Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Rais Xi wa China aonya: Marekani itajitenga yenyewe

    Rais Xi wa China aonya: Marekani itajitenga yenyewe

    Apr 12, 2025 07:44

    Rais wa China, Xi Jinping ametahadharisha kuwa, Marekani iko katika hatari ya kujitenga yenyewe kwa kushupalia vita vya ushuru na vikwazo vya biashara vya upande mmoja.

  • Marekani yaendeleza mradi wa kuwatimua wanafunzi wa kimataifa wanaoiunga mkono Palestina

    Marekani yaendeleza mradi wa kuwatimua wanafunzi wa kimataifa wanaoiunga mkono Palestina

    Apr 11, 2025 22:48

    Ukandamizaji na vitisho dhidi ya wanafunzi wanaounga mkono haki ya Wapalestina unaendelea katika vyuo vikuu vya Marekani, jambo ambalo limevuruga mfumo wa elimu nchini humo.

  • Kusalimu amri Trump katika sera zake za vita vya kiuchumi duniani

    Kusalimu amri Trump katika sera zake za vita vya kiuchumi duniani

    Apr 11, 2025 04:12

    Rais wa Marekani Donald Trump, amesalimu amri baada ya masoko ya hisa ya Marekani kuporomoka vibaya kutokana na sera zake mbovu za kuanzisha vita vya kiudhumi na kuzipandishia ushuru bidhaa za nchi zote duniani.

  • Viongozi wa Amerika ya Latini watoa wito kupinga ushuru wa Trump

    Viongozi wa Amerika ya Latini watoa wito kupinga ushuru wa Trump

    Apr 10, 2025 08:02

    Viongozi wa nchi za Amerika ya Latini wametaka kuweko umoja na mshikamano wa kukabiliana na ushuru wa Rais Donald Trump wa Marekani na kuyumba uchumi kunakosababishwa na hatua hizo za Trump.

  • China yajibu mapigo; yaongeza ushuru wa 84% kwa bidhaa za US

    China yajibu mapigo; yaongeza ushuru wa 84% kwa bidhaa za US

    Apr 09, 2025 23:24

    China imesisitiza kuwa "itapambana hadi mwisho" mkabala wa vita vya kibiashara vilivyoanzishwa na Rais wa Marekani, Donald Trump.

  • Ubelgiji nayo yatia ulimi puani, yasema: Hatutamkamata Netanyahu

    Ubelgiji nayo yatia ulimi puani, yasema: Hatutamkamata Netanyahu

    Apr 09, 2025 03:05

    Ubelgiji nayo pia imetangaza kuwa haitotii amri ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ya kutaka waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu akamatwe na kukabidhiwa kwa mahakama hiyo.

  • Kamanda Mkuu wa US Ulaya: Mauzo ya silaha za Marekani kwa Ulaya yameongezeka kwa 600%

    Kamanda Mkuu wa US Ulaya: Mauzo ya silaha za Marekani kwa Ulaya yameongezeka kwa 600%

    Apr 09, 2025 03:04

    Kamanda Mkuu wa Marekani katika Kamandi ya jeshi la nchi hiyo barani Ulaya amesema, mauzo ya silaha za Marekani kwa nchi za Ulaya yameongezeka kwa asilimia 600 tangu vilipoanza vita kati ya Russia na Ukraine na akaongeza kuwa, thamani ya kiwango cha silaha zilizoagizwa na nchi za Ulaya tangu vilipoanza vita kati ya Russia na Ukraine hadi sasa imefikia dola bilioni 265.

  • Ndege za kivita za Marekani zashambulia Yemen karibu mara 30 katika muda wa chini ya siku moja

    Ndege za kivita za Marekani zashambulia Yemen karibu mara 30 katika muda wa chini ya siku moja

    Apr 08, 2025 06:47

    Marekani imefanya karibu mashambulizi 30 ya anga katika majimbo kadhaa kote nchini Yemen katika muda wa chini ya siku moja, na kushadidisha uchokozi wake dhidi ya taifa hilo, katika kile ambacho wataalamu wamekitaja kuwa ni harakati za kujishinda yenyewe za kusitisha bila mafanikio operesheni za Sana'a zinazotekelezwa dhidi ya Israel na waungaji mkono wake kwa ajilii ya kuwatetea wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.

  • China yaapa 'kupambana hadi mwisho' dhidi ya ushuru wa Trump

    China yaapa 'kupambana hadi mwisho' dhidi ya ushuru wa Trump

    Apr 08, 2025 06:15

    Wizara ya Biashara ya China imeionya Marekani dhidi ya kuingia katika msururu wa vikwazo vya kibiashara vya 'kujibishana mapigo' baada ya rais wa nchi hiyo Donald Trump kutishia kuweka ushuru wa ziada kwa bidhaa za China zinazoingizwa nchini Marekani.

  • Mamia ya familia zalazimika kukimbia baada ya RSF kushambulia vijiji Darfur, Sudan

    Mamia ya familia zalazimika kukimbia baada ya RSF kushambulia vijiji Darfur, Sudan

    Apr 08, 2025 06:12

    Mamia ya familia zimefurushwa kutoka vijiji viwili magharibi mwa Sudan baada ya mashambulizi yaliyofanywa na wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF). Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS