-
Trump 'alilia' Tuzo ya Nobel, asema Obama hakustahiki kupewa
Sep 24, 2019 04:18Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena amedai kuwa ana ustahiki wa kupewa Tuzo ya Amani ya Nobel.
-
Kukiri Marekani kwamba vikwazo vyake dhidi ya Iran vimefika kileleni na vimefeli
Sep 23, 2019 23:18Baada ya kujitoa bila sababu katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia maarufu kwa jina la JCPOA na kuirejeshea Iran vikwazo vyote vilivyokuwa vimeondolewa baada ya mapatano hayo, bali kuongeza vikwazo vikubwa zaidi ambavyo havijawahi kutokea mfano wake, leo hii serikali ya Donald Trump ya Marekani imelazimika kukiri kuwa vikwazo vyake hivyo vimeshindwa kuzaa matunda yaliyotarajiwa.
-
Kumalizika kusikoeleweka kwa mazungumzo ya biashara kati ya Marekani na China
Sep 22, 2019 23:10Siasa za kimaslahi na za upendeleo wa kiuchumi zinazotekelezwa na Rais Donald Trump wa Marekani ambazo zinalenga kushadidisha mgogoro wa ushuru wa forodha, zimeibua vita vikubwa vya kibiashara kati ya nchi hiyo na China.
-
Rais Rouhani: Kuweko mifarakano katika eneo, ndilo takwa la Marekani na Uzayuni
Sep 22, 2019 09:27Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuweko mifarakano baina ya mataifa ya Mashariki ya Kati ndilo takwa la Marekani na Uzayuni.
-
Rex Tillerson akiri ujasusi wa Israel dhidi ya Marekani
Sep 22, 2019 08:43Katika matamshi ya ufichuaji siri, aliyoyatoa katika Chuo Kikuu cha Harvard, Rex W. Tillerson, Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Marekani ameutuhumu utawala haramu wa Kizayuni kuwa umeipotosha serikali ya Marekani, ikiwa ni katika juhudi za kufikia malengo yake.
-
Radiamali ya Sayyid Hassan Nasrullah kwa uchaguzi wa Israel na mashambulio dhidi ya Aramco
Sep 21, 2019 22:59Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah alasiri juzi Ijumaa Septemba 20 alitoa radiamali yake kwa uchaguzi wa bunge wa Israel na mashambulizi dhidi ya vituo vya mafuta vya Aramco vya Saudia.
-
Trump azionya nchi za Ulaya, azitaka ziwachukue raia wake waliojiunga na ISIS
Sep 21, 2019 07:45Rais Donald Trump wa Marekani amezionya nchi za Ulaya akizitaka zihakikishe zimewachukua raia wao waliojiunga na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) na wanaoendelea kushikiliwa nchini Iraq na Syria.
-
Iran kuendelea kuimarisha makombora yake ya balistiki licha ya kelele za Marekani
Sep 21, 2019 03:12Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea kuimarisha mfumo wake wa makombora ya balistiki licha ya kelele za Marekani.
-
Marekani kutuma wanajeshi zaidi huko Saudia na Imarati
Sep 21, 2019 02:58Marekani inajiandaa kutuma askari zaidi nchini Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, kuimarisha kile kilichotajwa kama mfumo wa ulinzi wa anga wa Riyadh.
-
Maseneta wa Marekani wataka kusimamishwa ushirikiano wa nyuklia wa nchi hiyo na Saudi Arabia
Sep 20, 2019 23:59Ikiwa ni katika kudumisha uungaji mkono wake kwa utawala wa Saudi Arabia na kinyume na sheria za Marekani zinazobainisha wazi masharti na misingi ya ushirikiano wa nyuklia na nchi za kigeni, serikali ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo imekuwa ikifanya mazungumzo na watawala wa Saudia kwa ajili ya kujenga vituo vya nyuklia katika nchi hiyo ya Kiarabu.