Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Indhari kuhusu hatari kubwa ya ubaguzi wa rangi kwa usalama wa Marekani

    Indhari kuhusu hatari kubwa ya ubaguzi wa rangi kwa usalama wa Marekani

    Aug 14, 2019 21:06

    Kuingia madarakani Donald Trump akiwa rais wa 45 wa Marekani kumeambatana na kuzuka wimbi jipya la ubaguzi wa rangi ndani ya nchi hiyo.

  • Julie Pace: Trump ana historia ndefu ya kueneza uongo

    Julie Pace: Trump ana historia ndefu ya kueneza uongo

    Aug 14, 2019 06:40

    Mkuu wa ofisi ya shirika la habari la Associated Press mjini Washington amesema kuwa Rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump ana historia ndefe ya kueneza uongo na kutoa matamshi yasiyo sahihi wala yasiyo na msingi.

  •  Wafaransa wataka uchunguzi ufanyike kadhia ya kujiuwa bilionea wa Kimarekani

    Wafaransa wataka uchunguzi ufanyike kadhia ya kujiuwa bilionea wa Kimarekani

    Aug 13, 2019 07:30

    Mawaziri kadhaa wa Ufaransa wametaka kuanza uchunguzi nchini humo kuhusu bilionea wa Kimarekani ambaye ametajwa kuwa alikuwa akijihusisha na magendo ya kuwauza wasichana na mabinti kwa ajili ya biashara ya ngono; bilionea ambaye alikuwa akimfadhili kifedha Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Uchochezi wa mitandao ya kijamii katika nchi zinazopinga sera za Marekani

    Uchochezi wa mitandao ya kijamii katika nchi zinazopinga sera za Marekani

    Aug 13, 2019 03:42

    Katika kipindi chote cha utawala wa Rais Vladmir Putin nchini Russia Wamagharibi wamekuwa wakifanya kila wawezalo kuzusha ghasia na kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo. Nchi za Magharibi hususan Marekani, zimekuwa zikitumia zaidi propaganda chafu na vita vya kinafsi dhidi ya Russia na nchi nyingine zisizokubaliana na sera zao za kibeberu.

  • Jahangiri: Marekani inalenga kuvuruga usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Jahangiri: Marekani inalenga kuvuruga usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Aug 13, 2019 02:43

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran Eshaq Jahangiri amesema Marekani inalenga kuvuruga usalama wa Ghuba ya Uajemi na Lango Bahari la kistratijia la Hormuz na kutumia ukosefu wa usalama kama kisingizo cha kujiimarisha kijeshi katika eneo.

  • Los Angeles Time: Saudia haina uwezo wa kushinda vita nchini Yemen

    Los Angeles Time: Saudia haina uwezo wa kushinda vita nchini Yemen

    Aug 12, 2019 22:03

    Gazeti la Los Angeles Time limekosoa uvamizi wa kijeshi uliofanywa na Saudi Arabia nchini Yemen na kueleza kwamba haitawezekana kwa utawala wa Aal Saud kushinda vita hivyo.

  • Iran: Ni kupoteza wakati kwa Washington kusubiri kufanya mazungumzo na Iran

    Iran: Ni kupoteza wakati kwa Washington kusubiri kufanya mazungumzo na Iran

    Aug 11, 2019 22:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa ni bure na upuuuzi kwa Washington kuwa na matarajio kwamba, viongozi wa Marekani watafanya mazungumzo ya simu na wa Iran.

  • Uingereza na Marekani zaitaka Tanzania izingatie

    Uingereza na Marekani zaitaka Tanzania izingatie "utaratibu wa haki" katika kesi ya Kabendera

    Aug 09, 2019 20:50

    Serikali za Uingereza na Marekani zimeitaka Tanzania ihakikishe mchakato na utaratibu wa haki wa sheria unafuatwa kuhusiana na mwandishi wa habari aliyekamatwa na kushtakiwa kwa makosa ambayo, wakili wake na makundi ya kutetea haki za binadamu yanasema, yametokana na sababu za kisiasa.

  • Majeruhi wanane wa shambulio la ufyatuaji risasi la El Paso, wakataa kuonana na Trump

    Majeruhi wanane wa shambulio la ufyatuaji risasi la El Paso, wakataa kuonana na Trump

    Aug 09, 2019 20:49

    Vyombo vya habari nchini Marekani vimeripoti kuwa, baadhi ya majeruhi wa shambulio la ufyatuaji risasi lililotokea hivi karibuni katika mji wa El Paso jimboni Texas, wamekataa kuonana na rais wa nchi hiyo Donald Trump.

  • Serikali ya Venezuela yasimamisha mazungumzo na wapinzani kulalamikia vikwazo vya Marekani

    Serikali ya Venezuela yasimamisha mazungumzo na wapinzani kulalamikia vikwazo vya Marekani

    Aug 09, 2019 20:47

    Marekani ikiwa ni nchi inayoingilia wazi wazi masuala ya ndani ya Venezuela imefanya juhudi nyingi za kuipigisha magoti serikali ya mrengo wa kushoto ya nchi hiyo na pia kujaribu kumng'oa madarakani Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo lakini bila mafanikio yoyote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS