Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Watu 12 wauawa katika hujuma za wanamgambo wa ADF nchini DRC

    Watu 12 wauawa katika hujuma za wanamgambo wa ADF nchini DRC

    Jan 26, 2022 12:07

    Watu wasiopungua 12 wameuawa katika mkoa wa Ituri, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kufuatia mashambulio ya waasi wa Uganda wa ADF.

  • Makumi ya watu wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Makumi ya watu wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Jan 25, 2022 07:59

    Watu wasiopungua 30 wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan Kusini.

  • Saudia yaua raia wa Yemen, ikiwemo familia nzima, katika hujuma dhidi ya Sana'a

    Saudia yaua raia wa Yemen, ikiwemo familia nzima, katika hujuma dhidi ya Sana'a

    Jan 19, 2022 03:02

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema muungano wa kivita wa Saudi Arabia umetekeleza mashambulizi dhidi ya mji mkuu wa Yemen, Sana'a, ambapo raia 20, ikiwemo familia moja wameuawa.

  • Zaidi ya wasanii 20 wasusia Tamasha la Sydney, wanapinga ufadhili wa Israel

    Zaidi ya wasanii 20 wasusia Tamasha la Sydney, wanapinga ufadhili wa Israel

    Jan 08, 2022 02:49

    Zaidi ya wasanii 20 hadi sasa yamejiondoa kwenye Tamasha la Sydney 2022 kupinga mchango wa kifedha uliotolewa na ubalozi wa utawala haramu wa Israel nchini Australia kwa moja ya maonyesho ya tamasha hilo.

  • Watoto 2 ni kati ya wakimbizi 3 wa Eritrea waliouawa huko Tigray

    Watoto 2 ni kati ya wakimbizi 3 wa Eritrea waliouawa huko Tigray

    Jan 07, 2022 15:27

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, raia watatu wa Eritrea wakiwemo watoto wawili wameuawa katika shambulio la anga lililoilenga kambi ya wakimbizi katika eneo la Tigray lililoathiriwa na mapigano huko kaskazini mwa Ethiopia.

  • Wito wa Wahindu wa kutekelezwa mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu waibua hasira

    Wito wa Wahindu wa kutekelezwa mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu waibua hasira

    Dec 25, 2021 04:32

    Video zinazowaonyesha viongozi wa kidini wa Kihindu nchini India wakitoa wito wa mauaji ya halaiki dhidi ya Waislamu zimezua hasira na wito madai ya kuchukuliwa hatua dhidi ya wahusika.

  • Polisi ya Uturuki yazima njama ya mauaji dhidi ya Rais Erdogan

    Polisi ya Uturuki yazima njama ya mauaji dhidi ya Rais Erdogan

    Dec 05, 2021 07:16

    Vyombo vya habari vya Uturuki vimeripoti kuwa, polisi ya nchi hiyo imegundua na kulipua bomu lililokuwa limetegwa eneo ambako Rais wa nchi hiyo, Recep Tayyip Erdoğan, alipangiwa kuhutubia wananchi huko kusini mwa Uturuki.

  • Emmanuel Macron ashutumiwa kwa kujaribu 'kumsafisha' Mohammed bin Salman

    Emmanuel Macron ashutumiwa kwa kujaribu 'kumsafisha' Mohammed bin Salman

    Dec 05, 2021 03:03

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamekosoa mkutano wa Rais Emmanuel Macron na Ufaransa na mriti wa ufalme wa Saudia Mohammed bin Salman jana Jumamosi huko Riyadh yakisisitiza kuwa mkutano huo una lengo la kumsafisha mrithi huo wa ufalme wa Saudia aliyeamuru kuuawa kigaidi mwandishi habari jamal Khashoggi.

  • Le Monde: Sudan inaishi siku zake mbaya zaidi za umwagaji damu tangu baada ya mapinduzi

    Le Monde: Sudan inaishi siku zake mbaya zaidi za umwagaji damu tangu baada ya mapinduzi

    Nov 19, 2021 02:58

    Gazeti la Le Monde la Ufaransa limeripoti kuwa Sudan inaishi katika kipindi kibaya zaidi cha ukandamizaji na mauaji ya raia tangu baada ya mapinduzi ya kijeshi ya tarehe 25 Oktoba mwaka huu yaliyoindoa madarakani serikali ya kipindi cha mpito.

  • Familia ya Waafghani waliouawa na Marekani: Kuungama hakutoshi, wahusika wachukuliwe hatua

    Familia ya Waafghani waliouawa na Marekani: Kuungama hakutoshi, wahusika wachukuliwe hatua

    Sep 19, 2021 16:33

    Familia ya raia kumi wa Afghanistan waliouawa katika shambulizi la ndege isiyo na rubani ya jeshi la Marekani mjini Kabul imekataa hatua ya serikali ya Washington ya kuungama na kuomba radhi kutokana mauajii hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS