Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Syria yalaani doria ya Marekani na Uturuki katika ardhi yake, yasema ni uvamizi

    Syria yalaani doria ya Marekani na Uturuki katika ardhi yake, yasema ni uvamizi

    Sep 08, 2019 20:02

    Serikali ya Syria imelaani hatua ya majeshi ya Marekani na Uturuki ya kupiga doria ya pamoja katika eneo liliilopewa jina la "ukanda wa amani" huko mashariki mwa Furati kaskazini mwa Syria na kusema ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na mamlaka ya kujitawa ya Syriia.

  • Sisitizo la Corbyn la kukabiliana na muungano wa Netanyahu na Trump dhidi ya JCPOA

    Sisitizo la Corbyn la kukabiliana na muungano wa Netanyahu na Trump dhidi ya JCPOA

    Sep 07, 2019 01:50

    Tangu yalipofikiwa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mwaka 2015, Marekani na utawala wa Kizayuni zimekuwa zikisisitiza kila mara kuwa zinayapinga makubaliano hayo na kutaka yavunjwe. Na katika hatua iliyolenga kufikia lengo hilo, mwezi Mei 2018, Rais Donald Trump wa Marekani alitangza kujitoa nchi yake kwenye makubaliano hayo na kuanza kutekeleza vikwazo vikali ambavyo havijawahi kushuhudiwa dhidi ya Iran.

  • Hatua mpya za Marekani dhidi ya JCPOA; kupinga mpango wa Ufaransa na kutangaza vikwazo vipya dhidi ya Iran

    Hatua mpya za Marekani dhidi ya JCPOA; kupinga mpango wa Ufaransa na kutangaza vikwazo vipya dhidi ya Iran

    Sep 05, 2019 21:55

    Rais Donald Trump wa Marekani alisikika mara kadha wa kadha akiyakosoa vikali makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na hatimaye mnamo tarehe 8 Mei, 2018 akatangaza rasmi kujitoa nchi yake katika makubaliano hayo. Kilichofuata baada ya hapo, ilikuwa ni kutekelezwa na serikali ya Trump katika awamu mbili tofauti vikwazo vikali dhidi ya Iran sambamba na kupinga mpango wowote wa kuyalinda makubaliano hayo ya nyuklia.

  • Mousavi: Matamshi ya uhasama hayafiki popote

    Mousavi: Matamshi ya uhasama hayafiki popote

    Sep 05, 2019 02:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa matamshi ya uhasama ya Brian Hook Mjumbe Maalumu wa Marekani katika masuala ya Iran hayatafika popote.

  • Juhudi mpya za Kongresi za kutaka kuzuia himaya ya Trump kwa Saudia na washirika wake, Yemen

    Juhudi mpya za Kongresi za kutaka kuzuia himaya ya Trump kwa Saudia na washirika wake, Yemen

    Sep 04, 2019 00:00

    Marekani imekuwa na nafasi kubwa sana katika vita na mauaji yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia na washirika wake huko Yemen kutokana na misaada ya himaya yake ya kilojistiki, kipelelezi na zana za kivita kwa muungano huo. Suala hilo sambamba na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na utawala wa kifalme wa Saudia, vimezidisha malalamiko na upinzani dhidi ya misaada na ushirikiano wa kijeshi wa Marekani na Saudia na washiriki wake katika vita vya Yemen.

  • Kushadidi makabiliano baina ya Boris Johnson na wapinzani wake kuhusiana na Brexit

    Kushadidi makabiliano baina ya Boris Johnson na wapinzani wake kuhusiana na Brexit

    Sep 03, 2019 22:08

    Kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya (Brexit) limegeuka na kuwa suala muhimu hivi sasa katika siasa za ndani na za nje za London.

  • Marekani yakosolewa kwa kukusudia kuangamiza mfumo wa usalama duniani

    Marekani yakosolewa kwa kukusudia kuangamiza mfumo wa usalama duniani

    Sep 03, 2019 02:26

    Rais Donald Trump wa Marekani amevuruga na kuhatarisha sana usalama wa kimataifa kwa kuendeleza sera zake zenye utata za kukiuka kanuni na mikataba ya kimatafa, hasa ya kujiondoa katika mikataba ya kudhibiti silaha hatari duniani.

  • Marekani yatuma ndege za kiistratijia za kivita nchini Uingereza huku UK ikipigania kujitoa EU

    Marekani yatuma ndege za kiistratijia za kivita nchini Uingereza huku UK ikipigania kujitoa EU

    Sep 02, 2019 03:11

    Afisa mmoja wa jeshi la anga la Marekani amesema kuwa Washington imetuma ndege zake za kiistratijia za B-2 nchini Uingereza kama njia ya kuonesha kuwa iko pamoja na serikali ya nchi hiyo.

  • Marekani yajaribu kufanya tena mazungumzo na Korea ya Kaskazini

    Marekani yajaribu kufanya tena mazungumzo na Korea ya Kaskazini

    Sep 01, 2019 23:36

    Viongozi wa Marekani wanajaribu kila linalowezekana kufanya tena mazungumzo na Korea ya Kaskazini kufuatia tahadhari iliyotolewa na serikali ya Pyongyang.

  • Sisitizo la Rais Erdogan wa Uturuki la kununua ndege za kivita za Russia

    Sisitizo la Rais Erdogan wa Uturuki la kununua ndege za kivita za Russia

    Sep 01, 2019 23:35

    Kufuatia hatua ya Uturuki ya kununua mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia, wakuu wa nchi hiyo sasa wameazimia kununa ndege za kisasa za kivita za Russia za Sukhoi-35 na Sukhoi-57.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS