Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Wanachuo wanaoitetea Palestina 'wakaribisha' kujiuzulu Rais wa Chuo Kikuu cha Columbia

    Wanachuo wanaoitetea Palestina 'wakaribisha' kujiuzulu Rais wa Chuo Kikuu cha Columbia

    Aug 15, 2024 04:25

    Rais wa Chuo Kikuu cha Columbia Minouche Shafik alitangaza kujiuzulu jana Jumatano, takriban miezi minne baada ya chuo hicho kushuhudia maandamano ya wananchuo waliokuwa wakilalamikia vita vya mauaji ya kimbari vya utawala wa Israel huko Gaza.

  • Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu vita vya Ghaza; makabiliano ya Marekani na Jamii ya Kimataifa

    Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu vita vya Ghaza; makabiliano ya Marekani na Jamii ya Kimataifa

    Aug 14, 2024 07:45

    Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa cha kujadili shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Skuli ya Al-Tabeen katika Ukanda wa Ghaza kilifanyika siku ya Jumanne ambapo akthari ya wanachama wa Baraza hilo walilaani jinai ya utawala huo na kusisitiza juu ya ulazima wa kusitishwa vita mara moja huko Ghaza.

  • Iran: Marekani ndiye muungaji mkono na muenezaji mkuu wa ugaidi katika eneo na dunia

    Iran: Marekani ndiye muungaji mkono na muenezaji mkuu wa ugaidi katika eneo na dunia

    Aug 13, 2024 02:11

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema, Marekani ndiyo muungaji mkono na muenezaji mkuu wa ugaidi katika eneo na dunia.

  • Jumatatu, Agosti 12, 2024

    Jumatatu, Agosti 12, 2024

    Aug 12, 2024 04:57

    Leo ni Jumatatu tarehe 7 Mfunguo Tano Safar 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 12 Agosti 2024 Milaadia.

  • CAIR yamtaka Biden 'alaani' ugaidi wa kiserikali wa Israel

    CAIR yamtaka Biden 'alaani' ugaidi wa kiserikali wa Israel

    Aug 11, 2024 04:04

    Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limemtaka Rais Joe Biden wa nchi hiyo ajibu na kulaani vitendo vya ugaidi wa kiserikali vinavyofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Muqawama: US ni mshiriki wa mauaji mapya ya halaiki Gaza

    Muqawama: US ni mshiriki wa mauaji mapya ya halaiki Gaza

    Aug 10, 2024 07:43

    Makundi ya mrengo wa Muqawama katika eneo la Asia Magharibi yamelaani vikali jinai mpya ya kuogofya ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza, ambapo zaidi ya Wapalestina 100 wameuawa shahidi na makumi ya wengine kujeruhiwa.

  • Iran yakadhibisha madai ya kutaka kuingilia uchaguzi wa Marekani

    Iran yakadhibisha madai ya kutaka kuingilia uchaguzi wa Marekani

    Aug 10, 2024 07:42

    Ofisi ya uwakilishi wa kudumu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imepuuzilia mbali madai kuwa Jamhuri ya Kiislamu inakula njama ya kuathiri matokeo ya uchaguzi wa rais wa Marekani utakaofanyika baadaye mwaka huu.

  • Sanders: Wamarekani hawaungi mkono vita vya kikatili vya Netanyahu

    Sanders: Wamarekani hawaungi mkono vita vya kikatili vya Netanyahu

    Aug 09, 2024 04:13

    Seneta moja mashuhuri nchini Marekani kwa mara nyingine ametoa mwito wa kusitishwa vita mara moja katika Ukanda wa Gaza akisisitiza kuwa, wananchi wa Marekani hawaungi mkono jinai na vita vya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel dhidi ya wakazi wa eneo hilo la Palestina lililozingirwa na linalokaliwa kwa mabavu.

  • WHO yachukua hatua dhidi ya kirusi cha Mpox huku kesi za maambukizi zikiongezeka Afrika

    WHO yachukua hatua dhidi ya kirusi cha Mpox huku kesi za maambukizi zikiongezeka Afrika

    Aug 08, 2024 04:22

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus, ameitisha mkutano wa dharura wa wataalamu wa kimataifa huku kesi za maambukizi ya spishi hatari zaidi ya kirusi cha Mpox zikiongezeka katika nchi za Afrika.

  • Mahakama: Iran itatumia uwezo wake wote kujibu mauaji ya Haniyah

    Mahakama: Iran itatumia uwezo wake wote kujibu mauaji ya Haniyah

    Aug 06, 2024 22:58

    Msemaji wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itatumia uwezo wake wote kulipiza kisasi cha mauaji ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS), akiwa mjini Tehran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS