• Kundi la Waarabu UN lapinga kufurushwa Wapalestina Gaza

    Kundi la Waarabu UN lapinga kufurushwa Wapalestina Gaza

    Feb 15, 2025 03:44

    Kundi la Waarabu katika Umoja wa Mataifa, pamoja na kundi la mabalozi wa Umoja wa Mataifa, wamepinga vikali mipango yoyote ya "kuwaondoa kwa nguvu" Wapalestina huko Gaza, na kusisitiza kuwa hatua hiyo ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.

  • Mtaalamu wa Zambia: Ushuru wa Trump utawadhuru zaidi Wamarekani

    Mtaalamu wa Zambia: Ushuru wa Trump utawadhuru zaidi Wamarekani

    Feb 14, 2025 23:12

    Mtaalamu mmoja wa masuala ya biashara, ujasiriamali na uwezekaji wa Zambia amesema uamuzi wa serikali ya Marekani wa kutoza ushuru wa juu kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka Canada, Mexico, na China utawadhuru zaidi Wamarekani.

  • Balozi wa UN aionya US kuiweka Ansarullah kwenye orodha ya magaidi

    Balozi wa UN aionya US kuiweka Ansarullah kwenye orodha ya magaidi

    Feb 14, 2025 08:38

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen, Hans Grundberg ameonya kuhusu athari mbaya za Marekani kuitambua Harakati ya Ansarullah ya Yemen kuwa kundi la kigeni la kigaidi, kutokana na mashambulizi ya kundi hilo la Muqawama ya kulipiza kisasi dhidi ya maeneo ya Israel.

  • Mpango wa Trump kwa ajili ya Gaza; njama za kuifuta Palestina

    Mpango wa Trump kwa ajili ya Gaza; njama za kuifuta Palestina

    Feb 12, 2025 03:10

    Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria upinzani mkubwa wa nchi za eneo na kimataifa dhidi ya mpango haramu wa Rais wa Marekani kuhusu Gaza na kueleza kwamba, mpango huo wa kuwahamisha kwa nguvu watu wa Palestina kutoka Gaza kwa mujibu wa mpango wa kikoloni wa "kuifuta Palestina".

  • Jibu la Russia kwa vitisho vya Trump dhidi ya BRICS

    Jibu la Russia kwa vitisho vya Trump dhidi ya BRICS

    Feb 10, 2025 23:14

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetoa taarifa kuhusiana na tishio la Rais Donald Trump wa Marekani la kutoza ushuru wa asilimia 100 kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka nchi za BRICS iwapo dola itafutwa katika mabadilishano ya kibiashara ya nchi hizo, na kusisitiza kuwa ushirikiano wa nchi wanachama wa BRICS unalenga kuimarisha uwezo wa kijamii, kiuchumi na kibinadamu wa nchi hizo.

  • Rais Pezeshkian: Iran itazima njama zote za maadui

    Rais Pezeshkian: Iran itazima njama zote za maadui

    Feb 10, 2025 07:57

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian anasema Jamhuri ya Kiislamu itafanya juu chini kuzima njama zote zinazopangwa na maadui dhidi ya taifa hili.

  • Trump: Canada 'haifai' kama nchi bila misaada ya Marekani

    Trump: Canada 'haifai' kama nchi bila misaada ya Marekani

    Feb 10, 2025 07:54

    Rais Donald Trump wa Marekani ameendelea kutoa kauli za dharau na kejeli dhidi ya nchi mbali mbali duniani, mara hii akiishambulia tena moja ya waitifaki wake, akisema Canada "haifai" kama nchi bila msaada wa kiuchumi na ulinzi wa kijeshi wa Marekani.

  • Ubadhirifu mkubwa Marekani, kila mwaka Idara ya Hazina inalipa dola bilioni 100 kwa watu hewa

    Ubadhirifu mkubwa Marekani, kila mwaka Idara ya Hazina inalipa dola bilioni 100 kwa watu hewa

    Feb 09, 2025 07:10

    Elon Musk, Mkuu wa Ofisi ya Ufanisi wa Serikali ya Marekani (DOGE) amesema kuwa, Idara ya Hazina ya nchi hiyo imegubikwa na ubadhirifu mkubwa na kwamba kila mwaka inalipa watu hewa dola bilioni 100 za Kimarekani.

  • Waafrika Kusini 'weupe' wakataa 'ofa' ya kuwa wakimbizi Marekani

    Waafrika Kusini 'weupe' wakataa 'ofa' ya kuwa wakimbizi Marekani

    Feb 09, 2025 03:42

    Raia wa Afrika Kusini wenye asili ya Uholanzi na nchi nyingine za Ulaya wamepuuzilia mbali mwito wa Rais Donald Trump, wa kwenda kuwa wakimbizi nchini Marekani, kwa madai ya kubaguliwa nchini Afrika Kusini.

  • Joseph Aoun: Kuondoka jeshi la Israel ni ufunguo wa kurejea amani Lebanon

    Joseph Aoun: Kuondoka jeshi la Israel ni ufunguo wa kurejea amani Lebanon

    Feb 08, 2025 04:33

    Rais wa Lebanon amesisitiza katika mazungumzo na Mjumbe wa Marekani kuwa amani itarejea kusini mwa Lebanon iwapo jeshi la utawala wa Kizayuni litaondoka katika eneo hilo.