Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • NYT: Risasi iliyomuua Shireen Abu Akleh ilifyatuliwa na askari wa Kikosi cha Maalumu cha Israeli

    NYT: Risasi iliyomuua Shireen Abu Akleh ilifyatuliwa na askari wa Kikosi cha Maalumu cha Israeli

    Jun 21, 2022 02:39

    Uchunguzi mpya wa gazeti la Marekani la New York Times umethibitisha kuwa risasi iliyomuua mwandishi wa habari wa televisheni ya Al Jazeera ya Qatar, Shireen Abu Akleh, ilifyatuliwa na mwanajeshi wa kikosi maalumu cha Israel, katika eneo ambalo halikuwa na mwanamgambo hata mmoja wa Kipalestina.

  • Watu 1400 wameuawa katika mkoa wa Gauteng nchini Afrika Kusini

    Watu 1400 wameuawa katika mkoa wa Gauteng nchini Afrika Kusini

    Jun 15, 2022 11:56

    Polisi ya Afrika Kusini imesema watu zaidi ya 1,400 wameuawa katika mkoa wa Gauteng ulioko kaskazini mashariki mwa nchi katika kipindi cha miezi mitatu ya kwanza ya mwaka huu 2022.

  • UN: Mauaji mapya ya kikabila nchini Sudan yameua watu 145

    UN: Mauaji mapya ya kikabila nchini Sudan yameua watu 145

    Jun 15, 2022 11:49

    Umoja wa Mataifa umesema idadi ya watu waliouawa katika wimbi jipya la mapigano ya kikabila huko Sudan imeongezeka na kufikia 145.

  • Watu 20 wauawa katika shambulizi la ADF mashariki ya DRC

    Watu 20 wauawa katika shambulizi la ADF mashariki ya DRC

    Jun 07, 2022 08:08

    Makumi ya watu wameuawa katika shambulizi jipya la waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) katika mkoa wa Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kamanda Mkuu wa IRGC: Tutalipiza kisasi cha Shahidi Sayyad Khodaei kwa utawala wa Kizayuni

    Kamanda Mkuu wa IRGC: Tutalipiza kisasi cha Shahidi Sayyad Khodaei kwa utawala wa Kizayuni

    May 31, 2022 03:13

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Meja Jenerali Hossein Salami amesema: "Tutalipiza kisasi kwa utawala wa Kizayuni cha damu ya Shahidi Hassan Sayyad Khodaei."

  • Kadhaa wauawa katika shambulio la waasi Jamhuri ya Afrika ya Kati.

    Kadhaa wauawa katika shambulio la waasi Jamhuri ya Afrika ya Kati.

    Mar 25, 2022 14:24

    Watu wasiopungua watano wameuawa baada ya genge moja la waasi kushambulia kambi ya jeshi huko mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Ethiopia kuwachukulia hatua wahalifu waliowachoma raia wakiwa hai, baadhi walikuwa na sare za jeshi

    Ethiopia kuwachukulia hatua wahalifu waliowachoma raia wakiwa hai, baadhi walikuwa na sare za jeshi

    Mar 13, 2022 02:24

    Serikali ya Ethiopia ilisema jana Jumamosi kwamba itawachukulia hatua wahusika baada ya mkanda wa video kuonekana kwenye mitandao ya kijamii ukiwaonyesha watu wenye silaha, baadhi wakiwa wamevalia sare za kijeshi, wakiwachoma moto raia hadi kufa katika eneo la Magharibi mwa nchi hiyo.

  • Mwanaharakati wa Saudia: Sina amani, naandamwa na makachero wa Bin Salman

    Mwanaharakati wa Saudia: Sina amani, naandamwa na makachero wa Bin Salman

    Feb 28, 2022 13:14

    Wakati vyombo vya habari vya Saudia na makampuni ya mahusiano ya umma katika nchi za Magharibi, yaliajiriwa na serikali ya Riyadh yakiendelea kusafisha na kupendezesha sura ya mrithi wa ufalme wa Saudia, Mohammed bin Salman, iliyochafuliwa na mauaji ya mwanahabari Jamal Khashoggi, mwanaharakati wa Kisaudia Alya Alhwaiti anayeishi London, amelipua bomu baada ya kufichua kwamba alipokea vitisho vya kuuawa.

  • Watu 60 wauawa katika shambulio la wabeba silaha DRC

    Watu 60 wauawa katika shambulio la wabeba silaha DRC

    Feb 03, 2022 02:28

    Kwa akali watu 60 wameuawa katika shambulio la kundi moja la wabeba silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Waziri wa Sheria wa Libya anusurika kuuawa katika shambulio la watu wenye silaha

    Waziri wa Sheria wa Libya anusurika kuuawa katika shambulio la watu wenye silaha

    Jan 29, 2022 08:16

    Vyombo vya habari vimetangaza kuwa Waziri wa Sheria wa Libya amenusurika kuuawa katika shambulio la watu wenye silaha lililotokea kwenye barabara ya As-Sawani katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS