Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Radiamali ya Marekani kuhusiana na kufichuliwa njama ya uingiliaji wake Hong Kong

    Radiamali ya Marekani kuhusiana na kufichuliwa njama ya uingiliaji wake Hong Kong

    Aug 09, 2019 06:21

    Marekani imeikosoa China kwa kuonyesha picha za mwanadiplomasia wake aliyeonyeshwa akikutana kwa siri na viongozi wa harakati inayotajwa kuwa ya wanachuo wanaotetea demokrasia huko Hong Kong.

  • Taathira hasi za siasa za serikali ya Marekani dhidi ya Iran kwa uhusiano kati ya Washington na waitifaki wake wa Ulaya

    Taathira hasi za siasa za serikali ya Marekani dhidi ya Iran kwa uhusiano kati ya Washington na waitifaki wake wa Ulaya

    Aug 08, 2019 22:15

    Mkuu wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) amesisitiza kuwa siasa zinazotekelezwa na serikali ya nchi hiyo dhidi ya Iran zimekuwa na taathira hasi kwa uhusiano kati ya Washington na waitifaki wake wa Ulaya.

  • Amnesty International yatoa tahadhari ya usalama kwa wageni wanaosafiri kwenda Marekani

    Amnesty International yatoa tahadhari ya usalama kwa wageni wanaosafiri kwenda Marekani

    Aug 08, 2019 09:24

    Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International limetoa tahadhari ya usalama kwa raia wa nchi zote duniani wanaotaka kufanya safari nchini Marekani kufuatia matukio ya mauaji ya ufyatuaji risasi yaliyotokea katika majimbo ya Texas na Ohio.

  • Syria yapinga makubaliano ya Marekani na Uturuki kuhusu eneo la kaskazini mwa nchi hiyo

    Syria yapinga makubaliano ya Marekani na Uturuki kuhusu eneo la kaskazini mwa nchi hiyo

    Aug 08, 2019 07:29

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetoa taarifa maalumu na kusisitiza kuwa, inapinga makubaliano yaliyofikiwa baina ya Marekani na Uturuki ya kutenga eneo ati litakaloitwa 'eneo la usalama' kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Pentagon yakadhibisha madai ya Trump, yasema Daesh bado inaendesha shughuli zake Iraq na Syria

    Pentagon yakadhibisha madai ya Trump, yasema Daesh bado inaendesha shughuli zake Iraq na Syria

    Aug 07, 2019 23:31

    Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 19 Disemba 2018 alitangaza kuwa, askari wa Marekani wataondoka nchini Syria. Trump alidai kuwa, sababu ya uamuzi huo ni kushindwa kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria.

  • UN yatilia mkazo udharura wa kujiepusha na matamshi yanayochochea chuki duniani

    UN yatilia mkazo udharura wa kujiepusha na matamshi yanayochochea chuki duniani

    Aug 07, 2019 02:36

    Msemaji wa Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amekemea mauaji ya ufatuaji risasi wa hivi karibuni nchini Marekani na kuwataka viongozi wa nchi mbalimbali kujiepusha kutoa matamshi yanayochochea chuki dhidi ya jamii za waliowachache.

  • Tahadhari ya kuenea ugaidi wa ndani nchini Marekani

    Tahadhari ya kuenea ugaidi wa ndani nchini Marekani

    Aug 05, 2019 22:30

    Hata kama kufuatia mashambulio ya Septemba 11, 2001 Marekani ilijitangaza kuwa mbeba bendera wa mapambano dhidi ya ugaidi ulimwenguni na kufanya uvamizi wa kijeshi katika nchi kadhaa kwa kisingizio hicho, lakini kuongezeka kwa kesi za mashambulio ya silaha nchini humo na hasa katika siku chache zilizopita, kumepelekea kutolewa tahadhari kali juu ya kuongezeka ugaidi wa ndani katika nchi hiyo ya Magharibi.

  • Russia yaituhumu Marekani na nchi za Ulaya kuwa zimechochea machafuko Moscow

    Russia yaituhumu Marekani na nchi za Ulaya kuwa zimechochea machafuko Moscow

    Aug 05, 2019 07:01

    Msemaji wa Wizara ya Mambo y Nje ya Russia amesema kuwa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya zimehusika katika machafuko yaliyotokea hivi karibuni mjini Moscow.

  • Serikali ya Tanzania yalaani matukio ya mauaji nchini Marekani

    Serikali ya Tanzania yalaani matukio ya mauaji nchini Marekani

    Aug 05, 2019 03:51

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imelaani vikali matukio mawili ya ufyatuaji risasi na mauaji yaliyotokea jana kwa nyakati tofauti nchini Marekani na kusababisha makumi ya watu kuuawa na kujeruhiwa.

  • Baada ya Wamarekani 20 kuuliwa Texas, wengine 10 wauawa Ohio katika ufyatuaji mwengine wa risasi

    Baada ya Wamarekani 20 kuuliwa Texas, wengine 10 wauawa Ohio katika ufyatuaji mwengine wa risasi

    Aug 04, 2019 09:22

    Watu wasiopungua 10 wameuawatisa na wengine 24 wamejeruhiwa katika shambulio la ufyatuaji risasi lililotokea katika mji wa Dayton, jimboni Ohio nchini Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS