Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Sullivan: Enzi ya ukuu wa Marekani imekwisha

    Sullivan: Enzi ya ukuu wa Marekani imekwisha

    Jan 15, 2025 23:06

    Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Ikulu ya Rais wa Marekani, White House, amekiri kwamba: Zama za Marekani kuwa juu zaidi ya nchi nyingine zimekwisha na kuyoyoma.

  • TV ya Marekani yaonyesha mabaki ya silaha za nchi hiyo Ghaza zinazotumika katika mauaji ya kimbari

    TV ya Marekani yaonyesha mabaki ya silaha za nchi hiyo Ghaza zinazotumika katika mauaji ya kimbari

    Jan 15, 2025 08:07

    Kanda za video zilizorushwa hewani na chaneli kubwa ya televisheni ya Marekani ya CBS zimefichua kuwepo kwa silaha nyingi ambazo serikali ya Washington imeupatia utawala wa Kizayuni wa Israel uzitumie katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina unayofanya katika Ukanda wa Ghaza, suala ambalo limekabiliwa na malalamiko na ukosoaji mkubwa kwenye mitandao ya kijamii.

  • WHO yasema hali ya Mpox nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ingali inatisha

    WHO yasema hali ya Mpox nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ingali inatisha

    Jan 14, 2025 23:13

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema, ijapokuwa mwenendo wa sasa wa homa ya nyani au Mpox duniani inaonekana kutulia, lakini hali si shwari nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.

  • Elon Musk: Waziri Mkuu Uingereza alitaka kuhujumu uchaguzi wa Marekani, ni mhalifu wa ngono

    Elon Musk: Waziri Mkuu Uingereza alitaka kuhujumu uchaguzi wa Marekani, ni mhalifu wa ngono

    Jan 14, 2025 04:14

    Mkuu wa Idara ya Ufanisi wa Serikali ya Marekani amesisitiza kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza alikusudia kuingilia uchaguzi wa rais wa hivi majuzi wa Marekani.

  • Moto wa Los Angeles; Ishara ya uzembe wa serikali ya Marekani

    Moto wa Los Angeles; Ishara ya uzembe wa serikali ya Marekani

    Jan 11, 2025 07:14

    Mji wa Los Angeles katika jimbo la California, Marekani, umekuwa ukiteketea kwa moto usiozuilika kwa siku kadhaa sasa katika msimu wa baridi kali na kuwaacha maelfu ya watu bila ya makazi. Moto huo pia umesababisha hasara na uharibifu mkubwa unaotajwa kuwa ni wa aina yake katika historia ya majanga nchini Marekani.

  • Katika hatua ya kuaibisha, Baraza la Wawakilishi la US lapitisha muswada wa vikwazo dhidi ya ICC

    Katika hatua ya kuaibisha, Baraza la Wawakilishi la US lapitisha muswada wa vikwazo dhidi ya ICC

    Jan 10, 2025 08:42

    Katika hatua ya kuaibisha, Baraza la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha mswada wa kuwawekea vikwazo maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kama jibu kwa hatua ya mahakama hiyo ya kutoa hati za kukamatwa viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuhusika na uhalifu wa kivita katika Ukanda wa Ghaza.

  • Baqaei: Mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen ni mfano wa wazi wa jinai

    Baqaei: Mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen ni mfano wa wazi wa jinai

    Jan 10, 2025 03:31

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen ni mfano wa wazi wa jinai.

  • Majibu ya nchi mbalimbali kwa madai yasiyo na msingi ya Trump kuhusu kuinyakua Greenland

    Majibu ya nchi mbalimbali kwa madai yasiyo na msingi ya Trump kuhusu kuinyakua Greenland

    Jan 09, 2025 09:23

    Baada ya Rais mteule wa Marekani, Donald Trump kusisitiza madai yake ya kutaka kunyakua maeneo Canada, Panama na Greenland, na hatua zake, ikiwa ni pamoja na kumtuma mtoto wake wa kiume huko Greenland kuandaa mazingira ya unyakuzi huo, nchi hizo zimetoa majibu makali dhidi ya hatua ya Trump.

  • UN: Uhuru wa Syria, umoja na kubaki kamili ardhi yake yote vinakabiliwa na hatari kubwa

    UN: Uhuru wa Syria, umoja na kubaki kamili ardhi yake yote vinakabiliwa na hatari kubwa

    Jan 09, 2025 02:39

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha juu ya ulichokiita "hatari halisi" inayokabili uhuru na kujitawala kwa Syria kufuatia kuanguka ghafla utawala wa zamani wa nchi hiyo.

  • Kuongezeka mapato ya makampuni ya silaha duniani: Marekani inaongoza katika biashara hiyo ya mauaji

    Kuongezeka mapato ya makampuni ya silaha duniani: Marekani inaongoza katika biashara hiyo ya mauaji

    Jan 08, 2025 23:49

    Taasisi ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) imetangaza katika ripoti yake kwamba kulikuwepo ongezeko la mapato ya makampuni ya silaha duniani mwaka 2023.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS