Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Ansarullah: Vikosi vya Yemen vina 'hamu' ya kukabiliana na US Bahari Nyekundu

    Ansarullah: Vikosi vya Yemen vina 'hamu' ya kukabiliana na US Bahari Nyekundu

    Dec 30, 2023 06:55

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vipo tayari kuingia katika makabiliano ya kijeshi na Marekani iwapo hali ya taharuki itashtadi katika Bahari Nyekundu.

  • Umoja wa Mataifa: Marekani ni kizuizi cha amani katika Ukanda wa Gaza

    Umoja wa Mataifa: Marekani ni kizuizi cha amani katika Ukanda wa Gaza

    Dec 30, 2023 04:38

    Mwakilishi wa Kamishna ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni huko Gaza hayawezi kuhalalishwa kwa njia yoyote ile na Marekani inazuia kupatikana amani katika eneo.

  • Uhispania yapinga kushiriki vikosi maalumu vya wanamaji vya Ulaya katika Muungano wa Baharini wa Marekani

    Uhispania yapinga kushiriki vikosi maalumu vya wanamaji vya Ulaya katika Muungano wa Baharini wa Marekani

    Dec 28, 2023 23:00

    Pedro Sanchez Waziri Mkuu wa Uhispania amepinga uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuunga mkono Muungano wa Baharini wa Marekani katika Bahari Nyekundu. Sanchyez amesisitiza kuwa: 'Tunapinga kutumiwa vikosi vya baharini vya Ulaya dhidi ya maharamia kwa jina la oparesheni ya "Atalanta" kwa ajili ya kulinda meli za kibiashara katika Bahari Nyekundu mkabala wa mashambulizi ya Yemen.'

  • Baghdad: Mashambulizi ya US yamekiuka mamlaka ya kujitawala Iraq

    Baghdad: Mashambulizi ya US yamekiuka mamlaka ya kujitawala Iraq

    Dec 26, 2023 23:23

    Serikali ya Baghdad imelaani vikali mashambulizi dhidi ya kambi tatu za Harakati ya Kataib Hizbullah nchini Iraq yaliyofanywa na vikosi vamizi vya Marekani kwa amri ya Rais Joe Biden na kueleza kuwa, hujuma hizo hazikubaliki na zimekiuka mamlaka ya kujitawala Iraq.

  • "Ubeberu wa US unaporomoka, muqawama ndiyo nguzo ya usalama katika eneo"

    Dec 25, 2023 07:13

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Wamarekani wamekiri wenyewe kwamba, nidhamu ya dunia iliyojengeka katika misingi ya ubeberu ipo katika mkondo wa kuporomoka, na kwamba mabeberu hawawezi kuendelea kuwatwisha walimwengu misimamo na mitazamo yao.

  • M’membe: Vikwazo vya Magharibi vimezikurubisha pamoja Russia, Afrika

    M’membe: Vikwazo vya Magharibi vimezikurubisha pamoja Russia, Afrika

    Dec 25, 2023 07:12

    Rais wa Chama cha Kisoshalisti cha Zambia amesema nchi za Magharibi zinaziburuza nchi nyingine duniani kuingia vitani huku zikipora rasilimali zao.

  • Kuvunjika muungano wa baharini wa Marekani kwa kujiondoa Ufaransa, Uhispania na Italia

    Kuvunjika muungano wa baharini wa Marekani kwa kujiondoa Ufaransa, Uhispania na Italia

    Dec 25, 2023 02:22

    Marekani imetangaza kuunda Muungano wa Baharini ikiwa ni katika jitihada zake za kuendelea kuutetea kwa hali na mali utawala ghasibu wa Israel katika hujuma yake ya kinyama dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na kukabiliana na mashambulizi ya Yemen katika Bahari Nyekundu dhidi ya meli zinazoelekea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Israel huko Palestina.

  • Uchunguzi wa maoni: Uwezekano wa Biden kushinda uchaguzi wa rais 2024 unazidi kupungua

    Uchunguzi wa maoni: Uwezekano wa Biden kushinda uchaguzi wa rais 2024 unazidi kupungua

    Dec 24, 2023 23:10

    Takwimu za chunguzi za maoni zilizofanywa huko Marekani kuhusiana na uchaguzi wa rais zinaonyesha kuwa kiwango cha uungaji mkono wa wananchi kwa Rais Joe Biden kinapungua na nafasi ya kiongozi huyo kushinda uchaguzi wa rais wa mwaka 2024 ni ya chini sana.

  • Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Ni hatua ya lazima lakini haitoshi

    Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Ni hatua ya lazima lakini haitoshi

    Dec 23, 2023 04:48

    Ijumaa ya jana, Desemba 22, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipitisha azimio la kuongeza misaada ya kibinadamu kwa watu wa Ukanda wa Gaza bila kutoa wito wa kusitishwa mapigano. Marekani na Russia, wanachama wawili wa kudumu wa Baraza la Usalama, hazikulipigia kura azimio hilo. Wajumbe wengine 13 wamelipigia kura ya ndiyo.

  • Marekani yaikatisha tamaa Ukraine, onyo la Zelensky

    Marekani yaikatisha tamaa Ukraine, onyo la Zelensky

    Dec 23, 2023 02:50

    Kuendelea mvutano kati ya Warepublican na Ikulu ya White House juu ya kupasishwa msaada mpya kwa Ukraine, pamoja na kutoa kipaumbele Washington kwa vita vya Gaza na natija yake kusahaulika vita vya Ukraine, kumepelekea serikali ya Biden kuitahadharisha Kyiv kuhusu uwezekano wa kukatiwa au kupunguziwa kiasi kikubwa cha misaada yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS