukua mkondo wa sera za chuki na uhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na utendaji wake umejikita katika mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Tehran ili kwa njia hiyo aweze kulifanya taifa hili lisalimu amri na kukubali matakwa ya Washington.

  • Jeshi la Iraq: Askari wa Marekani hawana haki ya kuwepo ndani ya nchi hii

    Jeshi la Iraq: Askari wa Marekani hawana haki ya kuwepo ndani ya nchi hii

    Oct 22, 2019 08:16

    Kamandi ya jeshi la Iraq sambamba na kutoa taarifa imesema kuwa, askari wa Marekani ambao wametokea Syria, wanaweza tu kuitumia Iraq kama njia ya kuvuka na kwamba hawana haki ya kuweka kambi nchini humo.

  • Marekani yasema iko tayari kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Uturuki

    Marekani yasema iko tayari kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Uturuki

    Oct 22, 2019 04:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema Rais Donald Trump yuko tayari kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Uturuki iwapo 'italazimu'.

  • Wakati nchi za Ulaya zinapochoshwa na uadui wa Trump na kuamua kujibu vita vya kiuchumi

    Wakati nchi za Ulaya zinapochoshwa na uadui wa Trump na kuamua kujibu vita vya kiuchumi

    Oct 20, 2019 02:56

    Viongozi wa Ulaya wamekasirishwa mno na vita vipya vya kiuchumi vilivyoanzishwa na rais wa Marekani, baada ya Donald Trump kutangaza ushuru mpya kwa bidhaa za nchi za Ulaya na hivyo kuingia katika vita vikubwa mno vya ushuru na waitifaki hao wa miaka mingi wa Marekani.

  • Russia: Ulaya pia imechoshwa na siasa za ubeberu za Marekani

    Russia: Ulaya pia imechoshwa na siasa za ubeberu za Marekani

    Oct 19, 2019 12:03

    Waziri Mkuu wa Russia, Dmitry Medvedev amesema kuwa, nchi za Ulaya pia zimechochwa na siasa za ubeberu za Marekani.

  • CNN: Silaha za Marekani zinaishia mikononi mwa magaidi Yemen

    CNN: Silaha za Marekani zinaishia mikononi mwa magaidi Yemen

    Oct 19, 2019 09:02

    Uchunguzi uliofanywa na kanali ya televisheni ya CNN umebaini kuwa, silaha za Marekani zilizonunuliwa na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika mashambulizi yake dhidi ya Yemen ziko mikononi mwa magenge yenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda na makundi mengine ya Kisalafi yenye misimamo ya kufurutu ada nchini Yemen.

  • Marekani: Mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran yataendelea na yatakuwa makali zaidi

    Marekani: Mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran yataendelea na yatakuwa makali zaidi

    Oct 19, 2019 00:11

    Brian Hook, mkuu wa "Kundi la Uchukuaji Hatua Dhidi ya Iran" katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema, kampeni ya utoaji mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu itaendelea, na mashinikizo hayo yatazidi kuwa makali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS