-
Radiamali ya Marekani kuhusiana na kufichuliwa njama ya uingiliaji wake Hong Kong
Aug 09, 2019 06:21Marekani imeikosoa China kwa kuonyesha picha za mwanadiplomasia wake aliyeonyeshwa akikutana kwa siri na viongozi wa harakati inayotajwa kuwa ya wanachuo wanaotetea demokrasia huko Hong Kong.
-
Taathira hasi za siasa za serikali ya Marekani dhidi ya Iran kwa uhusiano kati ya Washington na waitifaki wake wa Ulaya
Aug 08, 2019 22:15Mkuu wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) amesisitiza kuwa siasa zinazotekelezwa na serikali ya nchi hiyo dhidi ya Iran zimekuwa na taathira hasi kwa uhusiano kati ya Washington na waitifaki wake wa Ulaya.
-
Amnesty International yatoa tahadhari ya usalama kwa wageni wanaosafiri kwenda Marekani
Aug 08, 2019 09:24Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International limetoa tahadhari ya usalama kwa raia wa nchi zote duniani wanaotaka kufanya safari nchini Marekani kufuatia matukio ya mauaji ya ufyatuaji risasi yaliyotokea katika majimbo ya Texas na Ohio.
-
Syria yapinga makubaliano ya Marekani na Uturuki kuhusu eneo la kaskazini mwa nchi hiyo
Aug 08, 2019 07:29Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetoa taarifa maalumu na kusisitiza kuwa, inapinga makubaliano yaliyofikiwa baina ya Marekani na Uturuki ya kutenga eneo ati litakaloitwa 'eneo la usalama' kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Pentagon yakadhibisha madai ya Trump, yasema Daesh bado inaendesha shughuli zake Iraq na Syria
Aug 07, 2019 23:31Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 19 Disemba 2018 alitangaza kuwa, askari wa Marekani wataondoka nchini Syria. Trump alidai kuwa, sababu ya uamuzi huo ni kushindwa kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria.
-
UN yatilia mkazo udharura wa kujiepusha na matamshi yanayochochea chuki duniani
Aug 07, 2019 02:36Msemaji wa Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amekemea mauaji ya ufatuaji risasi wa hivi karibuni nchini Marekani na kuwataka viongozi wa nchi mbalimbali kujiepusha kutoa matamshi yanayochochea chuki dhidi ya jamii za waliowachache.
-
Tahadhari ya kuenea ugaidi wa ndani nchini Marekani
Aug 05, 2019 22:30Hata kama kufuatia mashambulio ya Septemba 11, 2001 Marekani ilijitangaza kuwa mbeba bendera wa mapambano dhidi ya ugaidi ulimwenguni na kufanya uvamizi wa kijeshi katika nchi kadhaa kwa kisingizio hicho, lakini kuongezeka kwa kesi za mashambulio ya silaha nchini humo na hasa katika siku chache zilizopita, kumepelekea kutolewa tahadhari kali juu ya kuongezeka ugaidi wa ndani katika nchi hiyo ya Magharibi.
-
Russia yaituhumu Marekani na nchi za Ulaya kuwa zimechochea machafuko Moscow
Aug 05, 2019 07:01Msemaji wa Wizara ya Mambo y Nje ya Russia amesema kuwa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya zimehusika katika machafuko yaliyotokea hivi karibuni mjini Moscow.
-
Serikali ya Tanzania yalaani matukio ya mauaji nchini Marekani
Aug 05, 2019 03:51Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imelaani vikali matukio mawili ya ufyatuaji risasi na mauaji yaliyotokea jana kwa nyakati tofauti nchini Marekani na kusababisha makumi ya watu kuuawa na kujeruhiwa.
-
Baada ya Wamarekani 20 kuuliwa Texas, wengine 10 wauawa Ohio katika ufyatuaji mwengine wa risasi
Aug 04, 2019 09:22Watu wasiopungua 10 wameuawatisa na wengine 24 wamejeruhiwa katika shambulio la ufyatuaji risasi lililotokea katika mji wa Dayton, jimboni Ohio nchini Marekani.