Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • White House: Trump angali anataka Canada iwe jimbo la 51 la Marekani

    White House: Trump angali anataka Canada iwe jimbo la 51 la Marekani

    Apr 16, 2025 23:00

    Msemaji wa Ikulu ya White House ametangaza kuwa Rais wa Marekani angali ana nia ya kuiunganisha Canada na ardhi ya nchi hiyo na kuigeuza kuwa jimbo la 51 la Marekani.

  • China: Hatuogopi kupigana vita vya kibiashara na Marekani

    China: Hatuogopi kupigana vita vya kibiashara na Marekani

    Apr 16, 2025 22:59

    China imeonya kwamba "haiogopi" kupigana vita vya kibiashara na Marekani, ikikariri wito wa mazungumzo baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump kusema kwamba Beijing lazima ichukue hatua ya kwenda kwenye meza ya mazungumzo.

  • Kiwewe cha Trump kwa hatua za China: Juhudi za Beijing za kuunda muungano dhidi ya Washington

    Kiwewe cha Trump kwa hatua za China: Juhudi za Beijing za kuunda muungano dhidi ya Washington

    Apr 16, 2025 22:58

    Rais wa Marekani Donald Trump ameshindwa kuficha kiwewe chake kwa kusema kuwa ziara ya Rais Xi Jinping wa China nchini Vietnam inalenga kuiharibia jina Marekani, huku kukiwa na ongezeko la vita vya ushuru kati ya Washington na Beijing.

  • CHADEMA: Haki ya kikatiba haiwezi kuondolewa na kanuni za Tume ya Uchaguzi ya Tanzania

    CHADEMA: Haki ya kikatiba haiwezi kuondolewa na kanuni za Tume ya Uchaguzi ya Tanzania

    Apr 16, 2025 08:01

    Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA kimesema kutenguliwa kwake katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu ni kinyume cha katiba. Kauli hiyo imetolewa siku chache baada ya Mwenyekiti Taifa wa chama hicho kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini.

  • White House: Trump angali anataka Canada iwe jimbo la 51 la Marekani

    White House: Trump angali anataka Canada iwe jimbo la 51 la Marekani

    Apr 16, 2025 08:00

    Msemaji wa Ikulu ya White House ametangaza kuwa Rais wa Marekani angali ana nia ya kuiunganisha Canada na ardhi ya nchi hiyo na kuigeuza kuwa jimbo la 51 la Marekani.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudia wajadili mazungumzo ya Oman

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudia wajadili mazungumzo ya Oman

    Apr 15, 2025 04:36

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudi Arabia wamefanya mazungumzo ya simu na kujadiliana kuhusu uhusiano wa pande mbili na maendeleo ya kikanda na kimataifa.

  • Gazeti la US Today: Uchumi wa Marekani umekwama au unakaribia kwenye mdororo

    Gazeti la US Today: Uchumi wa Marekani umekwama au unakaribia kwenye mdororo

    Apr 14, 2025 23:44

    Gazeti la US Today la Marekani limeandika kuwa utabiri unaonyesha kuwa ukuaji uchumi wa Marekani utakabiliwa na mkwamo au unakaribia kudorora licha ya kusimamishwa kwa ushuru wa Trump.

  • Iran: Mazungumzo ya Oman ni chanya na ya matumaini; kuendelea wiki ijayo

    Iran: Mazungumzo ya Oman ni chanya na ya matumaini; kuendelea wiki ijayo

    Apr 12, 2025 23:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi ameitaja duru ya kwanza ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani kuwa "chanya na yenye kuleta matumaini."

  • CNN: Uvumilivu wa Wamarekani kwa Tel Aviv unaisha

    CNN: Uvumilivu wa Wamarekani kwa Tel Aviv unaisha

    Apr 12, 2025 22:50

    Chanzo makini kimetangaza kuwa, subira ya Wamarekani kwa vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel inakwisha.

  • Iran: Tunataka makubaliano ya haki, heshima na usawa; Israel yaingiwa na kiwewe

    Iran: Tunataka makubaliano ya haki, heshima na usawa; Israel yaingiwa na kiwewe

    Apr 12, 2025 08:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesema Jamhuri ya Kiislamu inataka makubaliano ya haki na ya heshima, na yaliyojadiliwa kwenye mazingira ya usawa. Sayyid Araghchi amesema hayo kabla ya kuanza mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na wawakilishi wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS