Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Baqaei: Marekani imezilenga taasisi za kimataifa

    Baqaei: Marekani imezilenga taasisi za kimataifa

    Feb 08, 2025 04:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Uraibu wa Marekani wa kutumia sheria nje ya mipaka yake, sasa umezilenga taasisi za kimataifa.

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Kufanya mazungumzo na Marekani si jambo la werevu, mantiki, wala heshima

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Kufanya mazungumzo na Marekani si jambo la werevu, mantiki, wala heshima

    Feb 07, 2025 07:17

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika mkutano na makamanda na wafanyakazi wa Kikosi cha Anga na cha Ulinzi wa Anga vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwamba kufanya mazungumzo na Marekani si jambo la werevu, mantiki, wala heshima.

  • Kamanda Salami wa IRGC : Hatutasalimu amri mbele ya tishio lolote

    Kamanda Salami wa IRGC : Hatutasalimu amri mbele ya tishio lolote

    Feb 07, 2025 04:26

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC amesema nguvu za Iran na historia yake pana inaifanya isiweze kutetereshwa na mashinikizo ya nje.

  • Afrika Kusini: Hatutakubali kuburuzwa na Marekani

    Afrika Kusini: Hatutakubali kuburuzwa na Marekani

    Feb 07, 2025 04:25

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesisitiza kuwa, taifa hilo halitakubali kuburuzwa na kushinikizwa na maajinabi.

  • Trump aiwekea vikwazo ICC kwa kuchunguza jinai za Israel, Marekani

    Trump aiwekea vikwazo ICC kwa kuchunguza jinai za Israel, Marekani

    Feb 07, 2025 04:23

    Rais wa Marekani, Donald Trump ametia saini dikrii (amri ya utendaji) ya kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kwa kile alichokiita uchunguzi usio na msingi dhidi ya Marekani na muitifaki wake wa karibu, Israel, kuhusu mauaji ya kimbari huko Gaza.

  • Donald Trump na kuanza tena sera iliyofeli ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran

    Donald Trump na kuanza tena sera iliyofeli ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran

    Feb 06, 2025 08:57

    Jumanne ya Februari 4, 2025, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini hati ya utendaji ili kuendeleza sera za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran na kudai kwamba, "Yuko tayari kuzungumza na rais wa Iran."

  • Utawala wa Israel wajitoa katika Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Utawala wa Israel wajitoa katika Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Feb 06, 2025 07:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa utawala huo unajitoa katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa.

  • Iran yamhutubu Trump: Mashinikizo mengine ya juu, kushindwa tena US

    Iran yamhutubu Trump: Mashinikizo mengine ya juu, kushindwa tena US

    Feb 05, 2025 09:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesisitiza kuwa, duru mpya ya kutekeleza sera ya "mashinikizo ya juu" ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu itapelekea kushindwa tena Washington.

  • Lavrov: Sera ya 'Marekani Kwanza' inatoa mwangwi wa kaulimbiu ya Hitler ya 'Ujerumani iko juu ya wote'

    Lavrov: Sera ya 'Marekani Kwanza' inatoa mwangwi wa kaulimbiu ya Hitler ya 'Ujerumani iko juu ya wote'

    Feb 05, 2025 02:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov ametahadharisha kuwa, sera ya Trump ya ‘Marekani Kwanza’ ina mfanano wa kutatanisha na kaulimbiu ‘Ujerumani iko juu ya wote’ iliyotumiwa na Wanazi kuthibitisha ukuu na kuwa bora kitaifa kuliko wengine.

  • Afrika Kusini yamuonya Trump; Tutasitisha mauzo ya madini kwa Marekani

    Afrika Kusini yamuonya Trump; Tutasitisha mauzo ya madini kwa Marekani

    Feb 04, 2025 23:11

    Waziri wa Madini na Rasilimali za Petroli wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe ametoa wito kwa nchi za Afrika kusimamisha mauzo ya madini kwenda Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS