Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Iran  yajibu vitisho vya Marekani: Tutauza mafuta kwa yeyote na kwa washitiri wote

    Iran yajibu vitisho vya Marekani: Tutauza mafuta kwa yeyote na kwa washitiri wote

    Sep 01, 2019 03:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani inatumia "uharamia na vitisho" kuizuia Iran isiuze mafuta yake, lakini Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuuza mafuta yake kwa yeyote na kwa wanunuzi wote.

  • Umaarufu wa Trump wazidi kupungua kote Marekani

    Umaarufu wa Trump wazidi kupungua kote Marekani

    Aug 31, 2019 11:38

    Umaarufu wa Rais Donald Trump wa Marekani unazidi kupungua kwa kasi nchini humo huku uchaguzi mkuu wa 2020 ukikaribia. Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni uliofanyika hivi karibuni, umaarufu wa Trump umepungua miongoni mwa wanawake wa Marekani.

  • Sisitizo la Trump la kuendelea kuwepo askari wa Marekani nchini Afghanistan

    Sisitizo la Trump la kuendelea kuwepo askari wa Marekani nchini Afghanistan

    Aug 31, 2019 02:08

    Miaka 18 iliyopita Marekani iliishambulia na kuivamia kijeshi Afghanistan na kisha ikaikalia kwa mabavu nchi hiyo kwa kisingizio cha kulipiza kisasi cha mashambulio ya Septemba 11, mwaka 2001 na pia kupambana na ugaidi nchini humo. Wakati rais wa sasa wa Marekani Donald Trump alipokuwa kwenye kampeni za uchaguzi wa urais mwaka 2016 na baada ya kuingia Ikulu ya White House aliahidi kwamba atawaondoa askari wa nchi hiyo walioko Syria na Afghanistan, hata hivyo hadi sasa amehalifu ahadi yake hiyo.

  • Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani ni kinara wa tawala za kigaidi duniani

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani ni kinara wa tawala za kigaidi duniani

    Aug 30, 2019 07:29

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa, Marekani ni kinara wa tawala za kigaidi kote duniani na kwamba, baada ya maafisa wa serikali ya Washington kukiri kwamba nchi hiyo ndiyo iliyoanzisha makundi ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati, ni aibu kubwa kwa Marekani kudai kuwa inapambana na ugaidi.

  • Zarif:  Lazima Marekani isitishe ugaidi wa kiuchumi na irejee JCPOA, kabla ya mazungumzo

    Zarif: Lazima Marekani isitishe ugaidi wa kiuchumi na irejee JCPOA, kabla ya mazungumzo

    Aug 30, 2019 03:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Mohammad Javad Zarif amesema Marekani lazime irejee katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na isitishe ugaidi wake wa kiuchumi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kabla ya kufanyika mazungumzo.

  • Kudumu kwa JCPOA kunategemea hatua za kivitendo za Ulaya, si kufanya mazungumzo na Marekani

    Kudumu kwa JCPOA kunategemea hatua za kivitendo za Ulaya, si kufanya mazungumzo na Marekani

    Aug 29, 2019 07:43

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitaruhusu Marekani iyatumie vibaya kwa manufaa yake mazungumzo ya Iran na nchi za Ulaya.

  • Kukiri Rais wa Ufaransa juu ya kufikia tamati ubeberu wa Magharibi duniani

    Kukiri Rais wa Ufaransa juu ya kufikia tamati ubeberu wa Magharibi duniani

    Aug 29, 2019 00:21

    Kwa karne kadhaa Wamagharibi wametekeleza ubeberu katika uga wa kimataifa iwe ni katika kipindi cha ukoloni au katika zama za ubeberu; daima walifanya unyonyaji dhidi ya wananchi na mataifa mengine ya dunia.

  • Seneta wa Marekani akiri, siasa za nje za Iran ni kiboko yao..

    Seneta wa Marekani akiri, siasa za nje za Iran ni kiboko yao..

    Aug 26, 2019 03:30

    Seneta wa chama cha Republican cha Marekani amekiri kuwa, kuhudhuria Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika kikao cha viongozi wa G7 nchini Ufaransa bila ya kushauriwa Marekani ni ishara ya uwezo na nguvu ya siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu.

  • Maafisa 79 wa Jeshi la Anga la Marekani wamejiua

    Maafisa 79 wa Jeshi la Anga la Marekani wamejiua

    Aug 25, 2019 21:09

    Ripoti mpya imebaini kuwa, maafisa 79 wa Jeshi la Anga la Marekani wamejiua tokea Januari hadi Julai 2019.

  • Mwito wa Uingereza wa kukomeshwa ukiritimba wa sarafu ya dola

    Mwito wa Uingereza wa kukomeshwa ukiritimba wa sarafu ya dola

    Aug 25, 2019 21:08

    Msimamo wa Marekani wa kutumia vibaya sarafu ya dola katika masuala ya biashara na ya fedha kimataifa kwa lengo la kufanikishia malengo yake haramu, umewakasirisha hata waitifaki wa karibu mno wa Washington kama vile Uingereza ambayo sasa imetoa mwito wa kukomeshwa ukiritimba wa matumizi ya sarafu ya dola duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS